#COVID19 Taarifa ya tume ya Corona sio yetu watuambie walikoitoa

Wameshakula per diem! imeisha hiyo
 
Ndugu yangu...inasikitisha sana tena sana...na utasikia ving'ora via ma ambulance kila kona kutupa taharuki. Mwenye akili na ajue cha kufanya
 
Tume haijapendekeza lockdown angalia vizuri redio yako ina mende wengi pengine.
 
Njoo Kariakoo hapa uone msongamano.

Hakuna hata mmoja anayeugua mafua.

Halafu uwaambie wakajifungie vyumbani!! Hahahaaa.

Kuna ujinga mwingine hata kuusikiliza ni kichefuchefu!
Wakati wa maombolezk ya rais Magufuli watanzania walibanana bila tahadhari yoyote! Mabeberu walitazamia baada ya wiki 2 kutakuwa na mlipuko wa corona na watanzania watakufa sana!! Sasa ni miezi 2 imepita hakuna corona wala mtoto wake na corona!! Mabeberu wanashangaa!!
Sasa mabeberu wanataka kutuvika barakoa na kutupa chanjo halafu waseme tumeokolewa na barakoa na chanjo! Kinacholengwa ni kupora utukufu wa Mungu!
Watanzania tuwe macho, tumpe Mungu utukufu!!
 
Hi nchi siku za hivi karibuni toka watuambie tutoke maeneo ya PWANI ili tudikumbwe na kimbunga Jobo, nilianza kupata mashaka Sana na watu tunaowaita wasomi na wataalamu wetu, na hicho kikosi kazi kilicholeta ripoti ya CORONA ndo kimeniacha hoi kabisa.[emoji849][emoji849]
 
Tume haijapendekeza lockdown angalia vizuri redio yako ina mende wengi pengine.
Process ya lockdown itaanza na kupima, kama waliopimwa wakawa zaidi ya 5% maana yake maambukizi yanaelekea kuzidi toralable level. Na hapo ndio lockdown inabidi iwe introduced.
 
Kwahiyo hakuna tofauti kati ya anayejikinga na corona na asiyejikinga kama sie? yani kwamba sisi na wengine wote ni sawa tu kwamba kutofuata social distance wala kuvaa barakoa haina athari zozote kwetu ukilinganisha na wenzetu wanaozingatia hivyo vitu?
 
Process ya lockdown itaanza na kupima, kama waliopimwa wakawa zaidi ya 5% maana yake maambukizi yanaelekea kuzidi toralable level. Na hapo ndio lockdown inabidi iwe introduced.
Sio lazima, tume imependekeza tuchukue hatua based on local conditions na sio kuiga wengine.
 
nadhani janga la corona liliandaliwa ili kumtoa Trump madarakani....ni mtazamowangu tu lakini
 
Tetea afya yako na ya wanaokuhusu hayo ya wengine waachie wao.
 
Heshimu Mawazo ya watu.
 
Huna jipya zaidi ya kubeza juhudi za amkusudi kukabiliana na Covid.
Ninyi ndo mnataka watu wafe bila sayanzi kutumika .
Mbona mkupata malaria mnakimbilia kupima
Mbona mipata UKIMWI mnakimbilia kupimwa
Mbona mkihara mnakimbilia kupima

Na ninyi mliozoea kwenda kwa waganga wa kienyeji, hamjui kuwa KUPIMA kunaendana na STATISTICS ambazo nazo zinatumika ku analyse Afya ya Jamii.

Sasa nyie mmkekazana na Dorithy wenu kujifukiza, mnaua watu kwa kukosa hekima ya maarifa.
 
Point nzur but utasikia nyumbu
#wafrica tumelaaniwa#
#Mungu wabariki wazungu🤔🤔 sometimes huwaga nahis ss n nyan Kwel coZ hatujipendi hasa Bawacha na bavicha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…