Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Hata MAKALA alitoa siri ya Mbowe kupokea ruzuku kimya kimya tukampuuza tuAma kwa hakika hali ni tete , pamoja na kuchukuliwa poa , wananchi wa Tanzania ni kama wameanza kuamka kutoka kwenye usingizi wa pono .
Pamoja na yote yanayoendelea Bungeni kuhusiana na Bajeti ya serikali ya 23/24 , lakini wananchi hawajishughulishi nayo kabisa ! Watu wote wamekomalia Mkataba wa Bandari tu .
Hii maana yake nini ?
Mbowe siyo Mhasibu wa ChademaHata MAKALA alitoa siri ya Mbowe kupokea ruzuku kimya kimya tukampuuza tu
Good πMbowe siyo Mhasibu wa Chadema
Stan Katabhalo ataendelea kuishiIna maana nchi yetu inaishi kwa MATUKIO BASI! Kumbuka la Loriondo lilivyoisha, alipougua ugonjwa wa ajabu mwandishi aliyelikomalia hatukujua lilipoishia.
Makala ni uvccm aliyechangamka ndo maana anapwaya Kila anakopelekwaHata MAKALA alitoa siri ya Mbowe kupokea ruzuku kimya kimya tukampuuza tu
La bandari litapita siku si nyingi na maisha yataendelea kama kawaidaAma kwa hakika hali ni tete , pamoja na kuchukuliwa poa , wananchi wa Tanzania ni kama wameanza kuamka kutoka kwenye usingizi wa pono .
Pamoja na yote yanayoendelea Bungeni kuhusiana na Bajeti ya serikali ya 23/24 , lakini wananchi hawajishughulishi nayo kabisa ! Watu wote wamekomalia Mkataba wa Bandari tu .
Hii maana yake nini ?
Mh π€ ngoja chawa wa mama waje tuone wanasemaje...!Ama kwa hakika hali ni tete , pamoja na kuchukuliwa poa , wananchi wa Tanzania ni kama wameanza kuamka kutoka kwenye usingizi wa pono .
Pamoja na yote yanayoendelea Bungeni kuhusiana na Bajeti ya serikali ya 23/24 , lakini wananchi hawajishughulishi nayo kabisa ! Watu wote wamekomalia Mkataba wa Bandari tu .
Hii maana yake nini ?
Acha uchawi dogo. Fanya kazi ulishe familia yakoAma kwa hakika hali ni tete , pamoja na kuchukuliwa poa , wananchi wa Tanzania ni kama wameanza kuamka kutoka kwenye usingizi wa pono .
Pamoja na yote yanayoendelea Bungeni kuhusiana na Bajeti ya serikali ya 23/24 , lakini wananchi hawajishughulishi nayo kabisa ! Watu wote wamekomalia Mkataba wa Bandari tu .
Hii maana yake nini ?
Huijui Bandari weweLa bandari litapita siku si nyingi na maisha yataendelea kama kawaida
Mkuu habari za siku nyingi , vipi umebadilishwa kitengo au bado uko palepale ?Acha uchawi dogo. Fanya kazi ulishe familia yako
AnajifarijiUnapuuza ww binafs usitujumuishe
Kwani wewe unafuatilia ?Unapuuza ww binafs usitujumuishe
Ama kwa hakika hali ni tete , pamoja na kuchukuliwa poa , wananchi wa Tanzania ni kama wameanza kuamka kutoka kwenye usingizi wa pono .
Pamoja na yote yanayoendelea Bungeni kuhusiana na Bajeti ya serikali ya 23/24 , lakini wananchi hawajishughulishi nayo kabisa ! Watu wote wamekomalia Mkataba wa Bandari tu .
Hii maana yake nini ?