Taarifa ya Al Jazeera kuhusu mauaji kule Jazira imetangazwa faster kuliko kawaida

Taarifa ya Al Jazeera kuhusu mauaji kule Jazira imetangazwa faster kuliko kawaida

UTAKUTA LIMATUMBI JEUSIII TII KAMA TAKO LA IDDI AMINI LINA SIJDAH TENA INANG'AA NA KUONEKANA NA HUO UWEUSI WAKE. LAKINI CHA AJABU MIARABU INASWALI KILA SIKU MARA TANO HAINA SIJDAH NA NI WEUPEE. ETI MIMATUMBI IMEAHIDIWA IKIFA KWENYE UISLAMU UTABADILIKA NA KUWA MIARABU NDO MAANA INAJITUMA SANA KWENYEUISLAM.

adriz Malaria 2 Jagina
 
Al Jazeera wametangaza hii habari haraka haraka sana hakuna coverage hata ya kuhoji watu ambao wanasema Ile ni massacre.

African news nao Wala hawatangazi kuhusu Sudani.

Taarifa yote iko Gaza Ina cover Kila sekunde hadi mistari ya kuchukua chakula milio ya ndege n.k

Africa is for Africans huko kwingine hapatuhusu tupige kelele amani ya Sudani ni muhimu ningetegemea watu kama Kipa wa Azam awe hata na banner inayotaka "peace for Sudani"lakini unaweza Kuta nae anataka amani ya Palestine.
Huifuatilii tu Aljazeera,wana vipindi vya the stream,Aljazeera world,people and power na inside story ambavyo vinajadili matatizo mbali mbali.
Kuna kipindi kimoja cha inside story walijadili matatizo ya wamaasai wa Tanzania kuhamishwa Ngorongoro.
 
UTAKUTA LIMATUMBI JEUSIII TII KAMA TAKO LA IDDI AMINI LINA SIJDAH TENA INANG'AA NA KUONEKANA NA HUO UWEUSI WAKE. LAKINI CHA AJABU MIARABU INASWALI KILA SIKU MARA TANO HAINA SIJDAH NA NI WEUPEE. ETI MIMATUMBI IMEAHIDIWA IKIFA KWENYE UISLAMU UTABADILIKA NA KUWA MIARABU NDO MAANA INAJITUMA SANA KWENYEUISLAM.

adriz Malaria 2 Jagina

1717775489788.jpeg


1717775360915.jpeg
 
UTAKUTA LIMATUMBI JEUSIII TII KAMA TAKO LA IDDI AMINI LINA SIJDAH TENA INANG'AA NA KUONEKANA NA HUO UWEUSI WAKE. LAKINI CHA AJABU MIARABU INASWALI KILA SIKU MARA TANO HAINA SIJDAH NA NI WEUPEE. ETI MIMATUMBI IMEAHIDIWA IKIFA KWENYE UISLAMU UTABADILIKA NA KUWA MIARABU NDO MAANA INAJITUMA SANA KWENYEUISLAM.

adriz Malaria 2 Jagina


1717775789544.jpeg
 
Huifuatilii tu Aljazeera,wana vipindi vya the stream,Aljazeera world,people and power na inside story ambavyo vinajadili matatizo mbali mbali.
Kuna kipindi kimoja cha inside story walijadili matatizo ya wamaasai wa Tanzania kuhamishwa Ngorongoro.
Mkuu hata mda huu nafatilia sidhani kama Kuna siku nimeacha kuangalia Al Jazeera na CGTN ila katika kipindi hiki haya matukio yote mawili yanahusisha mauaji makali na almost genocide yanapaswa kupewa uzito sawa katika coverage
 
Mkuu hata mda huu nafatilia sidhani kama Kuna siku nimeacha kuangalia Al Jazeera na CGTN ila katika kipindi hiki haya matukio yote mawili yanahusisha mauaji makali na almost genocide yanapaswa kupewa uzito sawa katika coverage
Kuna sehem umemiss ila kuzungumzia wamewahi kaka,japo hawajalipa uzito.
 
Kuna sehem umemiss ila kuzungumzia wamewahi kaka,japo hawajalipa uzito.
Leo wameweka uzito nimeona wameenda hospital na kuonesha picha mbalimbali nadhani pamoja na wao ku cover vyombo vya afrika vinapaswa kufanyia kazi huu mgogoro maana nimeona taarifa ya UN watu zaidi ya 7ml wamepoteza makazi pamoja na Mali na wote wanahifadhiwa kambi za wakimbizi
 
Al Jazeera wametangaza hii habari haraka haraka sana hakuna coverage hata ya kuhoji watu ambao wanasema Ile ni massacre.

African news nao Wala hawatangazi kuhusu Sudani.

Taarifa yote iko Gaza Ina cover Kila sekunde hadi mistari ya kuchukua chakula milio ya ndege n.k

Africa is for Africans huko kwingine hapatuhusu tupige kelele amani ya Sudani ni muhimu ningetegemea watu kama Kipa wa Azam awe hata na banner inayotaka "peace for Sudani"lakini unaweza Kuta nae anataka amani ya Palestine.
Huko Jazira ni wapi, na kumetokea nini exactly, eleza..
 
Huko Jazira ni wapi, na kumetokea nini exactly, eleza..
Jazira ni mji mdogo ulioko Sudan kaskazini wanamgambo wanaotaka kupindua serikali wameua zaidi ya watu 100 ndani ya usiku mmoja na mauaji bado yanaendelea
Watu ml 7 wamepoteza Mali na makazi hakuna shule Wala huduma za kijamii ni mwendo wa risasi
 
Bila Afrika kujikomboa kitabaka,kifikra na kiimani kwa kuwaondoa walioitawala na mabaki ya na kuwarudisha kwao bado vita itakuwa shida tu.
"Chase those crazy baldhead out of Afrika"By Bob Marley
 
Back
Top Bottom