Taarifa za Bajeti Kuu ya Serikali zapuuzwa, kisanga cha Bandari chaendelea kushika kasi

Taarifa za Bajeti Kuu ya Serikali zapuuzwa, kisanga cha Bandari chaendelea kushika kasi

Sio kweli kivipi? Nchi zinaingia mikataba na Makampuni sembuse Dubai yenye Utawala wa ndani kama Zanzibar? Na unaposema UAE unazungumzia Dubai ndio final say Sasa wewe shida Yako ni ipi hasa?
Mkataba unatiamashaka kwani mkuu kunasababu gani kuuza bandari zetu kwa mwarabu?
 
Mkataba unatiamashaka kwani mkuu kunasababu gani kuuza bandari zetu kwa mwarabu?
Kwanza unaweza thibitisha kwamba Bandari imeuzwa?

Pili kwako.wewe.yanayoendelea Bandari wewe unaona ni sawa? Kwamba tuendelee na inefficiency kisa nini hasa? Ni Tanzania pekee ndio operations za Bandari zinafanya na private sector? Mbona viwanja vya ndege ground handlers ni private sector?

Ujue nyie Wajamaa ni watu wapumbavu sana Huwa mnazusha hofu ambazo hazipo..

Kwa hiyo Bandari iendelee kuwa shamba la bibi, wafanyabiashara waendee kukimbia Bandari zetu kisa upuuzi wenu si ndio?
 
Wewe ni mjinga kama wajinga wengine hizo Habari za swissport ni ujinga kama huu unauzungumza hapa wakuza bandari milele na milele

Thibitisha wewe kama bandari haijauzwa.

Hizo Habari zako zakuokoteza huku na kule uwezi kunishawi nikuunge mkona bado nasema kaambali na bandari zetu mkauze nyumbazenu za urithi.

Mwisho umepotea kabisa unasema bandari zetu ni shamba la bibi maana yake nini? Nani wakuza hapo msimamizi mkuu wa bandari wa bandari yenyewe?
Nimeshakwambia kama huna hoja na akili ya kujadiliana na Mimi nenda Kwa wapumbavu wenzio mnaelingana uwezo..

Na wewe okotesa habari uje ujibu Wapi Bandari imeuzwa na vipi Tanzania itapata hasara DP World akiwa operator wa Bandari
 
Nimeshakwambia kama huna hoja na akili ya kujadiliana na Mimi nenda Kwa wapumbavu wenzio mnaelingana uwezo..

Na wewe okotesa habari uje ujibu Wapi Bandari imeuzwa na vipi Tanzania itapata hasara DP World akiwa operator wa Bandari

Wewe huna uwezo wowote unaonekane bado unakula chakula cha foleni kwa shemeji yako.


Wewe ndio uthibitishe hapa kwamba bandari haijauzwa mimi nimekuambia imeuzwa,


Jibu hoja kati yako wew unatetea hii biashara na bandari Nani wakuzwa?
 
Wewe ndio uthibitishe hapa kwamba bandari haijauzwa mimi nimekuambia imeuzwa,


Jibu hoja kati yako wew unatetea hii biashara na bandari Nani anastali kuuzwa?
Wewe fala nini, operations za Bandari ndio zimebinafsishwa na huu ubinafsishaji utaleta faida lukuki zingine hizi hapa 👇
 
Wewe fala nini, operations za Bandari ndio zimebinafsishwa na huu ubinafsishaji utaleta faida lukuki zingine hizi hapa 👇

Nani kakuambia nashida ya Ajira wewe fala?

Narudia tena ccm tuachie nchi yetu mumeuza madini mkaona haitoshi mkauza mbuga za wanyama mkaona tuko kimya mkauza bandari zetu za Tanganyika mnanyemelea mlima kilimanjaro. Itoshe
 
Kuna tetesi kuwa Pascal Mayalla ndiye Stan Katabalo aliyeboreshwa!
Duh...!. Thanks, I feel honoured but God Forbid!, yakinitokea ya Stan Katabalo, vipi mtanisindikiza?, maana I doubt kama kuna anayejua lilipo kaburi la Stan Katabalo zaidi ya familia yake!. Sina uhakika hata kama ndugu, jamaa na marafiki ambao tunakunywa nao pamoja, tunakula pomoja, na tunafurahi pamoja, sijui baada ya lile tukio, kama watafika tena nyumbani kwangu japo kuwajulia tuu hali familia yangu na hatma ya familia yangu!. Waandishi wa Habari na Kupotea/Vifo vya Kutatanisha, Toka Katabalo, Saanane, Gwanda, Mwangosi, Isango. Ni Ama Tuombe Mungu Atunusuru ama...

Hizi kazi zingine za wito!, wee acha tuu!.
P
 
Back
Top Bottom