- Thread starter
- #41
Dah..kajiunga tarehe moja, Nduguye kapotea tarehe nne... kila la kheri mkuu.
Sijasema mtu anajitafuta. Maana hata ID inahusika na ndevu kiaina...kama Osama.
Badala utoe mchango unahangaika na terehe za kujiunga, we uliyejiunga Zamani umenizidi nini labda!!!, au tangu ujiunge kila ukipost unapewa posho na Wamiliki wa JF, Kwamba posho yako ya JF ishakuwa kiwango kikubwa mi ndo naanza au !!!!?