Taarifa ya kubadilisha combination kwa kidato tano na kozi za vyuo vya ufundi

Halafu baada ya muda fulani, waje WAITWE VILAZA KAMA WALE WALIOCHUKULIWA UDOM, na wakaondoshwa kwa kufurushwa..
 
YOTE KAYATAKA MKALIMANI.
 
Kwa combination hizi binafsi naona hazitoshi, wangeongeza na nyingine mbili ambazo ni KMC yaani Kiswahili, Mathematics na Chemistry na AFC yenye Agriculture, French na Chemistry. Au mnaonaje wadau?
 
Hili jaffo halimhusu wamemtegea ili wamnyofoe mazima tamisemi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…