Lubebenamawe
JF-Expert Member
- Oct 27, 2014
- 1,973
- 2,239
Yule mwanamke alikuwa anauwa anausalama mlitumia karibia mwezi kupata. Tena mshukuru tu kwamba aliamua kujitoa uhai mwenyewe.Huyu jamaa kama si kujitoa kwa street juu ya teargas alikua amewahangaisha , uzuri the guy had no interest in killing unarmed people, otherwise angemaliza wengi sana
He was in the open baada Ya kurushiwa grenade ya machozi alipo kuwa kwenye chumba cha walinzi wa French embassy.Except this one didn't ambush anyone. He was right there in the open.[emoji2377]
Still didn't ambush anyone.He was in the open baada Ya kurushiwa grenade ya machozi alipo kuwa kwenye chumba cha walinzi wa French embassy.
Sent from my DUB-LX1 using JamiiForums mobile app
Huyu ni polisi tu wamedeal naye tukio la Westgate tuliona special force wakiiba mikate na kunywa mvinyo.
Halafu wanakuja kumsingizia Mbowe, kumbe jamaa ni CCM mwendazao.Kumbe jamaa ni kada kabisa.....
Inavyoaminika kwa classment wa karibu ,dogo alikuwa na bifu na polisi na chanzo ni kwenye migodi anayoisimamia ambayo alikuwa km msimamizi wa mali za familia ,polisi waliingia kwenye mgodi wake huko Chunya , na hiyo picha hapo iliyopistiwa yupo na wafanyakzi wake wa mgodi ,mwisho wa kunukuuTumeona video bana, imechukua juhudi za polisi wengi sana na risasi nyingi kuua jamaa aliyejianika barabarani, halafu ni wazi hakua gaidi, maana daladala limempita likiwa na abiria, huyo itakua aidha alikua na bifu na maaskari wenu ambao walimtapeli, kuna picha nimeona amepost BAK jamaa kumbe ni CCM mwenzako mtakua mtakua mumetapeliana huko.
Makomando wacheze kama pele? kuiba maziwa na biskut huku magaidi wakiwa wameshasepa ni kucheza kama pele?Jamaa kama hawa ndio huwa wanatuibukia hapa Kenya wakiwa kundi, wana ujasiri sana wa kujitoa mhanga, naona taarifa huyu mmoja amewanyima amani sana huko Dar, bora kaliwa shaba kabla hajafanya maafa zaidi, jamaa alikua amejianika barabarani.
Huku kwetu wakija huingia kwenye shopping mall na kutia kambi humo, inabidi makomando wacheze kama kwenye movie vile.
Poleni lakini.
===========
Dar es Salaam. Police in Dar es Salaam has shot down a gun wielding assailant who was on a shooting spree roaming the Ali Hassan Mwinyi Road from the Selanda Bridge area.
The man whose identity is yet to be established was trotting the streets while wielding two assault rifles with city dwellers at his mercy.
Road users on the usually calm Oyesterbay/Upanga area were forced to abandon their cars as they ran for dear lives.
Videos posted on social media show a joint police operation round up the assailant before he is gunned down in the middle of the road outside the French Embassy gate.
Eye witnesses who were at the scene say the cocky assailant could have killed some people during the shooting.
The man who was wearing a checked shirt and khaki trousers is seen punching in the air then thumps his chest in a presumed victory before he is brought down by a hail of bullets from security forces.
Once down, several bullets further rain on him before officers move in to take away one of the riffles that he was holding.
The Selanda Bridge area which borders Upanga and Oysterbay is surrounded by residents of foreign missions such as the French Embassy, Japanese Embassy, Kenyan embassy, Russian embassy and a close proximity to financial institutions such as Stanbic Bank and KCB Bank.
The motive of the attack remains unknown.
The incident happened just hours after the Inspector General of Police (IGP), Simon Sirro had assured the nation that criminal offences had dropped by 12 per cent
Speaking on Wednesday August 25, 2021 at the opening of a workshop for Regional police commanders and officers in Dar es Salaam, he said statistics show that crime is on the decline.
He said in the period July 2020 to June 2021 the number of offenses reported to police stations was 49,508 compared to 56,397 offenses in the same period 2019/2020.
More to follow...
Westgate magaidi walikuwa wangapi? makomando wakaishia kuiba maziwa pumbavu zao,Watakwambia wanaweza handle alshabaab. Yani mtu mmoja na risasi anawahangaisha hivi na watashinda wakikwambia Westgate Westgate. Halafu huo ndio mtaa wa kifahari Dar eti. 🤣 🤣
Westgate was a tricky situation where several citizens were taken ransom. Hapa kwenu jamaa mmoja tu in the open anawahemesha.🤣🤣Westgate magaidi walikuwa wangapi? makomando wakaishia kuiba maziwa pumbavu zao,
Mkivamiwa hadi sisi tunaumia maana tunajua hatuko salama, tatizo la wanajeshi wenu mnaowaamini kuwasaidia kwenda kuiba mali za wafanyabiashara ile haikuwa sawayeah we haven't forgotten that you Bongolalas get off when Kenya is attacked. Now we know your guys are inadequately prepared for these types of threats....yeah your horse is not as high as you thought.
kwavile westgate ilukuwa tricky ndio inahalalisha wanajeshi kuiba mikate? tena waliingia kuiba mikate wakati al shabaab washasepaWestgate was a tricky situation where several citizens were taken ransom. Hapa kwenu jamaa mmoja tu in the open anawahemesha.🤣🤣
Mbona mlifurahia humu tulipovamiwa?Mkivamiwa hadi sisi tunaumia maana tunajua hatuko salama, tatizo la wanajeshi wenu mnaowaamini kuwasaidia kwenda kuiba mali za wafanyabiashara ile haikuwa sawa
Hatukufurahi, tulishangaa kwenye hali kama ile mwanajeshi anaweza vipi kuiba maziwa na bofloMbona mlifurahia humu tulipovamiwa?
Hatukufurahi, tulishangaa kwenye hali kama ile mwanajeshi anaweza vipi kuiba maziwa na boflo
Hahaha, nyie jeshi zima lilishindwa alshabaab watatu tu na wakafanikiwa kuondoka haiMbona kawaida, mumeingia kwenye shughuli hamkubeba vitafunio au chakula chochote, mlijua mchezo wenyewe utaisha ndani ya siku moja, ila sasa magaidi yamejichimbia ndani ngoma imepitiliza siku tatu na mko ndani kiasi hamuwezi kuletewa chochote cha kutia ndani, hata mimi ningepita na boflo yoyote kwenye hayo maduka.
Lakini nyie mlitia aibu sana, mumekua legelege sana, mtu mmoja anasimama katikati ya barabara mnashindwa kumlenga shabaha inachukua saa nzima mnaharbu marisasi kote kote. Jameni muhimu sana hao usalama wenu wakaanza mafunzo ya jinsi ya kushughulika na vita vya kisasa.
Hahaha, nyie jeshi zima lilishindwa alshabaab watatu tu na wakafanikiwa kuondoka hai
Wale wa westgate waliondoka hai acha ubishi weweHakuna alshabaab huja na kuondoka hai, wale huwa wameiva udini wanajua wanakwenda kupewa thawabu, huhakikisha kama hawafi kwa risasi basi wanajlpua, kuna Mtanzania Mpare mmoja alijaribu hicho kitu cha kuja eti apigane kisha afe, jamaa akaingiwa na baridi, mashababu yakajitoa mhanga yeye akajikunyata sehemu akaachia akamatwe hai.
Kwa namna huyo jamaa mmoja alitesa akiwa wima barabarani, aisei kwenu huko akija Shababi mmoja wa kweli nahisi mtahamia Moro nyie wote na kumuachia Dar.
Kumbe hujuiKichwa inarukaga kumbe?![emoji1]