Uchaguzi 2020 Taarifa ya kujitoa kwa mgombea Ubunge jimbo la Ulyankulu kupitia CHADEMA

Uchaguzi 2020 Taarifa ya kujitoa kwa mgombea Ubunge jimbo la Ulyankulu kupitia CHADEMA

Hii kitu inawaharibia Sana CCM maana wabunge wanaoamika na wananchi wanajulikana na watu wanachukia kuona pesa zinatumika vibaya kweli anayefanya huo mchezo akidhani anaua upinzani kumbe ndo wanazidi kuharibu.
Mzee hivi Mbowe akijiuza leo kwa ccm aibu itakuwa kwa ccm au chadema?
 
Amepokea bei gani huyo mtumwa?
Maana tunaona biashara ya ununuzi wa binadamu imekuja kwa sura nyingine.
Ccm inatumia vyema ile trillion 1.5 yetu iliyoiba kutoka hazina

Mkuu hao wanaonunuliwa ni chekechea? Hata malaya mtaani ndio wanaozomewa na sio mnunuzi

Chuki zako kwa CCM zimepofusha uwezo wa kufikiri na kujua ..kwa nn cdm walimuweka anayenunuliwa? Ile intelligence ya chama iko wap?
 
Mpaka ikifika siku ya uchaguzi, Ccm itakuwa imeweka kibindoni wabunge zaidi ya 30.

Wengi wataishiwa pumzi njiani.

Kampeni siyo lelemama. Michango wanayotoa watu ingewasaidia pia wagombea ubunge badala ya mgombea urais peke yake
 
Kumuita Mtu mjinga kisa tu humpendi ni kiwango kikubwa sana cha immaturity

Mmeshamnunua huyo, let's wait and see! Huna haja ya kumtusi mtu, hata ukitumia lugha ya kawaida unaweza kuelezea tu jambo lako hata ni la kipuuzi likaeleweka kwa upuuzi huo!

Mjinga sio tusi!!!!!!!!!!!!

Umeamua spinning tu, na ukaona maneno ya busara ya kujifariji yatakubeba ..no

Pole
 
Anguko la wabunge wa vyama vya upinzani.. bunge lifuatalo litakuwa la rangi ya kijani tu kwa 90% kitu ambacho Ni hatari zaidi kwa maendeleo na muongozo wa nchi.

Upinzani mahali popote pale Ni mhimu Sana.
Leo hii ligi ya Tanzania haiwezi kunoga Endapo Simba au Yanga ikishuka daraja.

Hivyo Basi kwa pamoja tuungane kukemea huu ujinga wa wanasiasa Malaya Malaya kwenye vyama vyetu ili tuifikishe Tanzania mahali pema.
 
Tafadhali rejea mada tajwa hapo juu.kumbukumbu namba ya tarehe 29/08/2020 kutoka kwandugu Lazaro Stephano Maige ambaye tarehe 25/08/2020 aliteuliwa kuwa mgombea nafasi ya Ubunge kwa Jimbo la Ulyankulu kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) akinijulisha kwamba amejitoa kugombea nafasi hiyo.2,Nimepokea barua isiyo na3.

Kufuatia kujitoa kwa Mgombea Ubunge wa jimbo la Ulyankulu ndugu Lazaro Stephano Maige kutokea Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) na kumwacha mgombea nafasi ya Ubunge Jimbo la Ulyankulu Bi. Rehema Juma Migilla kutoka Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuwa mgombea pekee.

Kwa mujibu wa kifungu cha 44 cha Sheria ya Taifa ya Uchaguzi, Sura 343 inafafanua kuwa, endapo mgombea aliyeteuliwa ni mmoja atahesabika kuwa amechaguliwa na upigaji kura hautafanyika katika jimbo hilo kwa uchaguzi wa mbunge.

4.Kwa barua hii, kutokana na maelezo yaliyopo hapo juu, ninakutaarifu kuwa, umepita bila kupingwa, hivyo mara baada ya Uchaguzi kukamilika utapatiwa hati ya kuchaguliwa.
Huyo alobaki ndio Kidume naona Mwanamke kesha hongwa
 
Halafu kuna mjinga fulani kisa amekaa Ulaya Uchochoroni, eti anafanya kampeni kuwa Rais wa Tanzania. My foot!!
Huyu mjinga mbona ni basha wako?

Kama amekuvuruga basi we tulia tu,mtayajenga baadae usiku.
 
Amepokea bei gani huyo mtumwa?
Maana tunaona biashara ya ununuzi wa binadamu imekuja kwa sura nyingine.
Ccm inatumia vyema ile trillion 1.5 yetu iliyoiba kutoka hazina
Kweli chadema watumwa, kila siku kujiuza tuu. Lini mtaondoka utumwani?
 
Upinzani nchi hii, unanunulika kirahisi sana. Hadi sasa naamini kabisa, mpinzani wa roho na mwili(kwa viongozi wa juu) ni Lissu TU.
"When the stomach is empty the mind will swallow anything " hii siyo kwa upinzani wa Tanzania ila ni asili ya binadamu.
 
Aliyejitowa ni mgombea na sio chama. Uchaguzi ughairishwe ili CDM wapewe.muda wa.kujaza hiyo nafasi. Angekufa kwani ingekuwaje? Mbona hizo sheria hazina hata logic? NEC nyinyi ni binadamu kweli au ni midudu tu isiyo na hisia za kutenda haki?

Munajipachika vyeo vya Uungu kwa kuitwa majaji basi nakuhakkishieni kuna mkubwa wa mahakimu anakusubirini na nyie awahukumu. Hakuna wa kukuteteeni huko.
 
Back
Top Bottom