Taarifa za Bajeti Kuu ya Serikali zapuuzwa, kisanga cha Bandari chaendelea kushika kasi

Taarifa za Bajeti Kuu ya Serikali zapuuzwa, kisanga cha Bandari chaendelea kushika kasi

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Ama kwa hakika hali ni tete, pamoja na kuchukuliwa poa , wananchi wa Tanzania ni kama wameanza kuamka kutoka kwenye usingizi wa pono.

Pamoja na yote yanayoendelea Bungeni kuhusiana na Bajeti ya serikali ya 23/24, lakini wananchi hawajishughulishi nayo kabisa! Watu wote wamekomalia Mkataba wa Bandari tu.

Hii maana yake nini?
 
.
20230508_210017.jpg
 
Ama kwa hakika hali ni tete , pamoja na kuchukuliwa poa , wananchi wa Tanzania ni kama wameanza kuamka kutoka kwenye usingizi wa pono .

Pamoja na yote yanayoendelea Bungeni kuhusiana na Bajeti ya serikali ya 23/24 , lakini wananchi hawajishughulishi nayo kabisa ! Watu wote wamekomalia Mkataba wa Bandari tu .

Hii maana yake nini ?
Hata MAKALA alitoa siri ya Mbowe kupokea ruzuku kimya kimya tukampuuza tu
 
Ama kwa hakika hali ni tete , pamoja na kuchukuliwa poa , wananchi wa Tanzania ni kama wameanza kuamka kutoka kwenye usingizi wa pono .

Pamoja na yote yanayoendelea Bungeni kuhusiana na Bajeti ya serikali ya 23/24 , lakini wananchi hawajishughulishi nayo kabisa ! Watu wote wamekomalia Mkataba wa Bandari tu .

Hii maana yake nini ?
La bandari litapita siku si nyingi na maisha yataendelea kama kawaida
 
Ama kwa hakika hali ni tete , pamoja na kuchukuliwa poa , wananchi wa Tanzania ni kama wameanza kuamka kutoka kwenye usingizi wa pono .

Pamoja na yote yanayoendelea Bungeni kuhusiana na Bajeti ya serikali ya 23/24 , lakini wananchi hawajishughulishi nayo kabisa ! Watu wote wamekomalia Mkataba wa Bandari tu .

Hii maana yake nini ?
Mh 🤔 ngoja chawa wa mama waje tuone wanasemaje...!
 
Ama kwa hakika hali ni tete , pamoja na kuchukuliwa poa , wananchi wa Tanzania ni kama wameanza kuamka kutoka kwenye usingizi wa pono .

Pamoja na yote yanayoendelea Bungeni kuhusiana na Bajeti ya serikali ya 23/24 , lakini wananchi hawajishughulishi nayo kabisa ! Watu wote wamekomalia Mkataba wa Bandari tu .

Hii maana yake nini ?
Acha uchawi dogo. Fanya kazi ulishe familia yako
 
Ama kwa hakika hali ni tete , pamoja na kuchukuliwa poa , wananchi wa Tanzania ni kama wameanza kuamka kutoka kwenye usingizi wa pono .

Pamoja na yote yanayoendelea Bungeni kuhusiana na Bajeti ya serikali ya 23/24 , lakini wananchi hawajishughulishi nayo kabisa ! Watu wote wamekomalia Mkataba wa Bandari tu .

Hii maana yake nini ?


Hii maana yake saa ya ukombozi ni sasa.
 
Back
Top Bottom