ngara23
JF-Expert Member
- Aug 31, 2019
- 9,091
- 21,087
Yaani miaka nenda Rudi ukitazama ITV, TBC, ZBC, clouds, wasafi
Habari ni zile zile za matatizo.
1. Video
2. Watu kutekwa
3. Mafuriko.
4 Matatizo ya maji
5. Mlipuko wa magonjwa, kipindupindu, suala
6. Upungufu wadawa
7. Ugomvi wa wakulima na wafugaji
8. Ufisadi.
9. Ubakaji
10 Njaa n.k
11. Kukatika madaraja
Yani ukiwa Tanzania huwezi kuwasha TV ukatazama habari chanya za
1. Mambo ya technology
2. Mapinduzi katika kilimo
3. Biashara za Kimataifa
4. Tafiti mbalimbali
5. Masuala ya viwanda, kukuza uchumi n.k
Sasa hapa tutatokaje hapo
Shida aliziacha Nyerere hadi Leo zipo
Habari ni zile zile za matatizo.
1. Video
2. Watu kutekwa
3. Mafuriko.
4 Matatizo ya maji
5. Mlipuko wa magonjwa, kipindupindu, suala
6. Upungufu wadawa
7. Ugomvi wa wakulima na wafugaji
8. Ufisadi.
9. Ubakaji
10 Njaa n.k
11. Kukatika madaraja
Yani ukiwa Tanzania huwezi kuwasha TV ukatazama habari chanya za
1. Mambo ya technology
2. Mapinduzi katika kilimo
3. Biashara za Kimataifa
4. Tafiti mbalimbali
5. Masuala ya viwanda, kukuza uchumi n.k
Sasa hapa tutatokaje hapo
Shida aliziacha Nyerere hadi Leo zipo