Taarifa ya kubadilisha combination kwa kidato tano na kozi za vyuo vya ufundi

1.PEGEΓ—...
2.PEBFAΓ—
2.KFCβœ“
3.KECβœ“.
4.PMCβœ“ βœ“βœ“

*mtu wa PEGE,chuo kikuu ataomba kozi gani?...,hapa ni kuwapoteza wadogo zetu,mwisho wa siku no.future.
*mtu wa PEBFA,chuo kikuu ataomba kozi gani. hapa pole kwa wadogo zetu,mwisho wa siku no.future.
*at least hawa wa KFC,KEC,chuo kikuu Wanapata coz .

Je ni kweli serikali inauhitaji wa wataalamu wa haya Mambo ya PEGE,PEBFA,KFC,KEC??.kinachofanywa na serikali kwa kweli ni sawa na hizi chanjo za covid,ambazo unachanjwa halafu daktari anakwambia endelea kuchukua tahadhari vaa barakoa,epuka msongamano n.k.[emoji23][emoji23][emoji23]

Nakumbuka Kuna kipindi walianzisha kozi ya community health kwa level ya certificate,watoto wakaenda kibao kusoma,baada yapo,hakuna kilichoendelea,ikaishia hapo hapo level ya certificate.kuna wale wachache mwaka juz nadhani waliajiriwa na wizara ya afya,lakini pia hawa wamepigwa lock.maana yake coz yao imeishia level ya certificate.[emoji23][emoji23].yaani serikali inaanzisha vitu ambavyo haijui baadae namna ya kuviendeleza!!!
 
Kula kuku za KFC utaelewa tu
Kuna vitu huwezi kuelewa mpaka uwe upo kwenye field husika.. dunia imebadilika sana inatakiwa twende na speed ileike inayofaa mfano HKL,HGK n.k tayari wapo wa kutosha mtaani hauoni kama mtaala mpya utapanua soko jipya la ajira mfano mtu akisoma kichina combined na Kiingereza na Kiswahili huyu mtu huoni atakuwa na market sana kwenye hii dunia yetu kwa sasa??
 
Wakimaliza Wajiajiri,kazi zipo nyingi...
 
Haaahahaha nimekubali PEGE na KFC.
 
Chinese is an umbrella language term that encompasses multiple dialects/languages, including Mandarin, Cantonese, Hakka, and more. When you look at it closely, there are actually over 200 dialects of Chinese!
 
Hii hapana jamani.. pls no..
Jamani jamani. Watoto wetu wanaharibiwa future hivi hiv..
Compyuta advance ni ya nini si iwe kama GS tu..
Pls pls noo
 
Bado na somo la historia kuanzia darasa la kwanza hadi kidato cha sita. Vurugu tupu!!
πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ Hii ndio raha ya kusomea Tanzania πŸ‡ΉπŸ‡ΏοΏ½
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…