Taarifa zinarindima za gaidi mmoja anavyotikisa Dar, poleni watani

Taarifa zinarindima za gaidi mmoja anavyotikisa Dar, poleni watani

MK254

JF-Expert Member
Joined
May 11, 2013
Posts
32,408
Reaction score
50,809
Jamaa kama hawa ndio huwa wanatuibukia hapa Kenya wakiwa kundi, wana ujasiri sana wa kujitoa mhanga, naona taarifa huyu mmoja amewanyima amani sana huko Dar, bora kaliwa shaba kabla hajafanya maafa zaidi, jamaa alikua amejianika barabarani.

Huku kwetu wakija huingia kwenye shopping mall na kutia kambi humo, inabidi makomando wacheze kama kwenye movie vile.
Poleni lakini.

===========

gunman-pic.jpg


Dar es Salaam. Police in Dar es Salaam has shot down a gun wielding assailant who was on a shooting spree roaming the Ali Hassan Mwinyi Road from the Selanda Bridge area.

The man whose identity is yet to be established was trotting the streets while wielding two assault rifles with city dwellers at his mercy.

Road users on the usually calm Oyesterbay/Upanga area were forced to abandon their cars as they ran for dear lives.

Videos posted on social media show a joint police operation round up the assailant before he is gunned down in the middle of the road outside the French Embassy gate.

Eye witnesses who were at the scene say the cocky assailant could have killed some people during the shooting.

The man who was wearing a checked shirt and khaki trousers is seen punching in the air then thumps his chest in a presumed victory before he is brought down by a hail of bullets from security forces.

Once down, several bullets further rain on him before officers move in to take away one of the riffles that he was holding.

The Selanda Bridge area which borders Upanga and Oysterbay is surrounded by residents of foreign missions such as the French Embassy, Japanese Embassy, Kenyan embassy, Russian embassy and a close proximity to financial institutions such as Stanbic Bank and KCB Bank.

The motive of the attack remains unknown.

The incident happened just hours after the Inspector General of Police (IGP), Simon Sirro had assured the nation that criminal offences had dropped by 12 per cent

Speaking on Wednesday August 25, 2021 at the opening of a workshop for Regional police commanders and officers in Dar es Salaam, he said statistics show that crime is on the decline.

He said in the period July 2020 to June 2021 the number of offenses reported to police stations was 49,508 compared to 56,397 offenses in the same period 2019/2020.

More to follow...
 
Wakati wenzenu wanahangaishwa na magaidi munaicheka, Leo ilikuwa siku yenu, 😀 😀
Dar kuhangaishwa na mtu mmoja mwenye ata haijulikani kama ni kichwa yake imeruka ama ni nini.
 
Jamaa kama hawa ndio huwa wanatuibukia hapa Kenya wakiwa kundi, wana ujasiri sana wa kujitoa mhanga, naona taarifa huyu mmoja amewanyima amani sana huko Dar, bora kaliwa shaba kabla hajafanya maafa zaidi, jamaa alikua amejianika barabarani.

Huku kwetu wakija huingia kwenye shopping mall na kutia kambi humo, inabidi makomando wacheze kama kwenye movie vile.
Poleni lakini.

===========

gunman-pic.jpg


Dar es Salaam. Police in Dar es Salaam has shot down a gun wielding assailant who was on a shooting spree roaming the Ali Hassan Mwinyi Road from the Selanda Bridge area.

The man whose identity is yet to be established was trotting the streets while wielding two assault rifles with city dwellers at his mercy.

Road users on the usually calm Oyesterbay/Upanga area were forced to abandon their cars as they ran for dear lives.

Videos posted on social media show a joint police operation round up the assailant before he is gunned down in the middle of the road outside the French Embassy gate.

Eye witnesses who were at the scene say the cocky assailant could have killed some people during the shooting.

The man who was wearing a checked shirt and khaki trousers is seen punching in the air then thumps his chest in a presumed victory before he is brought down by a hail of bullets from security forces.

Once down, several bullets further rain on him before officers move in to take away one of the riffles that he was holding.

The Selanda Bridge area which borders Upanga and Oysterbay is surrounded by residents of foreign missions such as the French Embassy, Japanese Embassy, Kenyan embassy, Russian embassy and a close proximity to financial institutions such as Stanbic Bank and KCB Bank.

The motive of the attack remains unknown.

The incident happened just hours after the Inspector General of Police (IGP), Simon Sirro had assured the nation that criminal offences had dropped by 12 per cent

Speaking on Wednesday August 25, 2021 at the opening of a workshop for Regional police commanders and officers in Dar es Salaam, he said statistics show that crime is on the decline.

He said in the period July 2020 to June 2021 the number of offenses reported to police stations was 49,508 compared to 56,397 offenses in the same period 2019/2020.

More to follow...
Huyu jamaa aisee, nahisi katumwa eidha kumuangamiza MBOWE ama kumuokoa
 
Watakwambia wanaweza handle alshabaab. Yani mtu mmoja na risasi anawahangaisha hivi na watashinda wakikwambia Westgate Westgate. Halafu huo ndio mtaa wa kifahari Dar eti. [emoji1787] [emoji1787]
Do you know the meaning of "kuhangaishwa "man down within 15 minutes sio kuhangaishwa.
 
Jamaa kama hawa ndio huwa wanatuibukia hapa Kenya wakiwa kundi, wana ujasiri sana wa kujitoa mhanga, naona taarifa huyu mmoja amewanyima amani sana huko Dar, bora kaliwa shaba kabla hajafanya maafa zaidi, jamaa alikua amejianika barabarani.

Huku kwetu wakija huingia kwenye shopping mall na kutia kambi humo, inabidi makomando wacheze kama kwenye movie vile.
Poleni lakini.

===========

gunman-pic.jpg


Dar es Salaam. Police in Dar es Salaam has shot down a gun wielding assailant who was on a shooting spree roaming the Ali Hassan Mwinyi Road from the Selanda Bridge area.

The man whose identity is yet to be established was trotting the streets while wielding two assault rifles with city dwellers at his mercy.

Road users on the usually calm Oyesterbay/Upanga area were forced to abandon their cars as they ran for dear lives.

Videos posted on social media show a joint police operation round up the assailant before he is gunned down in the middle of the road outside the French Embassy gate.

Eye witnesses who were at the scene say the cocky assailant could have killed some people during the shooting.

The man who was wearing a checked shirt and khaki trousers is seen punching in the air then thumps his chest in a presumed victory before he is brought down by a hail of bullets from security forces.

Once down, several bullets further rain on him before officers move in to take away one of the riffles that he was holding.

The Selanda Bridge area which borders Upanga and Oysterbay is surrounded by residents of foreign missions such as the French Embassy, Japanese Embassy, Kenyan embassy, Russian embassy and a close proximity to financial institutions such as Stanbic Bank and KCB Bank.

The motive of the attack remains unknown.

The incident happened just hours after the Inspector General of Police (IGP), Simon Sirro had assured the nation that criminal offences had dropped by 12 per cent

Speaking on Wednesday August 25, 2021 at the opening of a workshop for Regional police commanders and officers in Dar es Salaam, he said statistics show that crime is on the decline.

He said in the period July 2020 to June 2021 the number of offenses reported to police stations was 49,508 compared to 56,397 offenses in the same period 2019/2020.

More to follow...
Ingekuwa ni Kenya hapo ungeona vifaru na wanajeshi wakati hapa Tanzania huyo jamaa kauawa na polisi wa kawaida Tu.
 
Wakati wenzenu wanahangaishwa na magaidi munaicheka, Leo ilikuwa siku yenu, 😀 😀
Dar kuhangaishwa na mtu mmoja mwenye ata haijulikani kama ni kichwa yake imeruka ama ni nini.
Kichwa inarukaga kumbe?![emoji1]
 
Jitahadharini majirani. Hawa wafia dini huwa wanavuruga kila sekta, sio amani na maisha ya wananchi tu. Biashara, usafiri, utalii vyote huwa vinaathika kwa muda mfupi sana. Itakuwa jambo la busara sana kama tutabuni 'approach' ya pamoja kama Afrika Mashariki kwenye vita dhidi ya ugaidi.
 
Huyu jamaa kama si kujitoa kwa street juu ya teargas alikua amewahangaisha , uzuri the guy had no interest in killing unarmed people, otherwise angemaliza wengi sana
 
Nachoshukuru tu Tz tuna amani.

Ni kawaida kuwa na pride ya jeshi lako ila watu huwa wanavuka wanaingia kwenye ego.

Guys, Tz tushukuru kuna amani.

Today tumejifunza the hard way.

watu wanne wakiwamo mapolisi wametutoka.

Jamaa kafunga mtaa almost 30 minutes, ka create chaos, Na angalau alikuwa haja target raia wa kawaida, ange target raia wa kawaida leo familia zaidi ya 50 zingekuwa kwenye vilio.

Najua watu mtanishambulia sijui mi sio mzalendo, naaibisha taifa, n.k

Guys, terrorism ni ishu nyingine kabisa na huyu alikuwa mtu mmoja tu na anaonekana ni amateur kabisa.

Yote kwa yote tusiwacheke Kenya kwa kuwa na majirani kina Al Shabab, Hawakupenda ila ndio ivyo tena.

Mungu azilaze mahali pema roho za askari wawili waliotutoka
 
Jitahadharini majirani. Hawa wafia dini huwa wanavuruga kila sekta, sio amani na maisha ya wananchi tu. Biashara, usafiri, utalii vyote huwa vinaathika kwa muda mfupi sana. Itakuwa jambo la busara sana kama tutabuni 'approach' ya pamoja kama Afrika Mashariki kwenye vita dhidi ya ugaidi.
ulipotelea wapi kiongozi
 
Nilivoona clip tu nikajua LAZIMA tu majirani wataanza utani wao na nilijua kuwa mmoja wao ni wewe.

Anyways, kwa kutizama tukio utakuta jamaa sio akina Al shabbab na wenzao, maana hakuwa na target ya raia kabisa, kalipita basi limejaa abiria hajawauliza ata hali zao, alikuwa anawatafuta polisi tu. Polisi inaonekana walimfanyia kitu mbaya kabla ya tukio jamaa akaona awashuhulikie.

All in all jamaa amewahiwa na vikosi kazi
 
Back
Top Bottom