Hiyo siku itakuwa lini🤔? 😂😂😂Kusema kweli kuna watu wanauumiza sana upinzani. Labda tufocuss na urais na wabunge walio waaminifu. Siku upinzani ukichukua nchi wasaliti wote wasiruhusiwe kuingia kwenye chama.
Nami nimeota leo aisee. Ila alikuja kugundulika kisha akatimuliwa mbaya chama kikashikwa na wengine. Chadema haitokufa ng'00Mbowe ni kibaraka wa serikali, utayajua haya mbeleni huko.
Hata ukilitumia kuoshea k yako sawa tu!Ahahahahahaa! Leo Jumamosi. Hilo povu ntalitumia kufulia! Ahahahahahah!
System haiwezi kukubali.Anguko la wabunge wa vyama vya upinzani.. bunge lifuatalo litakuwa la rangi ya kijani tu kwa 90% kitu ambacho Ni hatari zaidi kwa maendeleo na muongozo wa nchi....
ACT unawaacha wapi.....hao ndo kambi rasmi ya upinzani bungeniSystem haiwezi kukubali.
Chadeama tapewa wabunge 10
Kusini huko mnapasahau.......ACT ni kweli itakuwa kambi rasmi ya upinzani kwani watapata wabunde wengi toka ZNZ.
Kwa maana hiyo hata wewe ukipewa nafasi, ukifatwa na CCM utauza tu hiyo nafasi na huo ndio udhaifu wenyewe. Je unayaona hayo yakitokea CCM?Uimara wa ccm unaupima kwenye nini ?
Mimi tangu nimezaliwa , nimekula hela nyingi za ccm lakini hata sekunde moja sijawahi kukipenda hicho chama.
Upinzani ambao sijawahi kula hata senti moja nimetokea kuwakubali kwa akili moyo na nguvu zangu zote.
Tafakari.
Lissu ndo bure kabisa kanunulika kirahisi mno tena kwa kuisaliti nchi yake. Huyo hana uzalendo. Hivi zile kesi za makinikia alizokuwa anajinasibu kwamba tutashitakiwa ziliishia wapi?Upinzani nchi hii, unanunulika kirahisi sana. Hadi sasa naamini kabisa, mpinzani wa roho na mwili(kwa viongozi wa juu) ni Lissu TU.
Teh, mkuu kwa hiyo hata Lisu ni bure kabisa? Anatumika na wazungu kuuza nchi?Lissu ndo bure kabisa kanunulika kirahisi mno tena kwa kuisaliti nchi yake. Huyo hana uzalendo. Hivi zile kesi za makinikia alizokuwa anajinasibu kwamba tutashitakiwa ziliishia wapi?