Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yani ni sawa na kutwanga maji kwenye kinu.Hawa watu sio wa mchezo asee...
Hawa watu sio wa mchezo asee...
Haya si ndio mambo sasaHawa watu sio wa mchezo asee...
Hawa waarabu ni ubishi tu unawasumbua lkn kiukweli kbs Izrael sio saizi Yao, wapitie upya kitabu Chao kwani naona kama wao ndio wanaofutwa badala ya kufuta.Hawa watu sio wa mchezo asee...
Mnajifariji huku mmebana marinda namikundu mkiwa na uchungu mkuu major permanent pain in theass.
NDIONa mabomu yameacha kuurushwa sio saivi ana amani hasumbuliwi?
Kwaio "kuto twanga maji kwenye kinu" ni kuua askari wa chini ambao hawana umuhimu wowote?Yani ni sawa na kutwanga maji kwenye kinu.
Hao watu anakufa huyu anawekwa mwingine.
Hamas si wameuliwa viongozi wao zaidi ya wanne??
Je mapigano ya Hamas yamesitishwa?
Je Hamas wamejisalimisha?
Uko sahihi. Kila siku tunaambiwa humu huwa wanazaliana kama nzi; ukiuwa 5 wanazaliwa 5,000! Big failure to Israel!Yani ni sawa na kutwanga maji kwenye kinu.
Hao watu anakufa huyu anawekwa mwingine.
Hamas si wameuliwa viongozi wao zaidi ya wanne??
Je mapigano ya Hamas yamesitishwa?
Je Hamas wamejisalimisha?
Si sawa hata mkiweka wengine hawawafiki hawa waliouawa kwa uzoefu na israel imewapa uoga hata wengine wanaoteuliwa wataeliminatiwa tena hivyoYani ni sawa na kutwanga maji kwenye kinu.
Hao watu anakufa huyu anawekwa mwingine.
Hamas si wameuliwa viongozi wao zaidi ya wanne??
Je mapigano ya Hamas yamesitishwa?
Je Hamas wamejisalimisha?
Kwa akili zako za kishabiki zisizo na upembuzi.Si sawa hata mkiweka wengine hawawafiki hawa waliouawa kwa uzoefu na israel imewapa uoga hata wengine wanaoteuliwa wataeliminatiwa tena hivyo
Mnajifariji tu kwa kubana marinda nyie kobazi ili kiukweli inawauma tena viongozi wa hezbolah wawili wameuawa wakiwa kwenye mkutano wakuishambulia israel na viongozi wandamizi 16 wa hezbollah hapo israel amefanya kitu kina Premilitary strikesUko sahihi. Kila siku tunaambiwa humu huwa wanazaliana kama nzi; ukiuwa 5 wanazaliwa 5,000! Big failure to Israel!
Wewe jamaa ni kama fuse moja au mbili zimekufa hapo kichwani.Yani ni sawa na kutwanga maji kwenye kinu.
Hao watu anakufa huyu anawekwa mwingine.
Hamas si wameuliwa viongozi wao zaidi ya wanne??
Je mapigano ya Hamas yamesitishwa?
Je Hamas wamejisalimisha?