Mac Alpho
JF-Expert Member
- Aug 5, 2019
- 13,953
- 27,825
Hiyo siku itakuwa lini🤔? 😂😂😂Kusema kweli kuna watu wanauumiza sana upinzani. Labda tufocuss na urais na wabunge walio waaminifu. Siku upinzani ukichukua nchi wasaliti wote wasiruhusiwe kuingia kwenye chama.