Taarifa ya ajali: Mwana JF mwenzetu Ushimen kapata ajali mbaya na sasa yuko Muhimbili hospital

Taarifa ya ajali: Mwana JF mwenzetu Ushimen kapata ajali mbaya na sasa yuko Muhimbili hospital

Taarifa za hivi punde toka kwa mgonjwa mwenyewe
Baada ya zoezi la kukausha damu na usaha toka kwenye pafu lililoathirika vipimo vipya vinaonesha maendeleo mazuri na hakuna haja tena ya kufanya upasuaji..
Hii ni taarifa njema kwa mgonjwa mwenyewe.. Familia yake na sisi sote!
Taratibu za ruhusa zikikamilika mapema leo ataruhusiwa na atakuwepo Dsm kwa muda
Asabteni sana wote kwa upendo mkubwa mliouonesha kwake🙏🏾
Glory to God
 
Yaani kichwa ni hatari sana
Mimi pia nilipata ajali nikaumia kichwa
Kwa jinsi tulivyokuwa tunasubiri yale majibu yatoke waone ndani
Wazazi Moja haikai mbili haikai

Madaktari wakawa wanawatoa hofu kwamba uwezekano wa fuvu kupata hitilafu ni mdogo maana huyu bado ni mtoto mdogo,hapo nikiwa kwenye eary 10.
Kweli fuvu lilipona ila bichwa sasa hadi leo sipo sawa nikishika hiyo sehemu inasisimuka sana hata wakati wa kuoga.

Sasa avuta picha ambao walipata shida kwenye fuvu
All in all Mungu ni mwaminifu muda wote.
Pole sana Anne, Mungu ana makusudi na wewe ndio maana upo mpaka wakati huu
 
Pole sana Anne, Mungu ana makusudi na wewe ndio maana upo mpaka wakati huu
Amen
Asante
Utukufu wote apewe Mungu wa mbinguni
Maana bila rehema zake basi ningezima palepale..maana kwa kile kishindo hata nilvyopona sielewi.
Bado Mungu hakuniacha
Akanipigania hadi nikapona vidonda vyote japo huwa ni kipindi kigumu Sana Cha maumivu makali ya mwili..hadi sasa hajaniacha
Ni mwaka wa 12 huu wa Neema
Ilikuwa 2012.

.....
Sasa Mungu huyu aliyetuponya mimi na wahanga wengine wa haya mambo
Ndiye huyu Mungu atakayemponya kaka Yetu Ushimen.
 
Amen
Asante
Utukufu wote apewe Mungu wa mbinguni
Maana bila rehema zake basi ningezima palepale..maana kwa kile kishindo hata nilvyopona sielewi.
Bado Mungu hakuniacha
Akanipigania hadi nikapona vidonda vyote japo huwa ni kipindi kigumu Sana Cha maumivu makali ya mwili..hadi sasa hajaniacha
Ni mwaka wa 12 huu wa Neema
Ilikuwa 2012.

.....
Sasa Mungu huyu aliyetuponya mimi na wahanga wengine wa haya mambo
Ndiye huyu Mungu atakayemponya kaka Yetu Ushimen.
Aaaamin🤲
 
Amen
Asante
Utukufu wote apewe Mungu wa mbinguni
Maana bila rehema zake basi ningezima palepale..maana kwa kile kishindo hata nilvyopona sielewi.
Bado Mungu hakuniacha
Akanipigania hadi nikapona vidonda vyote japo huwa ni kipindi kigumu Sana Cha maumivu makali ya mwili..hadi sasa hajaniacha
Ni mwaka wa 12 huu wa Neema
Ilikuwa 2012.

.....
Sasa Mungu huyu aliyetuponya mimi na wahanga wengine wa haya mambo
Ndiye huyu Mungu atakayemponya kaka Yetu Ushimen.
Aaaamin🤲
 
Dah!
Pole sana.
Katika mazingira hayo ya ajali na kuumia huko na mwamba bado yuko hai, basi Mungu anampenda sana Ushimen na anataka tuendelee kuwa naye hapa JF.

Kwa uzoefu wa wataalamu wanasema, kwa hiyo hali aliyonayo sasa na kwa hospitali ya Muhimbili suala la kupona ni uhakika kabisa, asiwe na wasiwasi wala haraka, atulie hizo maji maji (usaha na damu) zitoke zote taratibu na mifupa itakaa sawa.
Amina maombi yetu ni juu yake. Mungu atamponya.
 
Inatia moyo sana kuona kaka Ushimen anaendelea vizuri

Mungu wetu aliye mwaminifu aendelee kumponya Ushimen
Binafsi naendelea kumkumbusha Mungu juu ya sadaka ambazo alimkopesha Mungu Kwa kunisaidia wakati wa shida yangu,nikiwa sina chochote ..Alisimama pamoja na familia yangu Kwa hali na mali kuhakikisha msiba wa baba unakwenda vizuri..hata baadaye aliendelea kunipigania.

Ushimen kwangu amekuwa zaidi ya ndugu
Huyu ni familia.

Mungu akakumbuke hizi sadaka zote ulizomkopesha .
Haya maneno nimeyaongea Kwa Imani na kumaanisha Toka ndani ya moyo wangu.
....
Tulio na mawasiliano yake
Tuendelee kumtia Moyo na kumpa maneno ya faraja na kutia moyo wakati huu anapopitia maumivu makali.
 
Amen
Asante
Utukufu wote apewe Mungu wa mbinguni
Maana bila rehema zake basi ningezima palepale..maana kwa kile kishindo hata nilvyopona sielewi.
Bado Mungu hakuniacha
Akanipigania hadi nikapona vidonda vyote japo huwa ni kipindi kigumu Sana Cha maumivu makali ya mwili..hadi sasa hajaniacha
Ni mwaka wa 12 huu wa Neema
Ilikuwa 2012.

.....
Sasa Mungu huyu aliyetuponya mimi na wahanga wengine wa haya mambo
Ndiye huyu Mungu atakayemponya kaka Yetu Ushimen.
akili hazikuyumba?
 
Back
Top Bottom