Taarifa zinarindima za gaidi mmoja anavyotikisa Dar, poleni watani

Taarifa zinarindima za gaidi mmoja anavyotikisa Dar, poleni watani

95F0C31C-3E4D-46CB-A54F-2F7468420063.jpeg


Jamaa kama hawa ndio huwa wanatuibukia hapa Kenya wakiwa kundi, wana ujasiri sana wa kujitoa mhanga, naona taarifa huyu mmoja amewanyima amani sana huko Dar, bora kaliwa shaba kabla hajafanya maafa zaidi, jamaa alikua amejianika barabarani.


Huku kwetu wakija huingia kwenye shopping mall na kutia kambi humo, inabidi makomando wacheze kama kwenye movie vile.
Poleni lakini.

===========

gunman-pic.jpg


Dar es Salaam. Police in Dar es Salaam has shot down a gun wielding assailant who was on a shooting spree roaming the Ali Hassan Mwinyi Road from the Selanda Bridge area.

The man whose identity is yet to be established was trotting the streets while wielding two assault rifles with city dwellers at his mercy.

Road users on the usually calm Oyesterbay/Upanga area were forced to abandon their cars as they ran for dear lives.

Videos posted on social media show a joint police operation round up the assailant before he is gunned down in the middle of the road outside the French Embassy gate.

Eye witnesses who were at the scene say the cocky assailant could have killed some people during the shooting.

The man who was wearing a checked shirt and khaki trousers is seen punching in the air then thumps his chest in a presumed victory before he is brought down by a hail of bullets from security forces.

Once down, several bullets further rain on him before officers move in to take away one of the riffles that he was holding.

The Selanda Bridge area which borders Upanga and Oysterbay is surrounded by residents of foreign missions such as the French Embassy, Japanese Embassy, Kenyan embassy, Russian embassy and a close proximity to financial institutions such as Stanbic Bank and KCB Bank.

The motive of the attack remains unknown.

The incident happened just hours after the Inspector General of Police (IGP), Simon Sirro had assured the nation that criminal offences had dropped by 12 per cent

Speaking on Wednesday August 25, 2021 at the opening of a workshop for Regional police commanders and officers in Dar es Salaam, he said statistics show that crime is on the decline.

He said in the period July 2020 to June 2021 the number of offenses reported to police stations was 49,508 compared to 56,397 offenses in the same period 2019/2020.

More to follow...
 
Jamaa kama hawa ndio huwa wanatuibukia hapa Kenya wakiwa kundi, wana ujasiri sana wa kujitoa mhanga, naona taarifa huyu mmoja amewanyima amani sana huko Dar, bora kaliwa shaba kabla hajafanya maafa zaidi, jamaa alikua amejianika barabarani.

Huku kwetu wakija huingia kwenye shopping mall na kutia kambi humo, inabidi makomando wacheze kama kwenye movie vile.
Poleni lakini.

===========

gunman-pic.jpg


Dar es Salaam. Police in Dar es Salaam has shot down a gun wielding assailant who was on a shooting spree roaming the Ali Hassan Mwinyi Road from the Selanda Bridge area.

The man whose identity is yet to be established was trotting the streets while wielding two assault rifles with city dwellers at his mercy.

Road users on the usually calm Oyesterbay/Upanga area were forced to abandon their cars as they ran for dear lives.

Videos posted on social media show a joint police operation round up the assailant before he is gunned down in the middle of the road outside the French Embassy gate.

Eye witnesses who were at the scene say the cocky assailant could have killed some people during the shooting.

The man who was wearing a checked shirt and khaki trousers is seen punching in the air then thumps his chest in a presumed victory before he is brought down by a hail of bullets from security forces.

Once down, several bullets further rain on him before officers move in to take away one of the riffles that he was holding.

The Selanda Bridge area which borders Upanga and Oysterbay is surrounded by residents of foreign missions such as the French Embassy, Japanese Embassy, Kenyan embassy, Russian embassy and a close proximity to financial institutions such as Stanbic Bank and KCB Bank.

The motive of the attack remains unknown.

The incident happened just hours after the Inspector General of Police (IGP), Simon Sirro had assured the nation that criminal offences had dropped by 12 per cent

Speaking on Wednesday August 25, 2021 at the opening of a workshop for Regional police commanders and officers in Dar es Salaam, he said statistics show that crime is on the decline.

He said in the period July 2020 to June 2021 the number of offenses reported to police stations was 49,508 compared to 56,397 offenses in the same period 2019/2020.

More to follow...
Manara ana kimavi,
Utopolo na jezi yao wameishia kutrend kwa dkk 20 tu kabla Hamza hajachukua kijiji
 
Ingekuwa ni Kenya hapo ungeona vifaru na wanajeshi wakati hapa Tanzania huyo jamaa kauawa na polisi wa kawaida Tu.

Tumeona video bana, imechukua juhudi za polisi wengi sana na risasi nyingi kuua jamaa aliyejianika barabarani, halafu ni wazi hakua gaidi, maana daladala limempita likiwa na abiria, huyo itakua aidha alikua na bifu na maaskari wenu ambao walimtapeli, kuna picha nimeona amepost BAK jamaa kumbe ni CCM mwenzako mtakua mtakua mumetapeliana huko.
 
Tumeona video bana, imechukua juhudi za polisi wengi sana na risasi nyingi kuua jamaa aliyejianika barabarani, halafu ni wazi hakua gaidi, maana daladala limempita likiwa na abiria, huyo itakua aidha alikua na bifu na maaskari wenu ambao walimtapeli, kuna picha nimeona amepost BAK jamaa kumbe ni CCM mwenzako mtakua mtakua mumetapeliana huko.
Gaidi ni haijalishi km amelenga raia ama laa.
ktendo cha ku spread terror kwa mtu yeyote huo ni ugaidi.
 
Ata Kama imechukua dakika Ngapi Nasema shukran kwa Askari wa TZ kwa kufanya haki,i really hate terrorists wanatupa presha Huku Kenya Sababu Ni majirani wetu Hapa Somalia,Nilionya kitu Kama hiki kinaweza tokea Tz mkikosa kujichunga,Hawa Mafala wanaweza tokea anywhere anytime na kufyatua watu risasi na kupiga mabomu ovyo😳please East Africa help each other to fight this goons before they spread like air in our midst,jiulizeni hiyo bunduki alitoa wapi? na mujiulize jee Kama Kuna wengine Kama Hao TZ??East Africa tukikosa kuchunga will be worst than Somalia,Nigeria and Iran
 
Gaidi ni haijalishi km amelenga raia ama laa.
ktendo cha ku spread terror kwa mtu yeyote huo ni ugaidi.

Ni kweli alichokifanya ni ugaidi, ni kama yale ambayo mumemtuhumu Mbowe sijui mnasema kalipua kituo cha mafuta, ila bahati huyu Msomali sio Shababi maana angekua Alshabaab angetesa sana, huyu kajianika barabarani na hakua anawalenga raia wa kawaida kwenye daladala.
 
Jamaa kama hawa ndio huwa wanatuibukia hapa Kenya wakiwa kundi, wana ujasiri sana wa kujitoa mhanga, naona taarifa huyu mmoja amewanyima amani sana huko Dar, bora kaliwa shaba kabla hajafanya maafa zaidi, jamaa alikua amejianika barabarani.

Huku kwetu wakija huingia kwenye shopping mall na kutia kambi humo, inabidi makomando wacheze kama kwenye movie vile.
Poleni lakini.

===========

gunman-pic.jpg


Dar es Salaam. Police in Dar es Salaam has shot down a gun wielding assailant who was on a shooting spree roaming the Ali Hassan Mwinyi Road from the Selanda Bridge area.

The man whose identity is yet to be established was trotting the streets while wielding two assault rifles with city dwellers at his mercy.

Road users on the usually calm Oyesterbay/Upanga area were forced to abandon their cars as they ran for dear lives.

Videos posted on social media show a joint police operation round up the assailant before he is gunned down in the middle of the road outside the French Embassy gate.

Eye witnesses who were at the scene say the cocky assailant could have killed some people during the shooting.

The man who was wearing a checked shirt and khaki trousers is seen punching in the air then thumps his chest in a presumed victory before he is brought down by a hail of bullets from security forces.

Once down, several bullets further rain on him before officers move in to take away one of the riffles that he was holding.

The Selanda Bridge area which borders Upanga and Oysterbay is surrounded by residents of foreign missions such as the French Embassy, Japanese Embassy, Kenyan embassy, Russian embassy and a close proximity to financial institutions such as Stanbic Bank and KCB Bank.

The motive of the attack remains unknown.

The incident happened just hours after the Inspector General of Police (IGP), Simon Sirro had assured the nation that criminal offences had dropped by 12 per cent

Speaking on Wednesday August 25, 2021 at the opening of a workshop for Regional police commanders and officers in Dar es Salaam, he said statistics show that crime is on the decline.

He said in the period July 2020 to June 2021 the number of offenses reported to police stations was 49,508 compared to 56,397 offenses in the same period 2019/2020.

More to follow...
Hakuna gaidi hapo ni maisha tu yamemfanya awe kama gaidi
JamiiForums664579406.jpg
 
Jamaa naona umepata hadi orgasm yani, we all know kdf stole them breads whilst shababis escaped, a lone man can ambush and kill even 20 polices in USA where you love to lick their butts, aya kwendraa.


Sent from my DUB-LX1 using JamiiForums mobile app
yeah we haven't forgotten that you Bongolalas get off when Kenya is attacked. Now we know your guys are inadequately prepared for these types of threats....yeah your horse is not as high as you thought.
 
Jamaa naona umepata hadi orgasm yani, we all know kdf stole them breads whilst shababis escaped, a lone man can ambush and kill even 20 polices in USA where you love to lick their butts, aya kwendraa.


Sent from my DUB-LX1 using JamiiForums mobile app
Hatujasahau kamati yenyu ikiongozwa na Geza ulole mnakuanga in celebration once we have attacks in Kenya
 
Hatujasahau kamati yenyu ikiongozwa na Geza ulole mnakuanga in celebration once we have attacks in Kenya
Huyu ni polisi tu wamedeal naye tukio la Westgate tuliona special force wakiiba mikate na kunywa mvinyo.
 
Watakwambia wanaweza handle alshabaab. Yani mtu mmoja na risasi anawahangaisha hivi na watashinda wakikwambia Westgate Westgate. Halafu huo ndio mtaa wa kifahari Dar eti. 🤣 🤣
Police wetu wanaweza ku handle chadema
 
Jamaa kama hawa ndio huwa wanatuibukia hapa Kenya wakiwa kundi, wana ujasiri sana wa kujitoa mhanga, naona taarifa huyu mmoja amewanyima amani sana huko Dar, bora kaliwa shaba kabla hajafanya maafa zaidi, jamaa alikua amejianika barabarani.

Huku kwetu wakija huingia kwenye shopping mall na kutia kambi humo, inabidi makomando wacheze kama kwenye movie vile.
Poleni lakini.

===========

gunman-pic.jpg


Dar es Salaam. Police in Dar es Salaam has shot down a gun wielding assailant who was on a shooting spree roaming the Ali Hassan Mwinyi Road from the Selanda Bridge area.

The man whose identity is yet to be established was trotting the streets while wielding two assault rifles with city dwellers at his mercy.

Road users on the usually calm Oyesterbay/Upanga area were forced to abandon their cars as they ran for dear lives.

Videos posted on social media show a joint police operation round up the assailant before he is gunned down in the middle of the road outside the French Embassy gate.

Eye witnesses who were at the scene say the cocky assailant could have killed some people during the shooting.

The man who was wearing a checked shirt and khaki trousers is seen punching in the air then thumps his chest in a presumed victory before he is brought down by a hail of bullets from security forces.

Once down, several bullets further rain on him before officers move in to take away one of the riffles that he was holding.

The Selanda Bridge area which borders Upanga and Oysterbay is surrounded by residents of foreign missions such as the French Embassy, Japanese Embassy, Kenyan embassy, Russian embassy and a close proximity to financial institutions such as Stanbic Bank and KCB Bank.

The motive of the attack remains unknown.

The incident happened just hours after the Inspector General of Police (IGP), Simon Sirro had assured the nation that criminal offences had dropped by 12 per cent

Speaking on Wednesday August 25, 2021 at the opening of a workshop for Regional police commanders and officers in Dar es Salaam, he said statistics show that crime is on the decline.

He said in the period July 2020 to June 2021 the number of offenses reported to police stations was 49,508 compared to 56,397 offenses in the same period 2019/2020.

More to follow...
Hakuwa gaidi,ni mwanachama wa ccm,Tena mjumbe wa mkutano mkuu

IMG-20210825-WA0040.jpg
 
yeah we haven't forgotten that you Bongolalas get off when Kenya is attacked. Now we know your guys are inadequately prepared for these types of threats....yeah your horse is not as high as you thought.
OK Sawa, but Not all get off, but y'all getting off kwa hii issue minor, msichukie next time ikitokea kwenu, sababu mnapalilia, afu hizi mambo hutokea in large scale hapo Kenya, wanauaga mtu mob, huku sio, jamaa wa jana hakuwa na time na raia.

Sent from my DUB-LX1 using JamiiForums mobile app
 
OK Sawa, but Not all get off, but y'all getting off kwa hii issue minor, msichukie next time ikitokea kwenu, sababu mnapalilia, afu hizi mambo hutokea in large scale hapo Kenya, wanauaga mtu mob, huku sio, jamaa wa jana hakuwa na time na raia.

Sent from my DUB-LX1 using JamiiForums mobile app
Why are you complaining when we are just doing what you guys do to us?
 
Jamaa naona umepata hadi orgasm yani, we all know kdf stole them breads whilst shababis escaped, a lone man can ambush and kill even 20 polices in USA where you love to lick their butts, aya kwendraa.


Sent from my DUB-LX1 using JamiiForums mobile app
Except this one didn't ambush anyone. He was right there in the open.🤷🏾‍♂️
 
Back
Top Bottom