halafu baadae wakishinda vita utasikia allah akbar, mara wanatangaza ni serikali ya kiislam wakati waliua watu. Shame on them makafiri hao wa kisudan.Jazira ni Kijiji(eneo) hapo Sudani wanamgambo wameingia wamechinja watu sio poa zaidi ya watu 100 kwa usiku mmoja
Hivi waarabu wa Sudan hawawataki watu weusi wa hukoJazira ni Kijiji(eneo) hapo Sudani wanamgambo wameingia wamechinja watu sio poa zaidi ya watu 100 kwa usiku mmoja
Sasa unakuta mmatumbi anapiga kelele Israelis kuua palestinians wakati weusi wenzie hapo sudan wanakatwa vichwa na waarabu koko kimya!Hivi waarabu wa Sudan hawawataki watu weusi wa huko
Siyo...
Ova
Alafu kwanini yanayotokea huko Sudan wapiga kelele huku,wanapigaga kimyaSasa unakuta mmatumbi anapiga kelele Israelis kuua palestinians wakati weusi wenzie hapo sudan wanakatwa vichwa na waarabu koko kimya!
Dar nlikuwa napishana na lipradoSasa unakuta mmatumbi anapiga kelele Israelis kuua palestinians wakati weusi wenzie hapo sudan wanakatwa vichwa na waarabu koko kimya!
Yah refer kauli ya Mseveni akiwa msuluhishi wa mgogoro wao wale wasudani wenye nywele laini kama wale waliokuja Muhimbili hawataki kabisa kuchangamana na wale kina John GarangHivi waarabu wa Sudan hawawataki watu weusi wa huko
Siyo...
Ova
Hili ndio swali kwa wengi kwanini vyombo vya habari havitoi uzito kwa mgogoro wa Sudan kama vile wanavyotoa kwa Ukraine na Palestine!?Alafu kwanini yanayotokea huko Sudan wapiga kelele huku,wanapigaga kimya
Ova
Hilo li Prado limeona shida kuweka Pray for Sudan nchi ambayo kwa Sasa imesimama kabisa hakuna michezo hakuna elimu hakuna maji hakuna umeme Kila kitu kimegandaDar nlikuwa napishana na liprado
Limoja linabendera la Palestine
Gari imeandikwa free 🇵🇸
Ova
Niliangalia interview ya Ruto Jana Al Jazeera Kila akijitahidi kuongelea Sudan mtangazaji anampeleka Palestine hadi jamaa akawa kama haelewi mtangazi anajiliza pale kwa kutana women and children Ruto anahamia SudanHata Afrika nzima imekaa kimya, kazi kushadadia mambo ya race zingine.
Mahawara zao hawajasema chochote. Wanasubiri bwana zao wakiongea, hawa waafrika wapuuzi wafuate upepo wa mwenye mbwa.Hili ndio swali kwa wengi kwanini vyombo vya habari havitoi uzito kwa mgogoro wa Sudan kama vile wanavyotoa kwa Ukraine na Palestine!?
Imefikia hatua na waafrika wenyewe hawaoni mgogoro wa Sudani nao wanabeba mabango ya Palestine,Un inaongelea Palestine na Ukraine hata ICJ nayo inaongelea huko huko huku afrika ikifumbiwa macho