Taarifa ya awali kuhusu hukumu ya Mahakama Kuu masjala kuu Dar es Salaam, kuhusu Wanachama 19 waliofukuzwa CHADEMA

Ruzuku na viti maalum wapi na wapi?Usipende kuropoka
Unakataa nini? Kwamba hampokei ruzuku kwa mgongo wa wabunge wenu?

Msiwakatae wabunge wenu waliowapatia Ruzuku.

Kwenye kuropoka, wewe unawashwaje kwa pilipili ninayoitafuna?
 
Huyu binamu yake mzee mbowe mbona anataka kupotosha? swala la rufaa kupitia baraza kuu ilikuwaje ?
 
Hivi mzee Mbowe na genge lake anajisikiaje kwa UZEMBE?
 
Ni maamuzi ambayo yalitarajiwa kufanyaw na hawa majaji uchwara. Majaji wanaopokea maagizo toka juu. Pathetic!
Kwa hiyo majaji ndio walimwambie mzee Mbowe awe mwenyeketi dhid ya rufaa ambao ilitokana na maamuzi yeye akiwa mwenyekiti?
 
Hapana wakomae nao tuone ubovu wa hizi mahakama za CCM
 
Heri ujinga kuliko upumbavu!Maamuzi na maelekezo ya mahakama yako wazi sana!lakini.....mh!hizo comment zingine duh!hakika tutafika tuendako tukiwa tumechoka sana!Ni heri enzi zile za chuo kikuu kimoja!
 
Busara itawale CHADEMA,kaeni na wabunge wenu muombane msamaha mambo yaendeleee acha kufukuzana,jifunze Kwa CCM
Chadema ijifunze kulogana, kufanyiana fitna au zengwe au kutoa maagizo kwa Watendaji wa Mihimili mikuu mitatu???
 
Nahisi kama hii ni "Taarifa Rasmi ya Chadema" basi ietolewa ikiwa haijapitiwa na kuhakikiwa na wanasheria wake.
 
Covid 19 ilikua ni michezo ya mbowe na jiwe kuhadaa watu,nani alikuambia jiwe na mbowe walikuwa maadui?
 
Lakini bado jaji kafanya masmuzi kama kawaida yao. Kapelekewa asome.
Kwanini hakuangalia kura zilizo pigwa atoe hapo kura za wajumbe wa kamati kuu kuona kama zilizo baki zina tosha kutoa maamuzi?
Kuna ujinga mahakama una fanya ambayo haiinei huruma pesa wanazo lipwa hawa covid19.
Hivi maamuzi ya Chadema kuwafukuza hawa wezi na jinai serikali inayo fanya kuiba pesa za umma ni ipi kubwa???
 
Mbowe alifikiri chama ni cha mkwewe, akaona anaweza kuwaburuza watu apendavyo
Huyu dikteta idd amini mbowe amekomeshwa
Mbowe sio basha lako wewe nenda chato Kia mzoga wenu ukapate kiburudisho chako mbowe hata mamayenu anamjua vizuri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…