Yeye anaipenda Simba,Simba ndio hawamtaki....subiri hivi karibuni utamjua AjibSimba haimpendi kivipi,Jaribu kutofautisha kati ya Mapenzi na Performance ya uwanjani .
Makocha mpka kumpanga mchezaji huangalia zaidi anavyo perform kwenye mazoezi kama hajitumi mashabiki mtakomea kulazimisha apangwe kumbe hamna kitu.Duu. Mbona kama huyu jamaa mpira alikuwa anauweza kuliko baadhi ya wachezaji waliokuwa wanacheza kila siku pale Simba lakini alikuwa hapewi tu muda wa kutosha uwezo wake? Au sijui ni mimi tu nilikuwa naangalia mechi vibaya. Anyway nayaheshimu maamuzi ya uongozi na benchi la ufundi Simba inawezekana kuna kitu zaidi wamekiona.
Ajibu ana miaka 31 nimekuwa nae tabata shule na nimesoma nae,hiyo miaka 25 ni ya kwenye passport tuImenishangaza jamaa ana miaka 25 halafu wameamua kumpa mwaka mmoja tu, wamebet au?!
Mikia munajipa moyo utadhania kuwa 2023 mazembe itakuwa imekufa kabisa,nunueni basi na nyie ndege.Uwanja sio inshu tena kwani kufikia 2023 Uwanja wa simba utakua kiwango cha kwanza kuwahi kutokea Afrika mashariki kwa upande wa klabu na apo utakua na lakusema??ile ndege?? Kwanza uwanja wa mazembe huohuo unatumika kwa mazoez uouo kwa mechi uouo kwa kila kitu yaani
Wewe unafikiri wanakurupuka tu kama wewe unavyoropoka?? Kwaakili yako ndege ya klabu inaingizaje mapato??kama sio kutia hasara tu kutokana mantainance,mafuta,,parking n.k Ndege sio ujanja ata team kubwa duniani hazina ndenge wewe ndo ujitoa fahamu ukanunue kwa faida zipi hasa???enewei ni akili za Utoponga sio makosa yakoMikia munajipa moyo utadhania kuwa 2023 mazembe itakuwa imekufa kabisa,nunueni basi na nyie ndege.
[emoji23][emoji23] Umeamua kujifurahisha? hii Mazembe ambayo inauza wachezaji ulaya ipambane na Simba!Bana,Tp Mazembe wameingia kwenye Falsafa mpya ya PRINCIPLES OF PERCENTAGE RESALE hawawezi tena kurudi kirahisi kushindana Sasa hivi hata wakigombea mchezaji na Simba hawawezi.
Upisasa maana hawa ni wandaniKweli mda mfupi ila nahisi simba anafanya mambo kimyakimya...ngoja awapunguze wachezaji tutasikia makubwa kuhusu usajili
KMCAthumani miraji aliyekuwa mchezaji wa simba kwa sasa yuko timu gani? sijamuona muda mrefu akicheza.
Bora useme captain joniSimba tumebakiza galasa moja hivi ameshachoka akamalizie uzee Namungo fc ni Erasto Nyoni
Like a father, like a son( CCM=Yanga)Wewe unafikiri wanakurupuka tu kama wewe unavyoropoka?? Kwaakili yako ndege ya klabu inaingizaje mapato??kama sio kutia hasara tu kutokana mantainance,mafuta,,parking n.k Ndege sio ujanja ata team kubwa duniani hazina ndenge wewe ndo ujitoa fahamu ukanunue kwa faida zipi hasa???enewei ni akili za Utoponga sio makosa yako
Uzi umefika page 5 kuna updates za mipasho tu .
Mipasho tu kabisa. Yaani JF ya sasa imevamiwa sana.Uzi umefika page 5 kuna updates za mipasho tu .