Uchaguzi 2020 Taarifa ya kujitoa kwa mgombea Ubunge jimbo la Ulyankulu kupitia CHADEMA

Uchaguzi 2020 Taarifa ya kujitoa kwa mgombea Ubunge jimbo la Ulyankulu kupitia CHADEMA

Acha mikwara mbuzi ya mtandaoni...pambaneni na hali yenu...bado kuna wagombea ubunge wenu wengi watajitambua na kugundua uelekeo wa uchaguzi mwaka huu
Wala sio kujitambua
ni rushwa, vitisho ndiyo vinatumika hapo hakuna cha ccm kukubalika
 
Kumuita Mtu mjinga kisa tu humpendi ni kiwango kikubwa sana cha immaturity

Mmeshamnunua huyo, let's wait and see! Huna haja ya kumtusi mtu, hata ukitumia lugha ya kawaida unaweza kuelezea tu jambo lako hata ni la kipuuzi likaeleweka kwa upuuzi huo!
Sasa wewe elli mshana una uhakika gani kama kanunuliwa? Kuna sababu nyingi za mtu kujitoa;
1. Inawezekana kaona maji marefu na hawezi kufurukuta.
2. Inawezekana uungwaji na chama ni mdogo au hakuna uungwaji kabisa.
3. Inawezekana alitegemea sapoti ya fedha kwa ajili ya kampeni ila hola.
4. Inawezekana hakuna hata mawasiliano na watendaji wakuu wa chama.
 
Tafadhali rejea mada tajwa hapo juu.kumbukumbu namba ya tarehe 29/08/2020 kutoka kwandugu Lazaro Stephano Maige ambaye tarehe 25/08/2020 aliteuliwa kuwa mgombea nafasi ya Ubunge kwa Jimbo la Ulyankulu kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) akinijulisha kwamba amejitoa kugombea nafasi hiyo.2,Nimepokea barua isiyo na3.

Kufuatia kujitoa kwa Mgombea Ubunge wa jimbo la Ulyankulu ndugu Lazaro Stephano Maige kutokea Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) na kumwacha mgombea nafasi ya Ubunge Jimbo la Ulyankulu Bi. Rehema Juma Migilla kutoka Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuwa mgombea pekee.

Kwa mujibu wa kifungu cha 44 cha Sheria ya Taifa ya Uchaguzi, Sura 343 inafafanua kuwa, endapo mgombea aliyeteuliwa ni mmoja atahesabika kuwa amechaguliwa na upigaji kura hautafanyika katika jimbo hilo kwa uchaguzi wa mbunge.

4.Kwa barua hii, kutokana na maelezo yaliyopo hapo juu, ninakutaarifu kuwa, umepita bila kupingwa, hivyo mara baada ya Uchaguzi kukamilika utapatiwa hati ya kuchaguliwa.
Ikiwa tume ya uchaguzi ni "corrupt" nacho chama tawala ni "corrupt" basi huwezi kutegemea vitu tofauti na hiki. Sasa imebaki suluhisho moja kwa huyu msaliti. Teach him a lesson that he won't forget in his life. Chochote kile ambacho waungwana wakavyoona inafaa, inapaswa kuwa ndiyo fundisho la maana kwake.
 
Narudia tena, hiyo October 28 hakuna uchaguzi, bali ni kilele cha maonyesho ya ujinga wa mtu mweusi kwenye box la kura.
Na Lissu ni mmojawapo atakayehitimisha kilele hicho cha ujinga sio? Hapo nimeelewa.
 
Sasa wewe elli mshana una uhakika gani kama kanunuliwa? Kuna sababu nyingi za mtu kujitoa;
1. Inawezekana kaona maji marefu na hawezi kufurukuta.
2. Inawezekana uungwaji na chama ni mdogo au hakuna uungwaji kabisa.
3. Inawezekana alitegemea sapoti ya fedha kwa ajili ya kampeni ila hola.
4. Inawezekana hakuna hata mawasiliano na watendaji wakuu wa chama.
Yote yanaweza kuwa majibu sahihi jumlisha na la kwangu....
 
Tafadhali rejea mada tajwa hapo juu.kumbukumbu namba ya tarehe 29/08/2020 kutoka kwandugu Lazaro Stephano Maige ambaye tarehe 25/08/2020 aliteuliwa kuwa mgombea nafasi ya Ubunge kwa Jimbo la Ulyankulu kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) akinijulisha kwamba amejitoa kugombea nafasi hiyo.2,Nimepokea barua isiyo na3.

Kufuatia kujitoa kwa Mgombea Ubunge wa jimbo la Ulyankulu ndugu Lazaro Stephano Maige kutokea Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) na kumwacha mgombea nafasi ya Ubunge Jimbo la Ulyankulu Bi. Rehema Juma Migilla kutoka Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuwa mgombea pekee.

Kwa mujibu wa kifungu cha 44 cha Sheria ya Taifa ya Uchaguzi, Sura 343 inafafanua kuwa, endapo mgombea aliyeteuliwa ni mmoja atahesabika kuwa amechaguliwa na upigaji kura hautafanyika katika jimbo hilo kwa uchaguzi wa mbunge.

4.Kwa barua hii, kutokana na maelezo yaliyopo hapo juu, ninakutaarifu kuwa, umepita bila kupingwa, hivyo mara baada ya Uchaguzi kukamilika utapatiwa hati ya kuchaguliwa.

Chadema ni kikundi cha watu wasiokua na dira sababu kila anayejiita chadema hana upinzani wa kweli. Wengi wao wamekatiwa mirija ya rushwa, matumizi mabaya ya nafasi zao au mali ya umma, ubinafsi, usaliti, uvunjaji wa maadili na mengine mengi.
Hongera kwa huyu mama ameshtuka mapema akajitoa kwenye kikundi cha wauza nchi na wasaliti
 
Chadema ni kikundi cha watu wasiokua na dira sababu kila anayejiita chadema hana upinzani wa kweli. Wengi wao wamekatiwa mirija ya rushwa, matumizi mabaya ya nafasi zao au mali ya umma, ubinafsi, usaliti, uvunjaji wa maadili na mengine mengi.
Hongera kwa huyu mama ameshtuka mapema akajitoa kwenye kikundi cha wauza nchi na wasaliti
Unanisikitisha mno! Sikuwahi kujua hili aiseee!
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Wamemnunua huyu MPUUZI na alikuwa pandikizi la maccm huyu.

Tafadhali rejea mada tajwa hapo juu.kumbukumbu namba ya tarehe 29/08/2020 kutoka kwandugu Lazaro Stephano Maige ambaye tarehe 25/08/2020 aliteuliwa kuwa mgombea nafasi ya Ubunge kwa Jimbo la Ulyankulu kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) akinijulisha kwamba amejitoa kugombea nafasi hiyo.2,Nimepokea barua isiyo na3.

Kufuatia kujitoa kwa Mgombea Ubunge wa jimbo la Ulyankulu ndugu Lazaro Stephano Maige kutokea Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) na kumwacha mgombea nafasi ya Ubunge Jimbo la Ulyankulu Bi. Rehema Juma Migilla kutoka Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuwa mgombea pekee.

Kwa mujibu wa kifungu cha 44 cha Sheria ya Taifa ya Uchaguzi, Sura 343 inafafanua kuwa, endapo mgombea aliyeteuliwa ni mmoja atahesabika kuwa amechaguliwa na upigaji kura hautafanyika katika jimbo hilo kwa uchaguzi wa mbunge.

4.Kwa barua hii, kutokana na maelezo yaliyopo hapo juu, ninakutaarifu kuwa, umepita bila kupingwa, hivyo mara baada ya Uchaguzi kukamilika utapatiwa hati ya kuchaguliwa.
 
Na Lissu ni mmojawapo atakayehitimisha kilele hicho cha ujinga sio? Hapo nimeelewa.

Hivi unadhani nilichokuambia nimekuambia kwa bahati mbaya? Nimesema hivyo nikiwa na akili zangu timamu, na sina chembe ya shaka ya nilichosema.
 
Unanisikitisha mno! Sikuwahi kujua hili aiseee!
Mie nakusikitikia wewe zaidi... wewe huoni wapinzani hawana dira ndio maana yote haya yanatokea?
Ila tuvumiliane tuu na kuombeana uzima, kuna siku tutaelewana hapahapa jamiiforum
 
Mie nakusikitikia wewe zaidi... wewe huoni wapinzani hawana dira ndio maana yote haya yanatokea?
Ila tuvumiliane tuu na kuombeana uzima, kuna siku tutaelewana hapahapa jamiiforum
Nimeandika nikafuta. Sawa
 
Upinzani nchi hii, unanunulika kirahisi sana. Hadi sasa naamini kabisa, mpinzani wa roho na mwili(kwa viongozi wa juu) ni Lissu TU.
Lissu ni msaliti tunaweka Kumbukumbu sawa sio mpinzani
 
Upinzani nchi hii, unanunulika kirahisi sana. Hadi sasa naamini kabisa, mpinzani wa roho na mwili(kwa viongozi wa juu) ni Lissu TU.

Nchi hii haina upinzani, ila ina makundi ya watu waliokusanyika pamoja wakijaribu kutafuta njia ya kujinufaisha binafsi bila kujali maslahi ya nchi wala ya watanzania wengine.

Lissu alimiwita Lowasa fisadi huyohuyo Lissu akamkaribisha chadema na kumwomba agombee urais. Lissu alimwita Zito msaliti na akamfukuza chadema sasa huyohuyo Lissu wamekubaliana na zito kushirikiana

Hawa watu basi tuu
 
Upinzani bongo una safari ndefu sana CCM ni chama imara sana
Uimara wa ccm unaupima kwenye nini ?

Mimi tangu nimezaliwa , nimekula hela nyingi za ccm lakini hata sekunde moja sijawahi kukipenda hicho chama.

Upinzani ambao sijawahi kula hata senti moja nimetokea kuwakubali kwa akili moyo na nguvu zangu zote.

Tafakari.
 
Back
Top Bottom