Taarifa za Kijasusi: Hamas bingwa wa mabingwa. Hivi karibuni kutatangazwa ushindi mkubwa kwa Wapalestina

Taarifa za Kijasusi: Hamas bingwa wa mabingwa. Hivi karibuni kutatangazwa ushindi mkubwa kwa Wapalestina

Hahaha huelewi dunia inavyokwenda kijana, inabidi uipekuwe.

Hamas sasa hivi ni bingwa Mabingwa. usifanye mchezo kijana. Dunia nzima tunaimba nyimbo yao.

Unafahamu kuwa Mrusi kishapeleka majeshi yake kuilinda Syria kwa mashambulizi yoyoyte ya kutokea Israel?

Unafahamu kuwa USA sasa hivi wanamwambia Netanyahu aondowe kabisa majeshi yake Golan heights na kurudi kwenye mipaka ya mwaka 1967? Kama huelewi jionee:


View: https://youtu.be/yzNWvRXNrOc?si=mKlv0WdL6F_Y-W7j

Hizo habari za madrassa zibakie huko huko
 
Kumch9kizq? Unaijuwa hist I riabwewe au unaji9ngelea tu?

Wapwlestina wote hao wamezqliwa vitani kamabulikuwanhuelewi.

Una nini cha kuwatisha mashaheed wewe?

Sema walichofanyiwa mazayuni hakijawahi kutokea na saa hizi mavi debe, washaanza kujijlkusanya wanaondoka ghaza kwa aibu. Mpalestina kishasema, yakiisha mapatano ya kusitisha mapigano kila mzayuni wanaemkuta Ghaza ni halali yao na Tel Aviv ni halali yao.
Nakukumbusha tu kuwa gaza imebaki magufu
 
Dk 12 ni aibu kwa Israel,

Al Qasam wanarelese mateks Gaza kaskazin with Show of Power. Huko ndiko IDF wanasema wameishikilia yote na Hamas wamekimbia.
Hivi ushindi ni kubadilishana mateka au ushindi ni kurudisha ardhi yenu? what the meaning of from river to sea? wote nyie ni wagonjwa wa akili, shida iko pale pale mabinti wa mudi.
 
Kumbe hata video clips hujasikiliza, au Kingereza kinakupiga chenga tukuwekee video clips za Kiarabu? Maana afadhali Kiarabu kinafanana na Kiswahili unaweza kudonoa donoa maneno kadhaa huko.
FaizaFoxy una ushabiki maandazi sana, kwani lengo lenu nyie waarabu ni nini? je kubadilishana na mateka au kurudisha ardhi yenu? hakika sijawahi kuona watu wajinga duniani kama waarabu
 
Sasa mlikuwa mnaandamana nini vita isitishwe? Vifo vyote hivyo bado unaita ushindi kweli? Naona uchawa umehamia Hamas.
 
Hehehe mama nikisema minyege unalia lia eti ni matusi, hebu rudia tena ulichoandika, leo una nini mamiii... njoo inbox tuyajenge ila usinilipukie...
Moods mko wapi,,, hili jamaa kama halina hoja linakimbilia matusi,, mnachagua watu wa kuwapiga ban
 
Kweli mmewehuka kwa kichapo.

✓15,000 killed
✓7000 missing
✓Ardhi ya gaza inadhibitiwa na jeshi la Israel.

Halafu bado mnasema mmeshinda vita!!!???
 
Ushindi upi wakati Gaza imefanywa magofu na Wapalestina wengi kuawa?
Kinachofanyika ni kuzuia mgogoro usitanuke na kuingiza mataifa mengine kitu ambacho kinaweza kupelekea WW3!
 
Cha ajabu, miaka ya baadaye, kuna watu watasema Israeli alichezea kichapo kutoka kwa Hamas na kwamba Hamas imeshinda hii vita.

Kweli mapenzi ni upofu.
Kweli mmewehuka kwa kichapo.

✓15,000 killed
✓7000 missing
✓Ardhi ya gaza inadhibitiwa na jeshi la Israel.

Halafu bado mnasema mmeshinda vita!!!???
 
HAmas haijujiandaa kwa vita, hayo mahandaki hayajawasaidia kwa lolote, ni vifo vya bila idadi maskini.
 
Ikitokea Gaza kashinda kwa wa Israel, Ukraine yeye mpaka muda huu, itakuw anacheza vita vya maigizo kwa Urusi, yeye itakuwa keshashinda siku nne baada ya vita kuanza
 
Dk 12 ni aibu kwa Israel,

Al Qasam wanarelese mateks Gaza kaskazin with Show of Power. Huko ndiko IDF wanasema wameishikilia yote na Hamas wamekimbia.
Wanawamezesha propanda na watu kwa mapenzi wanameza tu.
 
Sote tukae mkao wa kusubiri halwa ya sinia za harusini iliyopikwa ikapikika na Gidemi. Wengi wakazi wa jiji la Dar, wa zamani wenzangu, nikiitaja halwa ya Gidemi ya sinia wanaielewa utamu wake.

Kwanza ilikuwa ikifika masinia yale wakati wa kugawanywa, kila mmoja anakodoa macho isije ikawahiwa na wajanja na kuisha kabla ya kufika kwako. Maana kuna watu wanajuwa kukomba halwa hao, si mchezo.

Kwenye tovuti za YouTube nimekuwa nikizifatilia sana habari za kijasusi za kutoka vyanzo vitatu, nilikuwa nazileta JF kiaina fulani, lakini kwa bahati nzuri au mbaya, wengi walikuwa hawazioni umuhimu wake. Hata uzi wa kwanza kabisa kabla ya kutangazwa kutakuwa na kusitisha mapigano niliuleta hapa JF kutokea moja ya vyanzo hivyo.

Kama kawaida, wengi ya wana JF mapoyoyo hawakuitilia maanani habari hiyo, baadhi waliitilia maanani na kuanza kuuliza maswali ya hapa na pale, mpaka siku mbili tatu baadae ilipotangazwa kweli kusitisha mapigano na kubadilishana wafungwa ndiyo wachache wenye uelewa wakaanza kuzifatia post zangu kwa kina.

Ya leo haya ni makubwa zaidi. Someni kwa kina na sikioizeni video clips nilizobandika humu, asiyeelewa aulize swali, sijaweza kuleta habari yote post itakuwa ndefu sana, isipokuwa nimechukuwa kidogo kidogo kutokea huko, kulikounguwa shoka mpini ukabakia:

Tafsiri kwa msaada wa "google translate".

55 Mpango wa Mossad, CIA, Misri na Qatar Kutana kwa ajili ya mvutano wa Israel na Gaza waendelea


Maafisa wa juu wa ujasusi wa kutoka Amerika, Israeli, Misri na Qatar wanakutana Qatar kujadili suala la uwezekano wa kusitisha mapigano moja kwa moja na kubwa zaidi ni jinsi ya kubadilishana wafungwa kati ya Israel na Hamas.

Kwa nini wanakutana hivi sasa? Kama unaweza kufahamu kuwa kumekuwa na kipindi cha Makubaliano ya awali ya kusitisha mapigano ambayo yameongezwa muda zaidi Wakati Mkataba wa awali wa kusitisha mapigano waliokubaliana wote.

Hamas na Israel walikubaliana kuhusu idadi ya watu ambao watakuwa wanaachiwa na Israel na Hamas. Kimsingi, majina ya ya wanaoachiwa hayatochapishwa chapisha kwa sababu za kibinadam. Hata hivyo walikubaliana kuwa watakuwa wengi wanawake na watoto na iliendelea hivyo kama tulivyokuwa tunashuhudia.

Makubaliano pia yalikuwa ile iwe hali ya awali huku kila upande ukiangalia njia bora zaidi ya kufanyika. Liliendelea zoezo hilo mpaka muda ukawa umeongezwa

Ikaonekana kuwa kwa mpango huuunoendelea sasa ni watu 300 tu kutolewa Israel na 100 tu kutokea Israel watakaoachiwa. kuna uwezekano pande zote zikapoteza wafungwa wale wakubwa ambao kila mmoja wao aliwania watolewe, hususan mazayuni ambao walishikiwa majenerali wao na wakuu mbali mbali wa kijeshi katika siku 48 za mapigano. Wakaona Duh hapa tutapoteza watu.

Na Mazayuni walipopata habari za Kiintelijensia kutoka kwa wafungwa waliowachiwa, wakaona hapa imekula kwetu. Ikumbukwe kuwa mateka wote wa Kiyahudi walioshikiliwa na Hamas waliozidi miaka 18 ni wanajeshi kamili na wale wazee wote ni wanajeshi na majasusi wastaafu, ndiyo hao wanaowekwa kwenye vijiji vya mpakani (Kibutz) na hawawekwi tu huko watu kiuholela.

Ikabidi kupitia Wakuu wa ujasusi, imeonekana hawa wanaongea lugha moja kuliko wanasiasa, itumike fursa na nafasi ya msingi hii ili kimsingi kujaribu na kufikia makubaliano ya kusitisha mapigano bilqkupoteza Mfungwa yeyote mkubwa kwa pande zote. Hamas waakaelewa kuwa wao ndiyo wameshikiia turufu.

Tafadhali mengine yasikilize kwenye hii video clip, pia mnaweaa kuuliza chochote kwa ufafanuzi zaidi, kwani habari ni ndefu kidogo.

Cha muhimu tukae mkao wa halwa tungoje mapiganoi yasitishwe kabisa na Wapalestina wakabidhiwe nchi yao kamili kama mipaka ya 1967 ilivyokuwa.

Kwa namna yoyote ile, huu ni ushindi mkubwa sana kwa Wapalestina.

Viva Hamas Viva Palestine Viva wapenda haki wote duniani.



View attachment 2829047
Moja ya psychopath wa dini ambae unauelewa mdogo zaid kuhusu Vita ni ww grandma

Your talking about winning this War?
Did Palestine regain her Land? No
Hamas wamepata nn baada ya kuvamia Israel? Aaaa ok wafungwa wao right?

What about casualties and fatalities?

Tunaongelea maisha ya watoto wadogo wasio na hatia ambao have found themselves in middle of someone else War and pay the price

Still keyboard warrior you call it winning? Kitu gani hasa Cha muhimu ambacho Hamas and Palestine wamekipata In this war?
 
Kumbe hata video clips hujasikiliza, au Kingereza kinakupiga chenga tukuwekee video clips za Kiarabu? Maana afadhali Kiarabu kinafanana na Kiswahili unaweza kudonoa donoa maneno kadhaa huko.
Umepeleka misaada Gaza lkn?
Ndugu zako wanahitaji misaada zaidi kuliko kuwa keyboard warrior kwenye mitandao ya makafirii
Kama mlijua Hamas ni mabingwa maandamano yalikuwa ya nini?
 
Maaskofu wa Kanisa Katoliki duniani wamekutana katika makao makuu ya Kanisa hilo mjini Vatican na kuafikiana kuwatambua watu wanaojihusisha na ndoa ya jinsia moja.
Maaskofu hao wamesema, watu hao wana vipaji wanavyoweza kutumia kulisaidia Kanisa na hivyo hawawezi kutengwa na Kanisa hilo.

Wewe lini unaenda kubatizwa Kanisani baada ya kuwa shoga?
Hasan bin Sufiyan katika Musnad yake, Tabarani katika Al-Awsat, Hakim na Abu Naiym katika Al-Mastakhraj pamoja na mlolongo wa riwaya ya Hasan kutoka kwa Ibn Umar ambaye amesema: “Aya hii iliteremshwa juu ya Mtume kwa ajili ya kuruhusiwa. kufanya mapenzi kwenye njia ya haja kubwa ya mwanamke.” (Ibid., Juzuu 1, uk. 638)
 
Hasan bin Sufiyan katika Musnad yake, Tabarani katika Al-Awsat, Hakim na Abu Naiym katika Al-Mastakhraj pamoja na mlolongo wa riwaya ya Hasan kutoka kwa Ibn Umar ambaye amesema: “Aya hii iliteremshwa juu ya Mtume kwa ajili ya kuruhusiwa. kufanya mapenzi kwenye njia ya haja kubwa ya mwanamke.” (Ibid., Juzuu 1, uk. 638)
Wanaharakati wa haki za mashoga wamepongeza tamko la Vatican, lililotoa ruhusa ya kubatizwa kwa watu waliobadili jinsia chini ya misingi sawa na ile inayotoa ubatizo kwa waumini wengine.😂😂
 
Back
Top Bottom