Watu wanavyopenda madili ya bure bure acha mtu, wewe muulize tu mtu flani unamfahamu utaona anavyo changamka hapo anataka kuwa middleman anajua kuna dili tayari.hv kwa hali ya kawaida wanakuja watu kazini kwangu, siwajui hawanijui wananiambia twende tukaongee, na mimi nawafuata tu hivi hivi? Mytake wanajuana na alipopelekwa anapajua, sema tatizo linabaki kwa nyinyi ndugu na jamaa ambao hakuwashilikisha
Sasa kama ni kwa hiyari ndo kapotea?Alichukuliwa Kwa hiyari
NdioSasa kama ni kwa hiyari ndo kapotea?
Huyo ana chuki binafsi na wefuga ndevuNdio maana mnauwa Albino na vikongwe kwa kuwa na fikra potofu kama hizi, na nyinyi ndio mnaoowa au kuolewa na watu ambao sio sahihi kwa kuwaangalia muonekano wao tu, pia watu kama nyinyi ndio mnaolizwa mjini, Angalia tabia na matendo ya mtu na sio sura
Sent from my JSN-L21 using JamiiForums mobile app
Mtu mzima kwenda sehemu kwa hiyari ndo amepotea? Ama unaogopa kusema ametekwa?Ndio
Kama aliitwa na anaemjua hiyo ni another kesi, hapa tunaongelea kuitwa na wasiojulikana.Pia unaweza ukaitwa na anayekufahamu na ukapotezwa bila kurud, au hujui hilo ndugu , technique ni nyingi sana.
Sio kweli,Jina linaakisi Tabia! Majina mazuri hayapo hadi uitwe osama Na ww unakubali Kuitwa osama?!
Sio kweli, kuna wenye ndevu zaid yake na wapo mtaaniHuwezi kuwa na ndefu nyingi kiasi hicho halafu wasiojulikana wakuache!
LabdaUkiona hakuna hata fununu alipo ujue kachukuliwa na serikali. Maana watu wa serikali wakikufungia kwenye chamber zao za siri kujulikana ulipo inakuwa ngumu sana.
Oya msaidie jamaa basi kumtamfuta mshkajVipi mmeenda kule Msumbiji kwenye ile kambi ya Jamaa mkamkosa? Wale jamaa si nasikia wanafanya recruitment huenda akawa yupo kule.
Petrol station hakuna camera?Alikuwa mzima. Inavyosemekana na mtoa taarifa kuna watu walikuja kumchukua katika eneo lake la kazi (Petrol Station), tangu hapo hakuonekana tena
Muhimu sana.kujua hili
Alikuwa hajishughulishi na siasa aiseeMuhimu sana.kujua hili
Nikweli wewe ndie uliye tekwa...??Nashukuru sana kwa wote mlio guswa na tatizo langu kiujumla siku nilizo Ishi katika tabu hiyo sikujua usiku wala mchana niliishi katika wakati mgumu watesi wangu walikuwa ni wema sana hawakuwahi kunijeruhi wala kupiga popote juu ya mwili wangu'
Maisha ya kutekwa kiukweli ni Magumu sana' lakini tunahitaji uvumilivu na utulivu mkubwa katika wakati huo unapo kutana nao'
Katika nchi zetu hizi nina Imani hakuna alie salama endapo utaamka salama na kurejea salama basi shukuru sana Mungu huenda ukajiona mjanja kwa leo ila kumbuka Kesho yako huwezi Jua itakuwa ngumu kiasi gani'
Nikweli katika kambi za maficho kuna wanaopigwa na kuvunjwa vunjwa viungo vyao kuna ambao wanapoteza maisha kwa kukosa matibabu
Lakini yote haya ni matunda ya UHURU