Mag3
Platinum Member
- May 31, 2008
- 13,413
- 23,592
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkataba unatiamashaka kwani mkuu kunasababu gani kuuza bandari zetu kwa mwarabu?Sio kweli kivipi? Nchi zinaingia mikataba na Makampuni sembuse Dubai yenye Utawala wa ndani kama Zanzibar? Na unaposema UAE unazungumzia Dubai ndio final say Sasa wewe shida Yako ni ipi hasa?
Mie bado ni msaidizi mwaminifu wa DJHawa ccm kweli hawaaminiki , miaka yote hata kukupandisha cheo hawataki !
Kwanza unaweza thibitisha kwamba Bandari imeuzwa?Mkataba unatiamashaka kwani mkuu kunasababu gani kuuza bandari zetu kwa mwarabu?
Nimeshakwambia kama huna hoja na akili ya kujadiliana na Mimi nenda Kwa wapumbavu wenzio mnaelingana uwezo..Wewe ni mjinga kama wajinga wengine hizo Habari za swissport ni ujinga kama huu unauzungumza hapa wakuza bandari milele na milele
Thibitisha wewe kama bandari haijauzwa.
Hizo Habari zako zakuokoteza huku na kule uwezi kunishawi nikuunge mkona bado nasema kaambali na bandari zetu mkauze nyumbazenu za urithi.
Mwisho umepotea kabisa unasema bandari zetu ni shamba la bibi maana yake nini? Nani wakuza hapo msimamizi mkuu wa bandari wa bandari yenyewe?
Nimeshakwambia kama huna hoja na akili ya kujadiliana na Mimi nenda Kwa wapumbavu wenzio mnaelingana uwezo..
Na wewe okotesa habari uje ujibu Wapi Bandari imeuzwa na vipi Tanzania itapata hasara DP World akiwa operator wa Bandari
Wewe fala nini, operations za Bandari ndio zimebinafsishwa na huu ubinafsishaji utaleta faida lukuki zingine hizi hapa 👇Wewe ndio uthibitishe hapa kwamba bandari haijauzwa mimi nimekuambia imeuzwa,
Jibu hoja kati yako wew unatetea hii biashara na bandari Nani anastali kuuzwa?
Wewe fala nini, operations za Bandari ndio zimebinafsishwa na huu ubinafsishaji utaleta faida lukuki zingine hizi hapa 👇
Duh...!. Thanks, I feel honoured but God Forbid!, yakinitokea ya Stan Katabalo, vipi mtanisindikiza?, maana I doubt kama kuna anayejua lilipo kaburi la Stan Katabalo zaidi ya familia yake!. Sina uhakika hata kama ndugu, jamaa na marafiki ambao tunakunywa nao pamoja, tunakula pomoja, na tunafurahi pamoja, sijui baada ya lile tukio, kama watafika tena nyumbani kwangu japo kuwajulia tuu hali familia yangu na hatma ya familia yangu!. Waandishi wa Habari na Kupotea/Vifo vya Kutatanisha, Toka Katabalo, Saanane, Gwanda, Mwangosi, Isango. Ni Ama Tuombe Mungu Atunusuru ama...Kuna tetesi kuwa Pascal Mayalla ndiye Stan Katabalo aliyeboreshwa!