Taarifa za Bajeti Kuu ya Serikali zapuuzwa, kisanga cha Bandari chaendelea kushika kasi

Taarifa za Bajeti Kuu ya Serikali zapuuzwa, kisanga cha Bandari chaendelea kushika kasi

Ama kwa hakika hali ni tete, pamoja na kuchukuliwa poa , wananchi wa Tanzania ni kama wameanza kuamka kutoka kwenye usingizi wa pono.

Pamoja na yote yanayoendelea Bungeni kuhusiana na Bajeti ya serikali ya 23/24, lakini wananchi hawajishughulishi nayo kabisa! Watu wote wamekomalia Mkataba wa Bandari tu.

Hii maana yake nini?
Screenshot_20230615-164027.png

Pamoja na mbwembwe za kuingia Bungeni... Mwigulu hajawahi kuwa na jema kwa nchi hii!
Kama kawaida yao; waZanzibari watakuwa wanaitana vikao kuwakebehi waTanganyika!
 
Ama kwa hakika hali ni tete, pamoja na kuchukuliwa poa , wananchi wa Tanzania ni kama wameanza kuamka kutoka kwenye usingizi wa pono.

Pamoja na yote yanayoendelea Bungeni kuhusiana na Bajeti ya serikali ya 23/24, lakini wananchi hawajishughulishi nayo kabisa! Watu wote wamekomalia Mkataba wa Bandari tu.

Hii maana yake nini?

[emoji16][emoji16][emoji16] mi napendaga sana unavyo andika !!
 
Ama kwa hakika hali ni tete, pamoja na kuchukuliwa poa , wananchi wa Tanzania ni kama wameanza kuamka kutoka kwenye usingizi wa pono.

Pamoja na yote yanayoendelea Bungeni kuhusiana na Bajeti ya serikali ya 23/24, lakini wananchi hawajishughulishi nayo kabisa! Watu wote wamekomalia Mkataba wa Bandari tu.

Hii maana yake nini?
Bajeti imejaa mitozo ya kuja kuumiza watu wa chini nani anataka
 
Ama kwa hakika hali ni tete, pamoja na kuchukuliwa poa , wananchi wa Tanzania ni kama wameanza kuamka kutoka kwenye usingizi wa pono.

Pamoja na yote yanayoendelea Bungeni kuhusiana na Bajeti ya serikali ya 23/24, lakini wananchi hawajishughulishi nayo kabisa! Watu wote wamekomalia Mkataba wa Bandari tu.

Hii maana yake nini?
Wananchi hawafatilii bajeti hewa za kwenye makaratasi wanajitafutia ugali wao
 
Ama kwa hakika hali ni tete, pamoja na kuchukuliwa poa , wananchi wa Tanzania ni kama wameanza kuamka kutoka kwenye usingizi wa pono.

Pamoja na yote yanayoendelea Bungeni kuhusiana na Bajeti ya serikali ya 23/24, lakini wananchi hawajishughulishi nayo kabisa! Watu wote wamekomalia Mkataba wa Bandari tu.

Hii maana yake nini?
Kukichwa kutapambazuka

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi Dubai ni mkoa au ni Nchi mkoa umepata wapi mamlaka ya kuingia mkabata na Nchi?
 
Ama kwa hakika hali ni tete, pamoja na kuchukuliwa poa , wananchi wa Tanzania ni kama wameanza kuamka kutoka kwenye usingizi wa pono.

Pamoja na yote yanayoendelea Bungeni kuhusiana na Bajeti ya serikali ya 23/24, lakini wananchi hawajishughulishi nayo kabisa! Watu wote wamekomalia Mkataba wa Bandari tu.

Hii maana yake nini?
Mtaendelea kujadili hivyo hivyo huku utekelezwaji unaendelea 😆😆
 
Maanayake bandari yetu nimuhimu kuliko hiyo Bajeti kuu.
Bandari ni lango kuu la %zaidi ya 90 ya mizigoyote inayo ingia nchini.
Lazima sisi wenyewe tuwe na uwezo wa kuikagua kuanzia sindano mpaka meli yenyewe inayo ingia kwenye bandari yetu.

Wanao sema tuikodishe eti kwasababu kuna changamoto za kiuendeshaji, watuambie kwanza ukiondoa huo uwekezaji, option nyingine ya kutatua hiyo changamoto ni nini.
Ujinga tuu
 
Ina maana nchi yetu inaishi kwa MATUKIO BASI! Kumbuka la Loriondo lilivyoisha, alipougua ugonjwa wa ajabu mwandishi aliyelikomalia hatukujua lilipoishia.
Stan Katabalo RiP.......
 
Sio kweli hapa tumecheza karata tatu
Sio kweli kivipi? Nchi zinaingia mikataba na Makampuni sembuse Dubai yenye Utawala wa ndani kama Zanzibar? Na unaposema UAE unazungumzia Dubai ndio final say Sasa wewe shida Yako ni ipi hasa?
 
Back
Top Bottom