Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
Glory to GodTaarifa za hivi punde toka kwa mgonjwa mwenyewe
Baada ya zoezi la kukausha damu na usaha toka kwenye pafu lililoathirika vipimo vipya vinaonesha maendeleo mazuri na hakuna haja tena ya kufanya upasuaji..
Hii ni taarifa njema kwa mgonjwa mwenyewe.. Familia yake na sisi sote!
Taratibu za ruhusa zikikamilika mapema leo ataruhusiwa na atakuwepo Dsm kwa muda
Asabteni sana wote kwa upendo mkubwa mliouonesha kwake🙏🏾
So, we have to embrace our lives and forget death until it knocks to our doorsKifo kipo kwa ajili yetu sisi viumbe hai "we carry life & death"
Wengi tunaishi Kama hakuna kifo Ila tukihudhuria mazishi ndipo tunakumbuka/ tunajifunza jinsi gani tuishi.So, we have to embrace our lives and forget death until it knocks to our doors
Jamaa hanaga baya na mtu sio mchoyo wa MAARIFA pitia hata michango yake humu ndani 😊Pole saana Ushimen maana haunaga baya na mtu
Yap ni kweli japo jf imejaa watu wa masikhara ila jamaa yuko poa saanaJamaa hanaga baya na mtu sio mchoyo wa MAARIFA pitia hata michango yake humu ndani 😊
SAHIHI MKUU.Yap ni kweli japo jf imejaa watu wa masikhara ila jamaa yuko poa saana
Pole sana Anne, Mungu ana makusudi na wewe ndio maana upo mpaka wakati huuYaani kichwa ni hatari sana
Mimi pia nilipata ajali nikaumia kichwa
Kwa jinsi tulivyokuwa tunasubiri yale majibu yatoke waone ndani
Wazazi Moja haikai mbili haikai
Madaktari wakawa wanawatoa hofu kwamba uwezekano wa fuvu kupata hitilafu ni mdogo maana huyu bado ni mtoto mdogo,hapo nikiwa kwenye eary 10.
Kweli fuvu lilipona ila bichwa sasa hadi leo sipo sawa nikishika hiyo sehemu inasisimuka sana hata wakati wa kuoga.
Sasa avuta picha ambao walipata shida kwenye fuvu
All in all Mungu ni mwaminifu muda wote.
AmenPole sana Anne, Mungu ana makusudi na wewe ndio maana upo mpaka wakati huu
Aaaamin🤲Amen
Asante
Utukufu wote apewe Mungu wa mbinguni
Maana bila rehema zake basi ningezima palepale..maana kwa kile kishindo hata nilvyopona sielewi.
Bado Mungu hakuniacha
Akanipigania hadi nikapona vidonda vyote japo huwa ni kipindi kigumu Sana Cha maumivu makali ya mwili..hadi sasa hajaniacha
Ni mwaka wa 12 huu wa Neema
Ilikuwa 2012.
.....
Sasa Mungu huyu aliyetuponya mimi na wahanga wengine wa haya mambo
Ndiye huyu Mungu atakayemponya kaka Yetu Ushimen.
Aaaamin🤲Amen
Asante
Utukufu wote apewe Mungu wa mbinguni
Maana bila rehema zake basi ningezima palepale..maana kwa kile kishindo hata nilvyopona sielewi.
Bado Mungu hakuniacha
Akanipigania hadi nikapona vidonda vyote japo huwa ni kipindi kigumu Sana Cha maumivu makali ya mwili..hadi sasa hajaniacha
Ni mwaka wa 12 huu wa Neema
Ilikuwa 2012.
.....
Sasa Mungu huyu aliyetuponya mimi na wahanga wengine wa haya mambo
Ndiye huyu Mungu atakayemponya kaka Yetu Ushimen.
Amina maombi yetu ni juu yake. Mungu atamponya.Dah!
Pole sana.
Katika mazingira hayo ya ajali na kuumia huko na mwamba bado yuko hai, basi Mungu anampenda sana Ushimen na anataka tuendelee kuwa naye hapa JF.
Kwa uzoefu wa wataalamu wanasema, kwa hiyo hali aliyonayo sasa na kwa hospitali ya Muhimbili suala la kupona ni uhakika kabisa, asiwe na wasiwasi wala haraka, atulie hizo maji maji (usaha na damu) zitoke zote taratibu na mifupa itakaa sawa.
Tuendelee kumuombea ndugu yetuAaaamin🤲
akili hazikuyumba?Amen
Asante
Utukufu wote apewe Mungu wa mbinguni
Maana bila rehema zake basi ningezima palepale..maana kwa kile kishindo hata nilvyopona sielewi.
Bado Mungu hakuniacha
Akanipigania hadi nikapona vidonda vyote japo huwa ni kipindi kigumu Sana Cha maumivu makali ya mwili..hadi sasa hajaniacha
Ni mwaka wa 12 huu wa Neema
Ilikuwa 2012.
.....
Sasa Mungu huyu aliyetuponya mimi na wahanga wengine wa haya mambo
Ndiye huyu Mungu atakayemponya kaka Yetu Ushimen.
poa mremboPole sana Ushimen Mungu wetu wa mbinguni azidi kukusimamia upone na urudi katika majukumu yako