Taarifa ya awali kuhusu hukumu ya Mahakama Kuu masjala kuu Dar es Salaam, kuhusu Wanachama 19 waliofukuzwa CHADEMA

Taarifa ya awali kuhusu hukumu ya Mahakama Kuu masjala kuu Dar es Salaam, kuhusu Wanachama 19 waliofukuzwa CHADEMA

Hivi ni kwa nini wang'ang'anie Kubaki humo Chadema ilihali hawatakiwi? watangaze tu wamejitoa, maisha yaendelee. Kama ni ndoa, ilikwisha vunjwa na kamati tu, na hata kama baraza kuu likiitishwa upya- likiwaondoa akina mbowe na wenzake, maamuzi yatakuwa ni yale yale yaliyo tolewa mwanzo. Akina Mzee wa-save face, wajiondoe wenyewe kuliko kungangania njemba isiyokutaka.
 
Tumepokea hukumu iliyotolewa leo Alhamisi tarehe 14 Desemba, 2023, uamuzi wa Mheshimiwa Jaji Cyprian Phocas Mkeha;

1. Kwamba uamuzi wa kuwafukuza uanachama waliokuwa wanachama wetu 19 uliofanywa na Kamati Kuu ya Chama, umeendelea kusimama (Upo pale pale) na Mahakama imekubaliana kuwa taratibu zote za Katiba ya Chadema na Sheria za nchi zilifuatwa kikamilifu na Kamati Kuu katika kuchukua uamuzi huo.

2. Kwamba, maamuzi ya Baraza Kuu kuhusu Rufaa yamefutwa na hivyo Baraza Kuu linapaswa kukaa upya kusikiliza Rufaa; lakini Kamati Kuu ilishawafukuza Uanachama na uamuzi wake Judge kasema wazi upo sahihi.

Hivyo basi, kwa hatua ya sasa Chama kitawasiliana na Mawakili wake ili kutafakari hatua za kuchukua ikiwa ni pamoja na kumkumbusha Spika wa Bunge kuhusu utekelezaji wa uamuzi wa Kamati kuu ya Chama wa tarehe 27 Novemba, 2020 kwani Mahakama imethibitisha kuwa walishafukuzwa uanachama kihalali na taratibu zote zilifuatwa .

Tunawataka wanachama wetu watulie wakati huu chama kinapotafakari hatua za ziada.

Imetolewa leo Alhamisi tarehe 14 Desemba, 2023.



John Mrema
Mkurugenzi wa Mawasiliano, Itifaki na Mambo ya nje.View attachment 2842642
View attachment 2842645
Wasuse tu
 
Busara itawale CHADEMA,kaeni na wabunge wenu muombane msamaha mambo yaendeleee acha kufukuzana,jifunze Kwa CCM
Ruzuku inayotokana na kina Mdee wanaendelea kuchukua toka DJ alambe asali
 
Hivi ni kwa nini wang'ang'anie Kubaki humo Chadema ilihali hawatakiwi? watangaze tu wamejitoa, maisha yaendelee. Kama ni ndoa, ilikwisha vunjwa na kamati tu, na hata kama baraza kuu likiitishwa upya- likiwaondoa akina mbowe na wenzake, maamuzi yatakuwa ni yale yale yaliyo tolewa mwanzo. Akina Mzee wa-save face, wajiondoe wenyewe kuliko kungangania njemba isiyokutaka.
Unajua ladha ya ubunge? Kikatiba huwezi kuwa mbunge bila chama. Hapo vita inayopiganwa ni maslahi. Mbowe ana majina yake anayotaka yaingie bungeni na kina mama 19 nao hawawezi kubali maslahi yao kuguswa. Mmoja wa wanawake 19 ni mke wa naibu katibu mkuu wa CHADEMA.
 
Unajua ladha ya ubunge? Kikatiba huwezi kuwa mbunge bila chama. Hapo vita inayopiganwa ni maslahi. Mbowe ana majina yake anayotaka yaingie bungeni na kina mama 19 nao hawawezi kubali maslahi yao kuguswa. Mmoja wa wanawake 19 ni mke wa naibu katibu mkuu wa CHADEMA.
Mbowe anakula ruzuku ya chama
 
Hivi ni kwa nini wang'ang'anie Kubaki humo Chadema ilihali hawatakiwi? watangaze tu wamejitoa, maisha yaendelee. Kama ni ndoa, ilikwisha vunjwa na kamati tu, na hata kama baraza kuu likiitishwa upya- likiwaondoa akina mbowe na wenzake, maamuzi yatakuwa ni yale yale yaliyo tolewa mwanzo. Akina Mzee wa-save face, wajiondoe wenyewe kuliko kungangania njemba isiyokutaka.
1. Mshahara wa mbunge plus marupurupu ni nearly 15m/=
2. Wale wamewekwa pale na dola Kwa sababu maalum.
 
Tumepokea hukumu iliyotolewa leo Alhamisi tarehe 14 Desemba, 2023, uamuzi wa Mheshimiwa Jaji Cyprian Phocas Mkeha;

1. Kwamba uamuzi wa kuwafukuza uanachama waliokuwa wanachama wetu 19 uliofanywa na Kamati Kuu ya Chama, umeendelea kusimama (Upo pale pale) na Mahakama imekubaliana kuwa taratibu zote za Katiba ya Chadema na Sheria za nchi zilifuatwa kikamilifu na Kamati Kuu katika kuchukua uamuzi huo.

2. Kwamba, maamuzi ya Baraza Kuu kuhusu Rufaa yamefutwa na hivyo Baraza Kuu linapaswa kukaa upya kusikiliza Rufaa; lakini Kamati Kuu ilishawafukuza Uanachama na uamuzi wake Judge kasema wazi upo sahihi.

Hivyo basi, kwa hatua ya sasa Chama kitawasiliana na Mawakili wake ili kutafakari hatua za kuchukua ikiwa ni pamoja na kumkumbusha Spika wa Bunge kuhusu utekelezaji wa uamuzi wa Kamati kuu ya Chama wa tarehe 27 Novemba, 2020 kwani Mahakama imethibitisha kuwa walishafukuzwa uanachama kihalali na taratibu zote zilifuatwa .

Tunawataka wanachama wetu watulie wakati huu chama kinapotafakari hatua za ziada.

Imetolewa leo Alhamisi tarehe 14 Desemba, 2023.



John Mrema
Mkurugenzi wa Mawasiliano, Itifaki na Mambo ya nje.View attachment 2842642
View attachment 2842645
Kwamba cdm mnatarajia mahakama ingetoa hukumu tofauti na utashi wa serekali? Hukumu hii bila kujali kama tumeielewa ama ndio hivi mnavyosema cdm, hakuna namna yoyote itaweza kufanyiwa kazi nje ya utashi wa walioweka huko bungeni.
 
Wengi walio comment ni wajinga. Chadema iliwafukuza Halima na wenzie ikamaliza. Walioenda Mahakamani ni kina Halima. Na hukumu ndio hiyo ambayo inatakiwa Halima na wenzie wafukuzwe bungeni mpaka rufaa yao isikilizwe na baraza kuu. Mbona hukumu ipo wazi?
 
Busara itawale CHADEMA,kaeni na wabunge wenu muombane msamaha mambo yaendeleee acha kufukuzana,jifunze Kwa CCM
Katiba ya nchi iko wazi mno, mbunge akifukuzwa uanachama, na ununge umeishia hapo. Huu ununge wa Hawa ni mkono wa serikali, ona wengine walitolewa gerezani usiku na kuapishwa ununge, uliona wapi kama siyo utashi wa serikali?

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom