Huifuatilii tu Aljazeera,wana vipindi vya the stream,Aljazeera world,people and power na inside story ambavyo vinajadili matatizo mbali mbali.Al Jazeera wametangaza hii habari haraka haraka sana hakuna coverage hata ya kuhoji watu ambao wanasema Ile ni massacre.
African news nao Wala hawatangazi kuhusu Sudani.
Taarifa yote iko Gaza Ina cover Kila sekunde hadi mistari ya kuchukua chakula milio ya ndege n.k
Africa is for Africans huko kwingine hapatuhusu tupige kelele amani ya Sudani ni muhimu ningetegemea watu kama Kipa wa Azam awe hata na banner inayotaka "peace for Sudani"lakini unaweza Kuta nae anataka amani ya Palestine.
UTAKUTA LIMATUMBI JEUSIII TII KAMA TAKO LA IDDI AMINI LINA SIJDAH TENA INANG'AA NA KUONEKANA NA HUO UWEUSI WAKE. LAKINI CHA AJABU MIARABU INASWALI KILA SIKU MARA TANO HAINA SIJDAH NA NI WEUPEE. ETI MIMATUMBI IMEAHIDIWA IKIFA KWENYE UISLAMU UTABADILIKA NA KUWA MIARABU NDO MAANA INAJITUMA SANA KWENYEUISLAM.
adriz Malaria 2 Jagina
UTAKUTA LIMATUMBI JEUSIII TII KAMA TAKO LA IDDI AMINI LINA SIJDAH TENA INANG'AA NA KUONEKANA NA HUO UWEUSI WAKE. LAKINI CHA AJABU MIARABU INASWALI KILA SIKU MARA TANO HAINA SIJDAH NA NI WEUPEE. ETI MIMATUMBI IMEAHIDIWA IKIFA KWENYE UISLAMU UTABADILIKA NA KUWA MIARABU NDO MAANA INAJITUMA SANA KWENYEUISLAM.
adriz Malaria 2 Jagina
Du... Kijiji kilichovamiwa ni cha sudan kusini? Au ni ile vita ya Sudan (khartoum) inaendelea?Massacre Moja mbaya usiku wa Jana more than 100 soul butchered
Mkuu hata mda huu nafatilia sidhani kama Kuna siku nimeacha kuangalia Al Jazeera na CGTN ila katika kipindi hiki haya matukio yote mawili yanahusisha mauaji makali na almost genocide yanapaswa kupewa uzito sawa katika coverageHuifuatilii tu Aljazeera,wana vipindi vya the stream,Aljazeera world,people and power na inside story ambavyo vinajadili matatizo mbali mbali.
Kuna kipindi kimoja cha inside story walijadili matatizo ya wamaasai wa Tanzania kuhamishwa Ngorongoro.
Kuna sehem umemiss ila kuzungumzia wamewahi kaka,japo hawajalipa uzito.Mkuu hata mda huu nafatilia sidhani kama Kuna siku nimeacha kuangalia Al Jazeera na CGTN ila katika kipindi hiki haya matukio yote mawili yanahusisha mauaji makali na almost genocide yanapaswa kupewa uzito sawa katika coverage
Leo wameweka uzito nimeona wameenda hospital na kuonesha picha mbalimbali nadhani pamoja na wao ku cover vyombo vya afrika vinapaswa kufanyia kazi huu mgogoro maana nimeona taarifa ya UN watu zaidi ya 7ml wamepoteza makazi pamoja na Mali na wote wanahifadhiwa kambi za wakimbiziKuna sehem umemiss ila kuzungumzia wamewahi kaka,japo hawajalipa uzito.
Huko Jazira ni wapi, na kumetokea nini exactly, eleza..Al Jazeera wametangaza hii habari haraka haraka sana hakuna coverage hata ya kuhoji watu ambao wanasema Ile ni massacre.
African news nao Wala hawatangazi kuhusu Sudani.
Taarifa yote iko Gaza Ina cover Kila sekunde hadi mistari ya kuchukua chakula milio ya ndege n.k
Africa is for Africans huko kwingine hapatuhusu tupige kelele amani ya Sudani ni muhimu ningetegemea watu kama Kipa wa Azam awe hata na banner inayotaka "peace for Sudani"lakini unaweza Kuta nae anataka amani ya Palestine.
Inaumiza sana hii mkuu dahAU ilipaswa kuwa mstali wa mbele ila ndio hivyo Kila mtu anajali tumbo lake
Jazira ni mji mdogo ulioko Sudan kaskazini wanamgambo wanaotaka kupindua serikali wameua zaidi ya watu 100 ndani ya usiku mmoja na mauaji bado yanaendeleaHuko Jazira ni wapi, na kumetokea nini exactly, eleza..
Wayahudi wapi na mabuda wa wapi ? Ninavyojua Pope huwa anafanya hivyo baadhi ya wakatiWayahudi,budha wanasali hivyo hadi wa leo so hakuna jipya mkuu