Unakataa nini? Kwamba hampokei ruzuku kwa mgongo wa wabunge wenu?Ruzuku na viti maalum wapi na wapi?Usipende kuropoka
Huyu binamu yake mzee mbowe mbona anataka kupotosha? swala la rufaa kupitia baraza kuu ilikuwaje ?Tumepokea hukumu iliyotolewa leo Alhamisi tarehe 14 Desemba, 2023, uamuzi wa Mheshimiwa Jaji Cyprian Phocas Mkeha;
1. Kwamba uamuzi wa kuwafukuza uanachama waliokuwa wanachama wetu 19 uliofanywa na Kamati Kuu ya Chama, umeendelea kusimama (Upo pale pale) na Mahakama imekubaliana kuwa taratibu zote za Katiba ya Chadema na Sheria za nchi zilifuatwa kikamilifu na Kamati Kuu katika kuchukua uamuzi huo.
2. Kwamba, maamuzi ya Baraza Kuu kuhusu Rufaa yamefutwa na hivyo Baraza Kuu linapaswa kukaa upya kusikiliza Rufaa; lakini Kamati Kuu ilishawafukuza Uanachama na uamuzi wake Judge kasema wazi upo sahihi.
Hivyo basi, kwa hatua ya sasa Chama kitawasiliana na Mawakili wake ili kutafakari hatua za kuchukua ikiwa ni pamoja na kumkumbusha Spika wa Bunge kuhusu utekelezaji wa uamuzi wa Kamati kuu ya Chama wa tarehe 27 Novemba, 2020 kwani Mahakama imethibitisha kuwa walishafukuzwa uanachama kihalali na taratibu zote zilifuatwa .
Tunawataka wanachama wetu watulie wakati huu chama kinapotafakari hatua za ziada.
Imetolewa leo Alhamisi tarehe 14 Desemba, 2023.
John Mrema
Mkurugenzi wa Mawasiliano, Itifaki na Mambo ya nje.View attachment 2842642
View attachment 2842645
Hivi mzee Mbowe na genge lake anajisikiaje kwa UZEMBE?Hii taarifa ya kukurupuka sana haieleweki. TUIPUUZE. Sultani Mbowe ingependeza kama angeachia ngazi kwa sababu ni aibu kwa chama kilichojaa wanasheria kugaragazwa mahakamani na kina mama shupavu 19. Mtake msitake kina Halima na wenzake ni wanachama halali wa CHADEMA. Hamuwezi kuwafukuza kihuni.
Kwa hiyo majaji ndio walimwambie mzee Mbowe awe mwenyeketi dhid ya rufaa ambao ilitokana na maamuzi yeye akiwa mwenyekiti?Ni maamuzi ambayo yalitarajiwa kufanyaw na hawa majaji uchwara. Majaji wanaopokea maagizo toka juu. Pathetic!
Hapana wakomae nao tuone ubovu wa hizi mahakama za CCMCHADEMA nashauri muachane na hao wanawake.. chukueni ushauri wa Bwege " mi nilijua, hii kesi hatutoboi" kwa sababu serikali ipo pamoja na upande wa pili . wana backup wale...
rejea mifano ya kesi hizi, serikali ya chama cha kijani ilipo husika, na jinsi maamuzi ya kushangaza yaliyotolewa
1. Seif vs Lipumba
2. Mbowe vs jamuhuri ugaidi
3. kesi ya askari aliyemuua akwilina
4. kesi ya walio muua mwangosi
5. kesi ya uamsho vs serikali
6. Kesi ya ditopile, mramba
7. Kesi ya mchungaji Mbarikiwa Mwakipesile
8. Kesi ya Sugu
9
.
Hadi mwenye biashara yake aruhusuIngekuwa busara kama CHADEMA mngejikita kwenye kuandaa uchaguzi mkuu ndani ya chama.
Kwa hiyo uzembe wa Mwenyekiti hamuuoni mnakimbilia kulaumu mahakama ?nyie viwavi wa chadema mna matatizo aiseeHivi kuna sababu ya kwenda mahakamani tena?
Binafsi siioni, tunachezewa tu kama watoto wadogo.
Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
Chadema ijifunze kulogana, kufanyiana fitna au zengwe au kutoa maagizo kwa Watendaji wa Mihimili mikuu mitatu???Busara itawale CHADEMA,kaeni na wabunge wenu muombane msamaha mambo yaendeleee acha kufukuzana,jifunze Kwa CCM
Nahisi kama hii ni "Taarifa Rasmi ya Chadema" basi ietolewa ikiwa haijapitiwa na kuhakikiwa na wanasheria wake.Tumepokea hukumu iliyotolewa leo Alhamisi tarehe 14 Desemba, 2023, uamuzi wa Mheshimiwa Jaji Cyprian Phocas Mkeha;
1. Kwamba uamuzi wa kuwafukuza uanachama waliokuwa wanachama wetu 19 uliofanywa na Kamati Kuu ya Chama, umeendelea kusimama (Upo pale pale) na Mahakama imekubaliana kuwa taratibu zote za Katiba ya Chadema na Sheria za nchi zilifuatwa kikamilifu na Kamati Kuu katika kuchukua uamuzi huo.
2. Kwamba, maamuzi ya Baraza Kuu kuhusu Rufaa yamefutwa na hivyo Baraza Kuu linapaswa kukaa upya kusikiliza Rufaa; lakini Kamati Kuu ilishawafukuza Uanachama na uamuzi wake Judge kasema wazi upo sahihi.
Hivyo basi, kwa hatua ya sasa Chama kitawasiliana na Mawakili wake ili kutafakari hatua za kuchukua ikiwa ni pamoja na kumkumbusha Spika wa Bunge kuhusu utekelezaji wa uamuzi wa Kamati kuu ya Chama wa tarehe 27 Novemba, 2020 kwani Mahakama imethibitisha kuwa walishafukuzwa uanachama kihalali na taratibu zote zilifuatwa .
Tunawataka wanachama wetu watulie wakati huu chama kinapotafakari hatua za ziada.
Imetolewa leo Alhamisi tarehe 14 Desemba, 2023.
John Mrema
Mkurugenzi wa Mawasiliano, Itifaki na Mambo ya nje.View attachment 2842642
View attachment 2842645
🤣Erythrocyte asione hii 😂
Mbowe sio basha lako wewe nenda chato Kia mzoga wenu ukapate kiburudisho chako mbowe hata mamayenu anamjua vizuriMbowe alifikiri chama ni cha mkwewe, akaona anaweza kuwaburuza watu apendavyo
Huyu dikteta idd amini mbowe amekomeshwa
Chadema huwa wanampuuza Pascal Mayalla, ila huwa anawaambia ukweli wa chanzo cha kila kitu kinachotokeaCHADEMA waachane na kesi ya Nyani iliyo mbele ya Ngedere,