Uchaguzi 2020 Taarifa ya kujitoa kwa mgombea Ubunge jimbo la Ulyankulu kupitia CHADEMA

Uchaguzi 2020 Taarifa ya kujitoa kwa mgombea Ubunge jimbo la Ulyankulu kupitia CHADEMA

...sasa nimeamini maneno ya mgombea udiwani kwa tiketi ya chadema 2015, anasema alikuwa kwenye msafara wa kumnandi Lowassa kwenye wilaya yake, ilikuwa ikifika zamu ya kupata mlo chadema makao makuu na wapambe wao wanajitenga na kwenda kula kwenye hoteli kubwa huku wakiachwa watu wa Mikoani kujihangaikia.

Anadai ilifikia hatua hata maji ya kunywa tu hawapewi ila ikifika kupanda jukwaani wanakuwa sawa..."ilifika hatua hadi kombati zikawa nzito hata kutamka "peoples power" nikashindwa.." alisema!

Si ajabu huyo mgombea aliona kuuza ng'ombe zake kujinadi na ikshakuwa mbunge mshahara wake unakatwa kukifadhiri chama akaona bora ajitoe!
 
Uimara wa ccm unaupima kwenye nini ?

Mimi tangu nimezaliwa , nimekula hela nyingi za ccm lakini hata sekunde moja sijawahi kukipenda hicho chama.

Upinzani ambao sijawahi kula hata senti moja nimetokea kuwakubali kwa akili moyo na nguvu zangu zote.

Tafakari.
Kwani lazima wewe ukipende?
 
Upinzani nchi hii, unanunulika kirahisi sana. Hadi sasa naamini kabisa, mpinzani wa roho na mwili(kwa viongozi wa juu) ni Lissu TU.
Huyo amenunuliwa na mabeberu tayari. Yuko kibiashara zaidi
 
Inatakiwa subira. Ikiwa inasemekana kuna barua za utambulisho na hata za kuweka pingamizi zimeghushiwa itakuwa hii?

Amandla..
 
Inauma eeh? Ndio uhuru huo wa kutoa maoni, vumilia
Kumuita Mtu mjinga kisa tu humpendi ni kiwango kikubwa sana cha immaturity

Mmeshamnunua huyo, let's wait and see! Huna haja ya kumtusi mtu, hata ukitumia lugha ya kawaida unaweza kuelezea tu jambo lako hata ni la kipuuzi likaeleweka kwa upuuzi huo!
 
Amepokea bei gani huyo mtumwa?
Maana tunaona biashara ya ununuzi wa binadamu imekuja kwa sura nyingine.
Ccm inatumia vyema ile trillion 1.5 yetu iliyoiba kutoka hazina
Kwanini mnaweka viongozi wenye njaa.....mkipewa nchi si mtaiuza kabisa
 
Acha hao washamba wajitoe..kura za uraisi kwa Lissu..akiingia Ikulu anabadirisha katiba..hata MiCCM ikiwa mingi bungeni watamfanya mini..
Nimecheka kwa sauti aisee, kwamba Lisu akiwa ikulu ya Chamwino atakuwa na uwezo kubadili katiba bila bunge lenye CCM wengi!
 
Back
Top Bottom