- Thread starter
- #21
AaaminPoleni sana, Mungu asaidie kupatikana kwake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AaaminPoleni sana, Mungu asaidie kupatikana kwake
Mi ninayo midevu zaidi ya hiyo sijawahi kusikia nikiitwa osama. Naweza kusema kwa sababu siitwi juma au majina mengine yafananayo na mlengo wa juma.
Weka kipengele au aya katika Qur-an au hadith inayoruhusu
Alikuwa kazini wakaja watu kirafiki kabisa na kwa hiyari wakaondoka nae
Halafu mnataka tuumize akili wakati tinafahamu wanaoenda somalia huwa hawaagi ndugu
Wasiojulikana, wasimpeleke tu GuantanamoWalimchukua katika mazingira yapi,kukamatwa,kutekwa au kuondoka naye kwa hiyari??
Yote kwa yote binaadam tuna mambo mengi sana sirini,unawezakuta jamaa yuko zake polisi huko wanayajenga kwa msala fulani mzito nyinyi hamjui.
Hakuna ccvtv pale ofisini kwakeInavyosemekana walimwambia kuwa wanamuhitaji kwa ajili ya mazungumzo naye . Pia msemaji alisema kuwa wakati anachukuliwa aliondoka na funguo za ofisi, lakini badae zikarudishwa na mmoja wa waliomchukua. Upo hapo!!
Kumbe mnawafahamu waliomchukua?Inavyosemekana walimwambia kuwa wanamuhitaji kwa ajili ya mazungumzo naye . Pia msemaji alisema kuwa wakati anachukuliwa aliondoka na funguo za ofisi, lakini badae zikarudishwa na mmoja wa waliomchukua. Upo hapo!!
Hakuna ccvtv pale ofisini kwake
Inategemea na kachafua hewa kiasi gani.Wasiojulikana,wasimpeleke tu Guantanamo
Kwa ulimwengu huu wa wasiojulikana ukiwa mwanasiasa au unamiliki kuanzia mtaji wa milioni 50 kwenda juu CCTV ni muhimu sana,ilimuokoa kabendera angemuwahi mama yake.Binadamu sio watu.Sina Uhakika
Kumbe mnawafahamu waliomchukua?
Aliporudisha funguo hamkumuuliza ndugu yenu yuko wapi?
Inawezekana wafanyakazi wenzie walichukulia simple. Make msemaji alisema jamaa baada ya kurudisha funguo aliwaambia wafanyakazi wenzie kuwa mwenzenu "kaenda nyumbani kwake kulala kasema anajiskia vibaya", Lakini wafanyakazi inavyosemekana waliochukilia kama suala la kawaida baada ya kuletewa funguo
Huyo Ni Salaf , Hakuwa na itikadi za ki-AlshaababUkimwangalia tu huyo osama utajua tu mtu wa aina gani acha abebwe tz hatuhitaji jihad mtabebwa sana kama na ww unajifanya jihad alshabaab utabebwa tu
Sent from my SM-J500F using JamiiForums mobile app