uhurumoja
JF-Expert Member
- Mar 2, 2014
- 9,616
- 22,521
Al Jazeera wametangaza hii habari haraka haraka sana hakuna coverage hata ya kuhoji watu ambao wanasema Ile ni massacre.
African news nao Wala hawatangazi kuhusu Sudani.
Taarifa yote iko Gaza Ina cover Kila sekunde hadi mistari ya kuchukua chakula milio ya ndege n.k
Africa is for Africans huko kwingine hapatuhusu tupige kelele amani ya Sudani ni muhimu ningetegemea watu kama Kipa wa Azam awe hata na banner inayotaka "peace for Sudani"lakini unaweza Kuta nae anataka amani ya Palestine.
African news nao Wala hawatangazi kuhusu Sudani.
Taarifa yote iko Gaza Ina cover Kila sekunde hadi mistari ya kuchukua chakula milio ya ndege n.k
Africa is for Africans huko kwingine hapatuhusu tupige kelele amani ya Sudani ni muhimu ningetegemea watu kama Kipa wa Azam awe hata na banner inayotaka "peace for Sudani"lakini unaweza Kuta nae anataka amani ya Palestine.