Taarifa ya Tume ya Haki za Binadamu (THBUB): Mauaji ya Mwangosi

Taarifa ya Tume ya Haki za Binadamu (THBUB): Mauaji ya Mwangosi

Isome vizuri, utaona hii imeandaliwa kisomi na kwa uwazi kabisa. Wamenukuu vipengele vya sheria ambavyo Tendwa na kina Kamuhanda wamechemka. Nimeipenda sana. Naamini hata wadau mkiisoma mtaona ina mantiki kuliko ule "uji" tulionyeshwa kwa nguvu na kina Nchimbi!

Nikweli hii ni kiweledi, na nafikiri imetolewa kuokoa hadhi ya serkali ya kikwete mbele ya jamii ya kimataifa! Sasa Nchimbi anapaswa kumsaidia Kikwete kwa kujiuzulu, asisubiri Kikwete amuwajibishe! Tendwa nae astaafu kwa manufaa ya umma akiongozana na kamanda kamuhanda!
 
TBC1 ilishaingia porini muda mrefu sana, siwezi kupoteza muda kuangalia upumbavu TBC1.
 
Kwa kweli hii ripoti ni nzuri sana na kwa kiasi kikubwa imetenda haki.
 
Huyu John Tendwa ni dhahiri sasa ni janga la Taifa. Kwa kuwa bila shaka yoyote siku zote amekuwa akifanya upendeleo wa wazi kwa CCM, kama atakuwa muungwana na kulinda hadhi ya ujaji alionao ni vyema sasa hivi, bila kuchelewa, akafanya uamuzi wa busara kujiuzuru nafasi yake ya usajili wa vyama na kumkabidhi barua ya kujiuzuru aliyemteua ambaye ni JK. Kwa kuwa ni dhahiri amedhindwa jukumu lake kubwa ambalo ni kuvilea vyama vyote vyenye usajili wa kudumu, bila upendeleo wowote!!
Mkuu, Tendwa hajawahi kuwa jaji ila anataaluma ya sheria ambayo haina manufaa kwake mwenyewe wala jamii!
 
Baada ya hizi tume kitu gani kitafuatia au ndio itaishia watu kulalamika tu.

Ritz naona umekuwa unatoa maoni kwa kutumia mawazo ya mtu anayetafakari. Nakugongea senks sasa
 
Ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha...mkuu pole kwa kupotea channel leo, ukiangalia TBC lazima utatamani kutapika.
 
hi ripoti imekaa sawa kama ya kimataifa vile.manento ni jembe la ukweli .big up jaji wa ukweli
.kwa mfano huu tanzania tutaweza kuendelea
Hii sentence hapa chini nimeipenda:

"Kuwepo kwa vyama vya siasa ionekane kuwa ni kukuwa kwa demokrasia na sio kuwaniupinzani kwa chama tawala"
 
Ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha...mkuu pole kwa kupotea channel leo, ukiangalia TBC lazima utatamani kutapika.
Nisaidieni mimi mwenzenu, maana nina king'amuzi cha star times ambacho ndani yake kuna channel mbili tu mhimu, chennel ten na TBC, ninafanyeje ili niweze kuaccess chennel nyingine kwa kutumia king'amuzi hiki. vinginevyo itabidi tu nikitupe nitafute kingine, maana huwa daima nikiangalia taarifa za habari za TBC naishia kukereka tu.
 
Hahahahaaaaaaaaa! Kamanda unaweza vunja tv yako kwa hasira mimi nilishaacha siku nyingi kuangalia tbc, nikiangalia itabidi nitubu kwa Mungu maana ni dhambi! TBC ni PR wa CCM period!
 
makamu mwenyekiti msaidizi wa hiyo tume ya utawala bora amechakachua report nzuri iliyotolewa kwa maneno mbofu mbofu.

I can trust your words sir!!you have read and understand,thanks.
 
Mna muda kweli, siku hizi nata kuiongelea TBCcm naona ni kama kupoteza muda wangu!!!!!
 
Nisaidieni mimi mwenzenu, maana nina king'amuzi cha star times ambacho ndani yake kuna channel mbili tu mhimu, chennel ten na TBC, ninafanyeje ili niweze kuaccess chennel nyingine kwa kutumia king'amuzi hiki. vinginevyo itabidi tu nikitupe nitafute kingine, maana huwa daima nikiangalia taarifa za habari za TBC naishia kukereka tu.

TBC sio muhimu, sema una channel 1 yaani channel 10 nyingine ya nyongeza kwa watoto kuangalia katuni (tbc)
 
Ni bahati tu hapa haturuhusiwi kutumia matusi ya nguoni...ndo ambayo hawa tbc wanayastahili........@@@@@@###########
 
TBC sio muhimu, sema una channel 1 yaani channel 10 nyingine ya nyongeza kwa watoto kuangalia katuni (tbc)
You are right; zamani nilikuwa naweza kuangalia taarifa ya habari kupitia mlimani TV, na yenyewe wakaiondoa. Yaani sasa hivi ukifika muda wa taarifa ya habari nakosa raha kabisa. Maana sijui niangalie wapi. bahati mbaya kubwa sana taarifa ya habari ya chennel ten huwa ni saa moja, muda ambao mara nyingi huwa sijarudi home. Hivi hakuna ving'amuzi vinavyoshika channel zote? Nafikiri itabidi tu nitafute king'amuzi kingine. No way out!
 
Tokea tido aondoke tbc sijawahi kuiangalia tbc, juzi niliwakuta watoto wangu wanaiangalia ilibidi niwapige ban ya kuangalia tv kwa hasira
 
Ulitegamea nini? Utamsaliti baba yako anayekulisha? Tido kilikuwa kichwa tbc mtamkosa sanaaa ktk ushindani wa press.
 
Et ukwel na uhakika..!! Habar nying sana zinachakachuliwa, hata aibu hawana..!! Nadhan ITV, STAR TV na CHANEL TEN Zinajitahid, Achana nao kabisa hao TBC'CCM.
 
Mimi binafsi sijaisoma report yenyewe lakini niliichosikia TBccm wakisema kimenipa hasira na nikasema kama jaji mzima kasema hivyo basi nchi hii ina shida kubwa sana
 
Hiyo taarifa ya tume ya haki za binadamu nimeiona kupitia ITV, ilikuwa imetulia vizuri sana, wameongea vizuri sana na kuumumbua kamanda kamuhunda, jeshi la polisi, Nchimbi, Tendwa na ile report ya kamati ya kisanii.
 
Back
Top Bottom