Taarifa zinarindima za gaidi mmoja anavyotikisa Dar, poleni watani

Not Iran but Iraq.Iran hamna machafuko kaka.
 
Juu ya hali ilivyo Kuwa siku ile huko Dar es Salaam nilitamani hata vyenye ningezaliwa kaunti ya kiambu au machakos
 
thenks for correcting me🙏,but even though Iran na Iraq zinahusiana tu,they are both terrorist countries
Aya bro ila diplomasia za middle east ni ngumu sana zitatuumiza kichwa tutizame East Africa yetu.
Hawa watu jamii ya cushites hususan wasomali ni wa kuwaangalia sana kiukweli wanapenda solving everything by battling.
Sio watu wa kuwachekea aisee.
Na tusipokua makini East Africa itakua km West Africa kila kikicha mirindimo ya shaba.
Imeanza Kenya,ikaja Congo,ikaenda Mozambique sasa Tanzania.
My brother kama East Africa community haijakaa chini na kutafta muwafaka dhidi ya hili suala East Africa itageuka West Africa.
 
kabisa,tunafaa tukae chonjo,Mimi Naomba Sana Tanzania kusikuwe na mikoa hatari Kama za Kenya mf,Wajir na Garrisa,Izi vitu tusipoziangazia na Mapema tutajuta,na Hawa wasomali wakicheza,tuwafukuze wote warudi makwao Somalia,hatuwezi kuwakaribisha Kisha waanze kutuagamiza,Somalia are very angreatfull people
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…