Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
- #21
HakikaHii maana yake saa ya ukombozi ni sasa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HakikaHii maana yake saa ya ukombozi ni sasa.
Niko palepaleMkuu habari za siku nyingi , vipi umebadilishwa kitengo au bado uko palepale ?
Mheshimiwa flani naona mwili umepungua sana hata koti halikai vizuri, kipara Lazima kinyonyoke zaidiAma kwa hakika hali ni tete , pamoja na kuchukuliwa poa , wananchi wa Tanzania ni kama wameanza kuamka kutoka kwenye usingizi wa pono .
Pamoja na yote yanayoendelea Bungeni kuhusiana na Bajeti ya serikali ya 23/24 , lakini wananchi hawajishughulishi nayo kabisa ! Watu wote wamekomalia Mkataba wa Bandari tu .
Hii maana yake nini ?
Hawa ccm kweli hawaaminiki , miaka yote hata kukupandisha cheo hawataki !Niko palepale
Huwezi kupoteza muda kufuatilia upuuzi tupuAma kwa hakika hali ni tete, pamoja na kuchukuliwa poa , wananchi wa Tanzania ni kama wameanza kuamka kutoka kwenye usingizi wa pono.
Pamoja na yote yanayoendelea Bungeni kuhusiana na Bajeti ya serikali ya 23/24, lakini wananchi hawajishughulishi nayo kabisa! Watu wote wamekomalia Mkataba wa Bandari tu.
Hii maana yake nini?
Aisee yule jamaa alikua Mzalendo wa Kweli kwenye Nchi hii sio hao wengine wa uongo tuu...Stan Katabhalo ataendelea kuishi
Siku hizi ni mwendo wa Bahasha au uteuziAisee yule jamaa alikua Mzalendo wa Kweli kwenye Nchi hii sio hao wengine wa uongo tuu...
Nchi huuzwa kupitia bandari tusikubali!Ama kwa hakika hali ni tete, pamoja na kuchukuliwa poa , wananchi wa Tanzania ni kama wameanza kuamka kutoka kwenye usingizi wa pono.
Pamoja na yote yanayoendelea Bungeni kuhusiana na Bajeti ya serikali ya 23/24, lakini wananchi hawajishughulishi nayo kabisa! Watu wote wamekomalia Mkataba wa Bandari tu.
Hii maana yake nini?
Hatuwezi kupelekwa utumwani Dubai halafu tukae kimya, hapana.Hili la bandari haliishi leo wala kesho
Hawachelewi kuloganaMwigulu kakataa chupa ya maji ya Bunge
Duuh aisee ina maana hawaaminiani huko harafu anataka sisi tumuamini...Mwigulu kakataa chupa ya maji ya Bunge
Ngumu sana nyani kutema bungo, unaweza piga ukaua🤣Komaeni mpaka DP World wateme bungo 🤣🤣🤣
RIP Mzee mtikilaHii maana yake saa ya ukombozi ni sasa.
Gawaneni fitoAma kwa hakika hali ni tete, pamoja na kuchukuliwa poa , wananchi wa Tanzania ni kama wameanza kuamka kutoka kwenye usingizi wa pono.
Pamoja na yote yanayoendelea Bungeni kuhusiana na Bajeti ya serikali ya 23/24, lakini wananchi hawajishughulishi nayo kabisa! Watu wote wamekomalia Mkataba wa Bandari tu.
Hii maana yake nini?