Taarifa ya ajali: Mwana JF mwenzetu Ushimen kapata ajali mbaya na sasa yuko Muhimbili hospital

Aiseeeeeee!!!
 
Classmate Ushimen It is well...

Zaburi 20:1-4
[1]BWANA akujibu siku ya dhiki,
Jina la Mungu wa Yakobo likuinue.

[2]Akupelekee msaada toka patakatifu pake,
Na kukutegemeza toka Sayuni.

[3]Azikumbuke sadaka zako zote,
Na kuzitakabali dhabihu zako.

[4]Akujalie kwa kadiri ya haja ya moyo wako,
Na kuyatimiza mashauri yako yote.

Zaburi 103:3-5
[3]Akusamehe maovu yako yote,
Akuponya magonjwa yako yote,

[4]Aukomboa uhai wako na kaburi,
Akutia taji ya fadhili na rehema,

[5]Aushibisha mema uzee wako,
Ujana wako ukarejezwa kama tai;
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…