Jaffo kaongea kutetea kibarua chake Bwashee π πYeye anahusika na ujenzi wa madarasa na vyoo vya shule.
Mambo ya taaluma ni ya mama Ndalichako!
Mufa Maji haishi kutapatapa.Jaffo anaongea kama Nani? Kazi ya waziri wa elimu ni ipi?
Mkuu isije ukawa umechagua kfc sababu Ni mpenzi wa Kentucky Fried Chicken [emoji23][emoji23][emoji23]Ningekuwa mwanafunzi ningechagua KFC
π π πKFC hili jina limekaa kisoka soka
Kabisa mkuuIla Tamisemi kuipa jukumu la kusimamia hii elimu ni kuwaonea tu,
Wangeipa tu wizara ya elimu isimamie elimu ya msingi hadi ya juu, tukijifanya kama hatuoni tutakuja vuna matakataka pale. Ukisikia kitu kinasimamiwa na Tamisemi kila mmoja ni mtaalam na mwenye maamuzi, si wenyeviti wa mitaa, diwani, Mbunge na kila mwenye kanafasi.
NdioChinese ni lugha?
Kwanini mkuuHii KFC hii itafaulisha sanaaa
Hmm kweli?Ndio
Kabisa yaaniHmm kweli?
Kiluvya Football Club hiiiiiii.KFC hili jina limekaa kisoka soka
π π πKiluvya Football Club hiiiiiii.
What is physical education and Fine art