Taarifa ya awali kuhusu hukumu ya Mahakama Kuu masjala kuu Dar es Salaam, kuhusu Wanachama 19 waliofukuzwa CHADEMA

Shida ni ccm kujaza wasimbe sugu ambao akili hawana kazi kupiga kelele tu
 
Mbowe alifikiri chama ni cha mkwewe, akaona anaweza kuwaburuza watu apendavyo
Huyu dikteta idd amini mbowe amekomeshwa
Tayari kawaburuza hata wewe kakuburuza kwa Taarifa yako Chd karahisishiwa kesi na Mahakama kaelekezwa nini cha kufanya na atakifanya mapema hatua ya kwanza kashinda

Sent from my SM-A145R using JamiiForums mobile app
 

Wewe ndio shabiki. Nani kagaragazwa?. Akina Halima Mdee sio wanachama wa CHADEMA mpaka muda huu kwani maamuzi ya kamati kuu hayajabatilishwa. Ila imetoa muongozo kwamba Baraza kuu like Tena bila kuhusisha wale viongozi wa kamati kuu. Sasa hapo nani kashinda?
 
Busara itawale CHADEMA,kaeni na wabunge wenu muombane msamaha mambo yaendeleee acha kufukuzana,jifunze Kwa CCM

Msamaha anaomba nani?. Hapo ni CHADEMA kuitisha mkutano wa baraza kuu.
 
Ingekuwa busara kama CHADEMA mngejikita kwenye kuandaa uchaguzi mkuu ndani ya chama.
 
Mhe halima mdee hatimaye kampiga mkoloni mboweeh🤣🤣🤣

Kumbe mdee alifungua kesi dhidi ya Mbowe?. Halafu umesoma hukumu? Akina Halima Mdee sio wanachama wa CHADEMA, kilichoangaliwa ni rufaa yao baraza kuu. Hivyo CHADEMA inabidi isikilize ruffaa yao upya.
 
Muda wa bunge umekwisha, hii yote ilikua ni danadana kupoteza wakati.
 
Kwa hiyo baraza kuu lililowavua uanachama lilifanya maamuzi ya kipuuzi hadi mahakama imeamua mrudie tena? CHADEMA ina wanasheria wanaojitambua kweli?
 
Majinga chadema yamegaragazwa

Ruzuku inayotokana na kina Mdee wanaendelea kuchukua toka DJ alambe asali
Wjng kabisa,Acha sisi tuendele gawa
Rasilimali za nchi ,sisi ndiyo tuna akili
Chadema hamna kitu

Ova
 
Mbowe alifikiri chama ni cha mkwewe, akaona anaweza kuwaburuza watu apendavyo
Huyu dikteta idd amini mbowe amekomeshwa
Pambana na Hali yako,hasira za nini Kwa mambo yasiokuhusu mwafrika ni laana
 
Pambana na Hali yako,hasira za nini Kwa mambo yasiokuhusu mwafrika ni laana
Binafsi mimi si mwnachama cha siasa cho chote lakini hii taarifa ya Chadema ni mfano mzuri wa utawala bora wa kutoa tamko haraka badala ya kuacha wanachama wake kupiga ramli. Nawapeni hongera. Kuna kiongozi mmoja aliwahi kusema Chadema ina human resource ya kutosha naanza kuamini sasa.
 
Kama nilivyojieleza mwanzoni mimi si mwanachama wa chama cho chote cha siasa ila ni raia Mtanzania. Napenda kuwauliza wenzetu mliosoma constitutional law na nadharia ya sheria mnaweza kuorodhesha masuala katika jamii ambayo ni ultra vires kwa mahakama kujihusisha? Kwa mfano, Kamati Kuu ya CCM inapopendekeza majina matatu ya wagombea Urais kwenye mkutano Mkuu wa Chama, je Mahakama inaweza kuwa moved iwakataze Kamati Kuu isishiriki katika kuwapigia kura hao waliopendekezwa kwa sababu walihusika kwenye kikao cha awali cha kuwapendekeza ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…