Taarifa za uhakika nilizonazo Manara ndiye anaihujumu Simba SC kila ikicheza na Yanga SC atimuliwe

Taarifa za uhakika nilizonazo Manara ndiye anaihujumu Simba SC kila ikicheza na Yanga SC atimuliwe

Hawa watu akina GSM, Manji, Kikwete, Rostam, ni wenye uwezo mkubwa sana.
Kama kuna mtu yupo karibu nao, na ni Kiongozi wa Simba, ni lazima atiliwe shaka.
Pesa ni pasua kichwa.
Msemaji wa Simba SC Haji Manara anatumaliza kwa kupitia hawa hawa uliowataja hapo ambao wengi wao ndiyo walikuwa wakimuweka mjini na bado wanaendelea kumuweka mjini mpaka sasa na kwa 99% ndiyo waliiratibu Harusi yake, bata wakampa na mpaka Zawadi ya Gari wakampa na hivi sasa yupo katika Payroll ya GSM wanaoidhamini Yanga SC.
 
Tegemea Breaking News ya Simba SC kumuhusu Yeye Ndugu sawa? Ukiona nimekuja na taarifa hapa jua nimeipata kutoka Jikoni na ndiyo maana hata Signature yangu tu inasema 'Gifted Intellectually, Knowledgeable, Challenger and Well Informed' Ndugu.
Akuna cha Breaking News wewe,Manara awezi kupigwa pini pale Simba na hata kama habari unazosema zipo Simba ya sasa sio ya kukurupuka bila kufanya uchunguzi.

Manara awezi kuihujumu Simba, hata kwa kuota ndoto Simba wanafungwa hawezi kuota hiyo ndoto.
 
Simba 0-Yanga 1 Mchezo uliisha hivyo,ungeisha tofauti huu uzi usingefikirika hata kuandika. Hata sisi ni wana Simba tunakiri tumepigwa.
 
Simba kuifunga Yanga inabidi itumie nguvu za ziada hasa kama Yanga wanautaka ushindi.

Kumbukeni Yanga ilianza kuundwa kabla ya Simba.
Hivyo wananchi wengi hasa wenye madaraka ni wapenzi wa Yanga FC

Viongozi wa CCM wengi ni Yanga.
Maana yake vigogo wa serikali wengi ni Yanga.

Wafanya biashara wengi ni Yanga kwasababu wanataka kuwaridhisha vigogo wa CCM na wa Serikalini maana wao cha msingi kwao ni kupendwa na Vigogo ili wafanye biashara zao vizuri.

Simba tuna MO Dewji peke yake na mnakumbuka misukosuko aliyoipitia na anayoipitia toka atake Hisa za Simba.
Kama angekuwa na moyo mdogo MO ungeisha jiondoa Simba.
MO anatukanwa kupita wafadhiri wa Yanga na watu wanaona kawaida tu.
Sijaona wafadhiri wa Yanga wakidhihakiwa kama MO.

Simba tuna MO peke yake,
Wenzetu wana
Rostam
Manji
GSM
Kikwete
UVCCM wengi akina Joketi Mwegelo
Wachawi nguli kama Mzee Mpili
Meneja wa Uwanja wa Taifa
Na wengine wengi tu.

Yanga ni kama mtoto wa nyumbani na Simba ni mtoto wa kufikia.
Ndio maana wanadeka na wanasikilizwa.

Marefa waniogopa Yanga kwa sababu ya hii hali.
Hata beki akidaka mpira sio jambo rahisi kutoa penati dhidi ya Yanga. Kwa Simba ile ya jana ingetolewa penati haraka tu.

Hivyo Yanga wanauwezo mkubwa kuifunga Simba nje ya Uwanja.
Wana Sapoti kubwa sana, kuliko Simba.

Tafadharini Simba kama hamlijui hili na kujifanya mnaujua mpira, mtafungwa mechi zote tatu tutakazo kutana na Yanga mwaka huu.
Yaani mechi ya
F.A.
Ngao ya Jamii
Ligi ya Vodacom.
Na tutaendelea kufungwa mechi za mbeleni.

Wachezaji wa Simba, Benchi la Ufundi, Viongozi wa Simba kuweni makini sana na hali hii.
La Simba tutaendelea kufesheheshwa kila kukichwa kwa kufungwa na timu tunayoizidi Ubora kwa viwango vya CAF.

Wenzetu wana support kubwa sana.
Mkuu wewe ni mwana simba pekee duniani mwenye akili timamu

Sent from my SM-J250F using JamiiForums mobile app
 
Genta katika ubora wako.
Msemaji wa Simba SC Haji Manara binafsi nakuheshimu mno na nisiwe pia Mchoyo wa Kukusifia na Kukupongeza kuwa ndani ya Klabu ya Simba nawe umeweka Alama yako ya Mchango wako mkubwa wa Kuitangaza vyema Simba SC na kuwa Brand hivi ilivyo sasa.

Hata hivyo Msemaji wa Simba SC Haji Manara leo nitaomba Unisamehe kwa Kuyasema haya Kwako ambayo najua hutoamini Krav Maga Mimi nimeyajuaje ila nikuambie tu nimeyapata kutoka kwa Watu wako wa karibu kutoka Mikocheni unakoishi, Kwenu Ilala na Maskani yako ya Buguruni na kwa Mru Mmoja muhimu ndani ya Klabu ya Simba.

Msemaji wa Simba SC Haji Manara mara nyingi Simba SC ikicheza na Yanga SC kwa Mapenzi makubwa uliyonayo kwa Baba yako Mzazi huwa unapenyeza Taarifa Nyeti za Kambi ya Simba SC hasa zile za Kamati za Ufundi / Utamaduni kwa Yanga SC.

Msemaji wa Simba SC Haji Manara imenibidi leo tena nirejee Moja ya Interviews zako ulizofanya na EFM Radio ambapo kwa Kinywa chako ulishawahi Kukiri kuwa kamwe Simba SC haiwezi Kukufanya ukaacha kuwa na ukaribu na uliowaita Matajiri na Marafiki zako Wakubwa akina Gharib Said Mohammed (GSM), Injinia Hersi Said na wengineo ndani ya Yanga SC.

Msemaji wa Simba SC Haji Manara najua kwa Siku nyingi sana umekuwa ukikalia Kuti Kavu ndani ya Simba SC kwa tabia zako zilizochokwa japo unavumiliwa na Kukingiwa Kifua na Mshkaji wako Mwekezaji na Tajiri Mo Dewji na kwamba Jeuri ya Kukubalika na Watu wa Azam mpaka kuwa Balozi wa Products zao na Ahadi ya GSM kukupa Mkataba mnono kumekufanya ujawe na Kiburi huku ukitafuta Makosa kwa Makusudi ili utimuliwe Klabuni Simba.

Msemaji wa Simba SC Haji Manara hata ile Press Conferences yako ya juzi tu ambayo uliiharibu kwa Upuuzi wako dhidi ya Mwandishi wa Kike wa Habari za Michezo wa Clouds FM Prisca Kishamba ulidhamiria ulichokifanya ili tu Klabu ya Simba ikufukuze uende huko ambako unahitajika Kibishara ila nasikitika Uongozi wa Simba SC haujalijua hili na bado tu wanaendelea Kukukumbatia huku ukiihujumu katika Mechi zake na Yanga SC.

Msemaji wa Simba SC Haji Manara hakuna Kitu kilichoniuma na kunipandisha Hasira zangu Krav Maga leo kama Kitendo chako cha Kupenyeza Taarifa Nyeti ya Jambo la Kiufundi / Kiutamaduni ambalo Simba SC ililifanya pale Uwanjani kwa Mkapa mpaka Yanga SC kupitia Wachezaji wake wakakikwepa na kupitia Mlango mwingine kabisa hivyo Kutuharibia Mipango yetu yote.

Msemaji wa Simba SC Haji Manara binafsi ningeshangaa sana kwa Fadhila ambazo GSM wanakupa tokea Siku yako ile ya Harusi na Mkeo ambaye ni mwana Yanga SC lia lia kama alivyo Baba yako Mzazi kama nawe leo hii usingewapa Ushirikiano wako wa Kuisaliti Simba SC kwa kuwapa Taarifa / Siri za Kambi.

Uongozi wa Simba SC tafadhalini achaneni upesi sana na Msemaji Haji Manara vinginevyo Matokeo mabaya dhidi ya Yanga SC mtaendelea kuyapata kwani huyu Msemaji wenu / wetu ndiyo Mvujishaji Mkuu wa Taarifa zetu nyingi za Siri ya Kambi kwa Yanga SC ili amfurahishe Baba yake Mzazi na Mkewe na mkiudharau huu Ushauri wangu ipo Siku tu mtakuja Kunikumbuka Krav Maga hapa Mtandaoni JamiiForums.

Kwa wale ambao labda watashangaa ni kwanini Krav Maga nazungumzia sana Fitna za Mambo ya Kiufundi ule wa Kiutamaduni ni kwamba 55% ya Mechi za Simba na Yanga huwa ni Utamaduni wa Mwafrika, 30% ni Kuhonga Wachezaji wa Timu Pinzani au Waamuzi na 15% tu ni Jitihada za Wachezaji ndani ya Uwanja.

Na wala simsemi hapa Msemaji wa Simba SC Haji Manara labda nikimaanisha kuwa Simba SC ni Timu Jabali isiyoweza Kufungwa na Yanga SC ila haingii Akilini Timu ina ball possession ya 70% hadi 75% huku Wachezaji wakikosa Magoli ya Wazi na Mipira mingine unaona imepigwa Golini na inaenda Kuingia mara ghafla mpira unabadili mwelekeo wake na kutoka nje kidogo tu ya Goli halafu usiseme kuwa kuna Mkono wa Mtu hasa Kiutamaduni.

Simba SC mtimueni Haji Manara haraka.
 
Simba kuifunga Yanga inabidi itumie nguvu za ziada hasa kama Yanga wanautaka ushindi.

Kumbukeni Yanga ilianza kuundwa kabla ya Simba.
Hivyo wananchi wengi hasa wenye madaraka ni wapenzi wa Yanga FC

Viongozi wa CCM wengi ni Yanga.
Maana yake vigogo wa serikali wengi ni Yanga.

Wafanya biashara wengi ni Yanga kwasababu wanataka kuwaridhisha vigogo wa CCM na wa Serikalini maana wao cha msingi kwao ni kupendwa na Vigogo ili wafanye biashara zao vizuri.

Simba tuna MO Dewji peke yake na mnakumbuka misukosuko aliyoipitia na anayoipitia toka atake Hisa za Simba.
Kama angekuwa na moyo mdogo MO ungeisha jiondoa Simba.
MO anatukanwa kupita wafadhiri wa Yanga na watu wanaona kawaida tu.
Sijaona wafadhiri wa Yanga wakidhihakiwa kama MO.

Simba tuna MO peke yake,
Wenzetu wana
Rostam
Manji
GSM
Kikwete
UVCCM wengi akina Joketi Mwegelo
Wachawi nguli kama Mzee Mpili
Meneja wa Uwanja wa Taifa
Na wengine wengi tu.

Yanga ni kama mtoto wa nyumbani na Simba ni mtoto wa kufikia.
Ndio maana wanadeka na wanasikilizwa.

Marefa waniogopa Yanga kwa sababu ya hii hali.
Hata beki akidaka mpira sio jambo rahisi kutoa penati dhidi ya Yanga. Kwa Simba ile ya jana ingetolewa penati haraka tu.

Hivyo Yanga wanauwezo mkubwa kuifunga Simba nje ya Uwanja.
Wana Sapoti kubwa sana, kuliko Simba.

Tafadharini Simba kama hamlijui hili na kujifanya mnaujua mpira, mtafungwa mechi zote tatu tutakazo kutana na Yanga mwaka huu.
Yaani mechi ya
F.A.
Ngao ya Jamii
Ligi ya Vodacom.
Na tutaendelea kufungwa mechi za mbeleni.

Wachezaji wa Simba, Benchi la Ufundi, Viongozi wa Simba kuweni makini sana na hali hii.
La Simba tutaendelea kufesheheshwa kila kukichwa kwa kufungwa na timu tunayoizidi Ubora kwa viwango vya CAF.

Wenzetu wana support kubwa sana.
Kwa hiyo yanga walivyopigwa 4-1 mechi ya FA msimu uliopita hao uvccm, Gsm, Kikwete hawakuwepo? Kumbuka kombe la FA kwa yanga msimu uliopita lilikuwa muhimu sana maana ilikuwa tiketi ya kimataifa lakini walipigwa na kutolewa. Enzi za utawala wa Kikwete hao Yanga wamewahi pigwa 5-0, penati kama mbili hivi,kwa hiyo hoja yako ya marefa sio sahihi.

Kwa akili ya kawaida ni yupi anaetoa support ya maana kwa klabu kati ya Mo alie peke yake na hao uliowataja kwa yanga? Kwa misimu karibia minne yanga haina mwelekeo wowote wa maana halafu wewe unawaona wa maana hao kisa tu ushindi wa derby.Ni heri Mo abaki peke yake maana sote tunaona simba inavyocheza na kupata mafanikio hapa nyumbani na huko CAF hata kama inafungwa na yanga kuliko eti Mo apate support ya sijui uvccm , sijui Mwinyi halafu mwisho wa siku klabu inakuwa ipo ipo tu. Man u wameifunga Man city kwenye derby ya hivi karibuni lakini kamwe hawawezi kujivunia hilo kuliko kutwaa epl.
Hakuna anaefurahia kufungwa kwenye derby ila ni upuuzi kudhania umefungwa kwa sababu ya nje ya uwanja zaidi sababu ya wale kupewa support na watu maarufu. Hata wanayanga wanataka wapate Mo wao wa kuwapeleka mbele zaidi na sio kupewa support na matajiri au wanasiasa kwenye mechi tatu au nne.
 
Msemaji wa Simba SC Haji Manara binafsi nakuheshimu mno na nisiwe pia Mchoyo wa Kukusifia na Kukupongeza kuwa ndani ya Klabu ya Simba nawe umeweka Alama yako ya Mchango wako mkubwa wa Kuitangaza vyema Simba SC na kuwa Brand hivi ilivyo sasa.

Hata hivyo Msemaji wa Simba SC Haji Manara leo nitaomba Unisamehe kwa Kuyasema haya Kwako ambayo najua hutoamini Krav Maga Mimi nimeyajuaje ila nikuambie tu nimeyapata kutoka kwa Watu wako wa karibu kutoka Mikocheni unakoishi, Kwenu Ilala na Maskani yako ya Buguruni na kwa Mru Mmoja muhimu ndani ya Klabu ya Simba.

Msemaji wa Simba SC Haji Manara mara nyingi Simba SC ikicheza na Yanga SC kwa Mapenzi makubwa uliyonayo kwa Baba yako Mzazi huwa unapenyeza Taarifa Nyeti za Kambi ya Simba SC hasa zile za Kamati za Ufundi / Utamaduni kwa Yanga SC.

Msemaji wa Simba SC Haji Manara imenibidi leo tena nirejee Moja ya Interviews zako ulizofanya na EFM Radio ambapo kwa Kinywa chako ulishawahi Kukiri kuwa kamwe Simba SC haiwezi Kukufanya ukaacha kuwa na ukaribu na uliowaita Matajiri na Marafiki zako Wakubwa akina Gharib Said Mohammed (GSM), Injinia Hersi Said na wengineo ndani ya Yanga SC.

Msemaji wa Simba SC Haji Manara najua kwa Siku nyingi sana umekuwa ukikalia Kuti Kavu ndani ya Simba SC kwa tabia zako zilizochokwa japo unavumiliwa na Kukingiwa Kifua na Mshkaji wako Mwekezaji na Tajiri Mo Dewji na kwamba Jeuri ya Kukubalika na Watu wa Azam mpaka kuwa Balozi wa Products zao na Ahadi ya GSM kukupa Mkataba mnono kumekufanya ujawe na Kiburi huku ukitafuta Makosa kwa Makusudi ili utimuliwe Klabuni Simba.

Msemaji wa Simba SC Haji Manara hata ile Press Conferences yako ya juzi tu ambayo uliiharibu kwa Upuuzi wako dhidi ya Mwandishi wa Kike wa Habari za Michezo wa Clouds FM Prisca Kishamba ulidhamiria ulichokifanya ili tu Klabu ya Simba ikufukuze uende huko ambako unahitajika Kibishara ila nasikitika Uongozi wa Simba SC haujalijua hili na bado tu wanaendelea Kukukumbatia huku ukiihujumu katika Mechi zake na Yanga SC.

Msemaji wa Simba SC Haji Manara hakuna Kitu kilichoniuma na kunipandisha Hasira zangu Krav Maga leo kama Kitendo chako cha Kupenyeza Taarifa Nyeti ya Jambo la Kiufundi / Kiutamaduni ambalo Simba SC ililifanya pale Uwanjani kwa Mkapa mpaka Yanga SC kupitia Wachezaji wake wakakikwepa na kupitia Mlango mwingine kabisa hivyo Kutuharibia Mipango yetu yote.

Msemaji wa Simba SC Haji Manara binafsi ningeshangaa sana kwa Fadhila ambazo GSM wanakupa tokea Siku yako ile ya Harusi na Mkeo ambaye ni mwana Yanga SC lia lia kama alivyo Baba yako Mzazi kama nawe leo hii usingewapa Ushirikiano wako wa Kuisaliti Simba SC kwa kuwapa Taarifa / Siri za Kambi.

Uongozi wa Simba SC tafadhalini achaneni upesi sana na Msemaji Haji Manara vinginevyo Matokeo mabaya dhidi ya Yanga SC mtaendelea kuyapata kwani huyu Msemaji wenu / wetu ndiyo Mvujishaji Mkuu wa Taarifa zetu nyingi za Siri ya Kambi kwa Yanga SC ili amfurahishe Baba yake Mzazi na Mkewe na mkiudharau huu Ushauri wangu ipo Siku tu mtakuja Kunikumbuka Krav Maga hapa Mtandaoni JamiiForums.

Kwa wale ambao labda watashangaa ni kwanini Krav Maga nazungumzia sana Fitna za Mambo ya Kiufundi ule wa Kiutamaduni ni kwamba 55% ya Mechi za Simba na Yanga huwa ni Utamaduni wa Mwafrika, 30% ni Kuhonga Wachezaji wa Timu Pinzani au Waamuzi na 15% tu ni Jitihada za Wachezaji ndani ya Uwanja.

Na wala simsemi hapa Msemaji wa Simba SC Haji Manara labda nikimaanisha kuwa Simba SC ni Timu Jabali isiyoweza Kufungwa na Yanga SC ila haingii Akilini Timu ina ball possession ya 70% hadi 75% huku Wachezaji wakikosa Magoli ya Wazi na Mipira mingine unaona imepigwa Golini na inaenda Kuingia mara ghafla mpira unabadili mwelekeo wake na kutoka nje kidogo tu ya Goli halafu usiseme kuwa kuna Mkono wa Mtu hasa Kiutamaduni.

Simba SC mtimueni Haji Manara haraka.
Acha wivu wewe.Aidha leo umeamua kuweka wazi kwamba Simba mnategemea ushirikina kwa 55 %, Kuhonga marefa /wachezaji wa Timu pinzani kwa 30% Na jitihada za wachezaji wenu kwa 15% . Hovyo kabisa
 
Hatari sana, duh! kumbe kweli Manara ni kanjanja sana.
 
Mwacheni manara anafanya utani tu
Screenshot_20210722-195300.jpg
 
Back
Top Bottom