Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
SawaNinaamini katika "An eye for an eye".
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
SawaNinaamini katika "An eye for an eye".
Anakuja na ujuaji mwingi na kuona nchi haina watu wenye akili zaidi yakeHalafu kuna mjinga fulani kisa amekaa Ulaya Uchochoroni, eti anafanya kampeni kuwa Rais wa Tanzania. My foot!!
Hata Lissu angekuwa na busara angejitoa maana anapoteza munda na pesa.Hawa ndio mamluki waliopenyezwa na ccm wapo wengi na watajitoa baadaye.
Nakazia hapaUpinzani nchi hii, unanunulika kirahisi sana. Hadi sasa naamini kabisa, mpinzani wa roho na mwili(kwa viongozi wa juu) ni Lissu TU.
Nimeshamaliza mkuu, tabu siwezi kupata na tutamnyoosha anyookeWanaomdai wanaweza kumdhuru na wewe ukapata taabu. Jizuie hasira.
Nimecheka sana jana,eti kuliko kubomoa nyumba na kujenga barabara inatakiwa kujenga tramways! Sasa sijui kwa Dar es salam inawezekama!Anakuja na ujuaji mwingi na kuona nchi haina watu wenye akili zaidi yake
Kwani ile picha ni siri? Kama ni siri anaficha nini? Ahahahahahahah!Dogo naona umeishiwa na hoja hapa unauza face tu.
Kwa nini muuze?Amepokea bei gani huyo mtumwa?
Maana tunaona biashara ya ununuzi wa binadamu imekuja kwa sura nyingine.
Ccm inatumia vyema ile trillion 1.5 yetu iliyoiba kutoka hazina
CCM anaingiaje hapa?pambaneni na hali yenuHii kitu inawaharibia Sana CCM maana wabunge wanaoamika na wananchi wanajulikana na watu wanachukia kuona pesa zinatumika vibaya kweli anayefanya huo mchezo akidhani anaua upinzani kumbe ndo wanazidi kuharibu.
Kwani ile picha ni siri? Kama ni siri anaficha nini? Ahahahahahahah!
Subiri Oktoba 28, 2020 uone nani atakuwa amekata pumzi!Ndio maana nakuambia huna jipya zaidi ya kuongea utoto. Kwa maneno marahisi umekata pumzi.
Hakuna watukanaji kama chadema😣Hapana, twende nae taratibu atabadilika tu! CCM wanadhani matusi ndio kura
Hakuna watukanaji kama chadema😣
Mama kasoma alama ZA nyakati
Subiri Oktoba 28, 2020 uone nani atakuwa amekata pumzi!