Hao IT ndo wamejaa kibao huku Jf waje wasitubabaishe bana, vita ni vita Mura!
Zitapigwa kisaiba spesi humu hadi kieleweke!
Umetisha sana mura.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hao IT ndo wamejaa kibao huku Jf waje wasitubabaishe bana, vita ni vita Mura!
Zitapigwa kisaiba spesi humu hadi kieleweke!
Fuatilia hapo juu.
Hao IT ndo wamejaa kibao huku Jf waje wasitubabaishe bana, vita ni vita Mura!
Zitapigwa kisaiba spesi humu hadi kieleweke!
Mzee Mwanakijiji huwa hakurupuki. JWTZ watachemsha tu
Hivi ile sheria ya kutokwenda NGOME na Jeans bado ipo?
JW bana.... mie nilidhani siasa ziliondoka na mwanasiasa Shimbo.
Usipotoshe mada waulize wao.
Sijakuelewa!!!
Umewapa ukweli mkuu hawa bado wanaishi mika 47 iliyopita. Eti utasikia siri za serikali. Hivi siri zinaweza kuhifadhiwa vipi na watu wanaolipwa mshahara? Wakistaafu si wanaondoka na kuwaachia wengine sasa hapo siri iko wapi? Hivi JWTZ hawajui askari wanaishi mitaani na ni wanajamii kama raia wengine hivyo kushea habari za jeshi hakuzuiliki?Kuna masuala yanayostahili kutumia nguvu za mwili na mengine yakihitaji akili na busara kbila kulazimika kutumia nguvu!
Nadhani hili somo kwa wanajeshi wetu wamefundishwa ndivyo sivyo,penye kuhitaji akili wanatumia nguvu na penye kuhitaji nguvu wanatumia akili!
Ifikie mahali wajue hizi si zile zama za The King's African Rifles,ambapo jeshi lilikuwa linaendeshwa kwa code za kikoloni,sasa hivi watu wana uelewa mpana wa mambo! JWTZ they have to know that navigation is not a science but skills,there is no need of making skills harder by putting it in problems!
Huu nao ni upotoshaji wana jamvi, JWTZ walitoa taarifa kukanusha kile kilichosemwa kuhusu likizo za dharura, Lakin mleta mada anakuja kusema JWTZ latangaza vita naJF, huu ni upotoshaji mkubwa sana, na usipoangalia mleta hyo IP yako wataitumia wakukamate wewe unapotosha umma, eti VITA KALI JWTZ Vs
JF.Kwa akili yako JWTZ linaweza tanganza vita na JF? acheni upotoshaji watanzania.
Sawa nimekuelewa kwamba inawezekana kupata IP address kwa kadri inavyotakikana. Na kwa mwendo wa humu jf tutasombwa wengi sana.