Taarifa ya JWTZ kwa Umma

Status
Not open for further replies.
Lakini ile habari si ilikuwa twitted na JWTZ wenyewe? au ile account https://twitter.com/JW_TZ ya JWTZ ni fake?
View attachment 111624

Watu kama nyie ndo mnaiongezea heshima JF tunashukuru kwa kuwabandikia hiyo twit hapo juu waseme sasa kama hiyo akaunti ni yao au sio yao na kama sio yao inakuwaje wanaiachia muda wote huo? na wakuchukuliwa hatua ni mwenye hiyo akaunti sio JF,Jw walinde mipaka ya nchi kazi ya siasa za majitaka wawaachie Nape na Mwigulu
 
Nimeisoma taarifa naona kama inapotoshwa hawajasema wataichukulia hatua JF.
Wamesema watawachukulia hatua walioandika upotoshaji ule na wamesisitiza kuwa zile account za facebook na twitter ni fake.
 

Tatizo madogo wanadaigi picha mno ndo maana Jf inakosaga mambo.
Sosi sosi sosi ya nini! Za kintelijansia hazinaga!
 
Nimeisoma taarifa naona kama inapotoshwa hawajasema wataichukulia hatua JF.
Wamesema watawachukulia hatua walioandika upotoshaji ule na wamesisitiza kuwa zile account za facebook na twitter ni fake.

Waaache wafu wazikane wao kwa wao JF hiyooooooooooo!
 
Kwa mtazamo wangu jf ni source kubwa ya information mbalimbali 'cause inawajumbe kutoka kila kichochoro cha tz/jw must not take any action but it the challange for them to reorganise and make sure their security issue should/must not leaks
 
Wacha kuji jambia wewe I'd yako fake mtu wenyewe unaishi sehemu hata gprs haisomi hakuna hata mnara wasimu ukitaka kusikiliza simu lazima upande juu ya mti sasa unaogopa nini?wata kushitaki kwa kosa gani na sheria zipi?

Patamu hapo!!!!!!
 
JWTZ wasije wakaimalizia heshima ndogo iliyobaki mbele ya jamii.

Hivi yule jasusi wa Kagame aliekua kitengo cha IT wamemkamata.?
 
Jeshi sasa limekosa cha kufanya, hili ndio tatizo la kuwa mbwa koko.. Hivi wameshamkamata yule mnyarwanda?
 
Wewe kupatikana sio kazi wakitaka. Aliyetengeneza jf ni binadamu ka wewe lakini najua hawatafanya hivyo hata wao wanapata habari humu lakini tuwe makini tunachoandika kinaweza kuleta madhara makubwa sana bila cc kutarajia.
 
Wewe kupatikana sio kazi wakitaka. Aliyetengeneza jf ni binadamu ka wewe lakini najua hawatafanya hivyo hata wao wanapata habari humu lakini tuwe makini tunachoandika kinaweza kuleta madhara makubwa sana bila cc kutarajia.

Inamaana mods wanaweza kutusaliti kwa kuwapa jwtz id zetu pamoja na clue ili watusake?
 
Kuna masuala yanayostahili kutumia nguvu za mwili na mengine yakihitaji akili na busara kbila kulazimika kutumia nguvu!
Nadhani hili somo kwa wanajeshi wetu wamefundishwa ndivyo sivyo,penye kuhitaji akili wanatumia nguvu na penye kuhitaji nguvu wanatumia akili!

Ifikie mahali wajue hizi si zile zama za The King's African Rifles,ambapo jeshi lilikuwa linaendeshwa kwa code za kikoloni,sasa hivi watu wana uelewa mpana wa mambo! JWTZ they have to know that navigation is not a science but skills,there is no need of making skills harder by putting it in problems!
 
Search kuna kitu kinaitwa Ip address.

Ndiyo nikasema neno "clue" kwa maana kua mod ndo watatoa hizo ip address zetu ili tusakwe? Ama hizo ip address kila mtu anaweza kuzipata kwa kadri anavyotaka? Nipe elimu kidogo namna ya kupata ip address ya mtu from any social network kama jf.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…