cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hivi ushoga uliotamalaki pwani na Pemba umeletwa na misaada?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hivi ushoga uliotamalaki pwani na Pemba umeletwa na misaada?
Ndugu achana na ugomvi wa hao wazee wawili 😂Km aliwaangamiza sodoma na gomora, huu wa sasa umerudi vipi? Na yeye ndo ana angamiza vipi nyie binadamu kutaka kuchukua majukumu yake?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nacheka km chiziiiiHivi,hao wazungu wanapoleta misaada,huwa wanawalazimisha kuinama "mpewe" au ni akili za baadhi ya wapokea misaada kupenda kuinama na ni tabia zao tu?Uletewe chandarua cha msaada wewe uanze mambo yako ya kupumuliwa kunahusiana vipi sasa?
Sasa mbona nchi za kiarabu ndo chimbuko la ushoga na nu sunnah.Umempa ukweli,badala ya kuunga mkono,kukataza ushoga,yeye aleta habari za ushoga uliko na kutaja,wanaopinga ushoga kuwa ni mashoga.Nchi za kiarabu,zisikie hivyo hivyo,ukikamatwa ni shoga,kichwa chake ni halali yao .Huko nchi za kiarabu,kama ni shoga,afanye kwa siri sana,serekali wala dini ya kiislamu haijaruhusu,ndio ukaona huko viongozi wa dini ,wanapiga wazi wazi,kwasababu dini hairuhusu huo ujinga.
Nchi zilixoruhusu ushoga huwezi kupinga waziwazi,kama nchi za magharibi(sio nchi zenye kufuata miongozo ya dini).,,
Umemaliza kila kitu.Kwa Waafrika ushoga ni mambo ya siri ila wenzetu wapo wazi. Utofauti ni huo tu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sitakiiiiNdugu achana na ugomvi wa hao wazee wawili [emoji23]
Unafiki unakusumbua wee.Kazi ya serikali ni popote
Huu ndo uongo mtupuu, na hakuna anae jali kwani.Ni kweli, kwa Tz ni kosa na kifungo chake ni miaka 30 au maisha kabisa [emoji116].