Mfikirishi
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 8,939
- 10,403
Ama kwa hakika hali ni tete, pamoja na kuchukuliwa poa , wananchi wa Tanzania ni kama wameanza kuamka kutoka kwenye usingizi wa pono.
Pamoja na yote yanayoendelea Bungeni kuhusiana na Bajeti ya serikali ya 23/24, lakini wananchi hawajishughulishi nayo kabisa! Watu wote wamekomalia Mkataba wa Bandari tu.
Hii maana yake nini?
Ama kwa hakika hali ni tete, pamoja na kuchukuliwa poa , wananchi wa Tanzania ni kama wameanza kuamka kutoka kwenye usingizi wa pono.
Pamoja na yote yanayoendelea Bungeni kuhusiana na Bajeti ya serikali ya 23/24, lakini wananchi hawajishughulishi nayo kabisa! Watu wote wamekomalia Mkataba wa Bandari tu.
Hii maana yake nini?
Karibu sana[emoji16][emoji16][emoji16] mi napendaga sana unavyo andika !!
Bajeti imejaa mitozo ya kuja kuumiza watu wa chini nani anatakaAma kwa hakika hali ni tete, pamoja na kuchukuliwa poa , wananchi wa Tanzania ni kama wameanza kuamka kutoka kwenye usingizi wa pono.
Pamoja na yote yanayoendelea Bungeni kuhusiana na Bajeti ya serikali ya 23/24, lakini wananchi hawajishughulishi nayo kabisa! Watu wote wamekomalia Mkataba wa Bandari tu.
Hii maana yake nini?
Wananchi hawafatilii bajeti hewa za kwenye makaratasi wanajitafutia ugali waoAma kwa hakika hali ni tete, pamoja na kuchukuliwa poa , wananchi wa Tanzania ni kama wameanza kuamka kutoka kwenye usingizi wa pono.
Pamoja na yote yanayoendelea Bungeni kuhusiana na Bajeti ya serikali ya 23/24, lakini wananchi hawajishughulishi nayo kabisa! Watu wote wamekomalia Mkataba wa Bandari tu.
Hii maana yake nini?
Ile kweli bajeti au list ya Kodi na mkopo?Bajeti imejaa mitozo ya kuja kuumiza watu wa chini nani anataka
Tunalo tuHili la bandari haliishi leo wala kesho
Silence surrenders public responsibilityBlaza yupo kweli?View attachment 2658326
Kwishnei! Angeachia ngazi tu. Yanayoendelea waona kabisa hakubaliani nayo. Labda yupo sababu ya MASLAHI!Blaza yupo kweli?View attachment 2658326
Kukichwa kutapambazukaAma kwa hakika hali ni tete, pamoja na kuchukuliwa poa , wananchi wa Tanzania ni kama wameanza kuamka kutoka kwenye usingizi wa pono.
Pamoja na yote yanayoendelea Bungeni kuhusiana na Bajeti ya serikali ya 23/24, lakini wananchi hawajishughulishi nayo kabisa! Watu wote wamekomalia Mkataba wa Bandari tu.
Hii maana yake nini?
Amelambishwa bakuli la asali na mwanae!Hata MAKALA alitoa siri ya Mbowe kupokea ruzuku kimya kimya tukampuuza tu
Mtaendelea kujadili hivyo hivyo huku utekelezwaji unaendelea 😆😆Ama kwa hakika hali ni tete, pamoja na kuchukuliwa poa , wananchi wa Tanzania ni kama wameanza kuamka kutoka kwenye usingizi wa pono.
Pamoja na yote yanayoendelea Bungeni kuhusiana na Bajeti ya serikali ya 23/24, lakini wananchi hawajishughulishi nayo kabisa! Watu wote wamekomalia Mkataba wa Bandari tu.
Hii maana yake nini?
Mkoa unaojitawala kama states za USA ,mbona Huwa zinaingia mikataba vizuri kabisa?Hivi Dubai ni mkoa au ni Nchi mkoa umepata wapi mamlaka ya kuingia mkabata na Nchi?
Ujinga tuuMaanayake bandari yetu nimuhimu kuliko hiyo Bajeti kuu.
Bandari ni lango kuu la %zaidi ya 90 ya mizigoyote inayo ingia nchini.
Lazima sisi wenyewe tuwe na uwezo wa kuikagua kuanzia sindano mpaka meli yenyewe inayo ingia kwenye bandari yetu.
Wanao sema tuikodishe eti kwasababu kuna changamoto za kiuendeshaji, watuambie kwanza ukiondoa huo uwekezaji, option nyingine ya kutatua hiyo changamoto ni nini.
Stan Katabalo RiP.......Ina maana nchi yetu inaishi kwa MATUKIO BASI! Kumbuka la Loriondo lilivyoisha, alipougua ugonjwa wa ajabu mwandishi aliyelikomalia hatukujua lilipoishia.
Sio kweli huu mkaba ni fekiMkoa unaojitawala kama states za USA ,mbona Huwa zinaingia mikataba vizuri kabisa?
Piga chini huyu hana maslahi Kwa SSH.Blaza yupo kweli?View attachment 2658326
Sio kweli kivipi? Nchi zinaingia mikataba na Makampuni sembuse Dubai yenye Utawala wa ndani kama Zanzibar? Na unaposema UAE unazungumzia Dubai ndio final say Sasa wewe shida Yako ni ipi hasa?Sio kweli hapa tumecheza karata tatu