Uchaguzi 2020 Taasisi iliyokusanya maoni ya mgombea wa CCM kushinda uchaguzi mkuu kwa asilimia 85, inachekesha na kusikitisha

Uchaguzi 2020 Taasisi iliyokusanya maoni ya mgombea wa CCM kushinda uchaguzi mkuu kwa asilimia 85, inachekesha na kusikitisha

MAANA YA UTAFITI
Utafiti ni njia ya kupata utatuzi wa suala fulani katika jamii na mazingira ya binadamu kwa njia ya uchunguzi unaotumia nadharia za kitaaluma na kisayansi.

Aidha utafiti ni njia maalum inayofuatwa ili kufikia ujuzi au taarifa muhimu inayokusudia kuchangia katika usomi wa kina na uchunguzi wenye mweleko wa kimaantiki. Utafiti wowote ule hauwezi kufanyika wala haukamiliki pasi kuongozwa na nadharia kuanzia mwanzo hadi mwisho.

Kuna utafiti wa taasisi ya SSRC imekuja na utafiti wa kura za maoni kuwa mgombea wap wa Uraisi atashinda kwa 85% maoni hayo ni kama yaliishaminishwa huko nyuma na Katibu Mkuu wa CCM kuwa mgombea wao ataweka historia ya kushinda kwa 84% hivyo utaona hiyo taasisi haijaenda kufanya utafiti kwa kukusanya maoni kwa wapiga kura isipokuwa imechukua maoni ya katibu mkuu ya kutaka kulazimisha ushindi huo wa kushindo bila kuzingatia matakwa ya wapiga kura.

Nini dhana ya utafiti, Utafiti umeelezwa kwa njia mbalimbali.

Ufafanuzi mpana wa utafiti unatolewa na Godwin Colibao "Katika maana pana zaidi ya neno, ufafanuzi wa utafiti unahusisha kukusanya mambo yoyote ya data, habari na ukweli kwa ajili ya kuendeleza ujuzi.

Ufafanuzi mwingine wa utafiti unatolewa na John W. Creshwell ambaye anasema "ni mchakato wa hatua za kukusanya na kuchambua habari ili kuongeza uelewa wetu wa mada au suala". Inajumuisha hatua tatu ili kuuliza swali, kukusanya data ili kujibu swali, na kutoa jibu la swali.

Uongo wa Utafiti wa CCM
haulezwi umechukuliwa sehemu gani mkoa gani? Haulezwi ni idadi gani ya watu wangapi na makundi gani, umri na elimu zao, jinsi zao?

Haulezi ni vigezo wametumia kufanya utafiti aina ya maswali kama ni ya wazi au lah (wasije wakawa wanauliza unaonaje MAGUFULI atashinda Urais) halafu wanauliza makada wa CCM.

Ukweli ni kuwa kabla ya utafiti kulikuwa na ramli chonganishi huo unaoitwa utafiti wa Polepole ni ramli chonganishi.

Kwa vyovyote vile uwanja ukiwa huru hakuna mgombea atakayevuka 57% ya ushindi. Ushindani wa mwaka huu ni mkubwa.

Moja Rais aliyeko madarakani huwa anachokwa hivyo lazima asilimia zishuke tena kwa Meko zitashuka sana tu. Kinachomtofautisha Meko na maraisi wengine wastaafu ni ukatili wake wa kufingia vyombo vya habari, kutoguswa na majanga makubwa ya kitaifa kama vile tetemeko la Bukoba, Watoto 32 waliofariki pale Arusha, Polisi wetu 10 waliofariki pale Kibiti, watu kupotea, kutekwa na kuteswa na upendeleo wa waziwazi kwa CHAMA chake, kabila lake na rafiki/jamaa zake wa karibu nina imani CHADEMA wangetoa tafiti NBS leo wangekifungia hicho chombo kilichofanya utafiti.

Week end njema kwa Wote.
Jumamosi njema kwa wote.
Utafiti hupingwa kwa utafiti. Wacha porojo
 
MAANA YA UTAFITI
Utafiti ni njia ya kupata utatuzi wa suala fulani katika jamii na mazingira ya binadamu kwa njia ya uchunguzi unaotumia nadharia za kitaaluma na kisayansi.

Aidha utafiti ni njia maalum inayofuatwa ili kufikia ujuzi au taarifa muhimu inayokusudia kuchangia katika usomi wa kina na uchunguzi wenye mweleko wa kimaantiki. Utafiti wowote ule hauwezi kufanyika wala haukamiliki pasi kuongozwa na nadharia kuanzia mwanzo hadi mwisho.

Kuna utafiti wa taasisi ya SSRC imekuja na utafiti wa kura za maoni kuwa mgombea wap wa Uraisi atashinda kwa 85% maoni hayo ni kama yaliishaminishwa huko nyuma na Katibu Mkuu wa CCM kuwa mgombea wao ataweka historia ya kushinda kwa 84% hivyo utaona hiyo taasisi haijaenda kufanya utafiti kwa kukusanya maoni kwa wapiga kura isipokuwa imechukua maoni ya katibu mkuu ya kutaka kulazimisha ushindi huo wa kushindo bila kuzingatia matakwa ya wapiga kura.

Nini dhana ya utafiti, Utafiti umeelezwa kwa njia mbalimbali.

Ufafanuzi mpana wa utafiti unatolewa na Godwin Colibao "Katika maana pana zaidi ya neno, ufafanuzi wa utafiti unahusisha kukusanya mambo yoyote ya data, habari na ukweli kwa ajili ya kuendeleza ujuzi.

Ufafanuzi mwingine wa utafiti unatolewa na John W. Creshwell ambaye anasema "ni mchakato wa hatua za kukusanya na kuchambua habari ili kuongeza uelewa wetu wa mada au suala". Inajumuisha hatua tatu ili kuuliza swali, kukusanya data ili kujibu swali, na kutoa jibu la swali.

Uongo wa Utafiti wa CCM
haulezwi umechukuliwa sehemu gani mkoa gani? Haulezwi ni idadi gani ya watu wangapi na makundi gani, umri na elimu zao, jinsi zao?

Haulezi ni vigezo wametumia kufanya utafiti aina ya maswali kama ni ya wazi au lah (wasije wakawa wanauliza unaonaje MAGUFULI atashinda Urais) halafu wanauliza makada wa CCM.

Ukweli ni kuwa kabla ya utafiti kulikuwa na ramli chonganishi huo unaoitwa utafiti wa Polepole ni ramli chonganishi.

Kwa vyovyote vile uwanja ukiwa huru hakuna mgombea atakayevuka 57% ya ushindi. Ushindani wa mwaka huu ni mkubwa.

Moja Rais aliyeko madarakani huwa anachokwa hivyo lazima asilimia zishuke tena kwa Meko zitashuka sana tu. Kinachomtofautisha Meko na maraisi wengine wastaafu ni ukatili wake wa kufingia vyombo vya habari, kutoguswa na majanga makubwa ya kitaifa kama vile tetemeko la Bukoba, Watoto 32 waliofariki pale Arusha, Polisi wetu 10 waliofariki pale Kibiti, watu kupotea, kutekwa na kuteswa na upendeleo wa waziwazi kwa CHAMA chake, kabila lake na rafiki/jamaa zake wa karibu nina imani CHADEMA wangetoa tafiti NBS leo wangekifungia hicho chombo kilichofanya utafiti.

Week end njema kwa Wote.
Jumamosi njema kwa wote.
Imebidi waseme hivyo wakisema vinginevyo wanaogopa kuhojiwa uraia wao na kupimwa mkojo, chezea dictecta uchwara
 
Kura za rais Mkapa zilipanda awamu ya pili kulizo za awamu ya kwanza- nini mealezo yako
Angalia idadi ya watu walioenda kupiga na mpinzani aliyekuwa nae...CHADEMA kila mwaka wanaleta mgombea angalau anaezika kwa wananchi japo hawashindi lkn influence inakuwa kubwa sana.
 
Yaleyale ya Belarus.Rais anatangazwa mshindi kwa 80%, then vichwa vinajaa na kufunga barabara. Then unajiuliza hao waliompigia kura 80% ni wepi?! Mbona wote wamejaa barabarani?!!
Huyu jamaa wa Beralus mwaka 2006 alipata 84.4% mwaka huu kapata 80.10% yaani kafanya kutoa tu asilimia nne ila raia wamejaa barabarani. Ni kwamba uchaguzi wowote ule kwenye Re election kura huwa zinapungua, mfano kikwete kwenye re election 2010 kura zilipungua, Nitakuwa wa kwanza kushangaa kwa mpakwa mafuta wetu kama atapata zaidi ya alizopata 2015.
 
Hapo hata mbumbu atashangaa. Na itahesabiwa kuwa imeshindwa. Miaka mitano umewafungia wapinzani na bado wapate 5% na uone kuwa wameshindwa? Hakuna tume huru, wagombea prominent wa upinzani umewaengua wasigombee bado waliobaki wapate 5% na usione ni ushindi huo? Toa uwanja sawa wa mapambo, uone CCM itakavyo garagazwa.
 
Fanya na wewe utafiti wako ili tujue nini kinachoendelea kwa wapiga kura kama hukubaliani na huu wa hawa wengine.
TWAWEZA tafiti walifanya lakini matokeo yake bosi wao akakamatwa na kunyang'anywa passport. Unataka na yeye akamatwe? Ili asikamatwe atoe majibu kama haya kuwa Meko a napenda 95%
 
Kama ndani ya siku 11 tu za kampeni watafiti wameshapita nchi nzima kufanya utafiti wao na kusema Magufuli atashinda kwa 85%, naamini wakifanya utafiti mwingine tarehe mosi Oktoba watasema atashinda kwa 105%
 
Tafiti hupingwa kwa tafiti siyo hisia tu,ungeenda field na wewe ukaleta utafiti wa kwako.

Hiyo habari ya Rais aliyeko madarakani kuchokwa haina mashiko.

1995 Mkapa alipata 61.% halafu 2000 akapata 71.%.

BTW:Hivi kuna mtu mwenye akili timamu kabisa anategemea upinzani kushinda uchaguzi huu?
 
Kama ndani ya siku 11 tu za kampeni watafiti wameshapita nchi nzima kufanya utafiti wao na kusema Magufuli atashinda kwa 85%, naamini wakifanya utafiti mwingine tarehe mosi Oktoba watasema atashinda kwa 105%
Mgombea wao dozi zimegoma yupo chato anakula dawa ngozi imepauka ...kaita wakuu wa vyombo vya dola wakutane chato waandae kuiba kura.
 
Angalia idadi ya watu walioenda kupiga na mpinzani aliyekuwa nae...CHADEMA kila mwaka wanaleta mgombea angalau anaezika kwa wananchi japo hawashindi lkn influence inakuwa kubwa sana.
sijakuelewa mkuu- unataka kusema nini?
 
Hii REDET bhana hivi malipo yao uwa ni kiasi gani??
REDET bana nikimradi flan kaulaji pale UDSM kalikuwa kanaongozwa na DR Benson Bana pamja na Bashiru na Prof Wangwe ...Nadhani kuna fedha wanapewa na CCM sina uhakika ni kiasi ila kuna kimpunga cha kupumbaza akili .
 
Back
Top Bottom