Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 3,585
- 8,106
Ile ilijiridhisha kuwa shida ya vijana wa kiislamu ni kuoa na kuamua kuwalipia mahariWadau hamjamboni nyote?
Je ni taasisi gani ya Kiislamu hapa nchini Tanzania ambayo imeanzishwa na kuendeshwa kwa mafanikio makubwa na kuwa mfano wa kuigwa miongoni mwa taasisi husika?
Lugha zisizo na staha hazikubaliki
Niwatakie sikukuu njema ya Noel
you mean al hiqma foundation chini ya kishki?? they are plenty, kunae moja jina limenitoka i think iko tanga inasimamia na shule za istiqamaIle ilijiridhisha kuwa shida ya vijana wa kiislamu ni kuoa na kuamua kuwalipia mahari
USSR
Sent from my Infinix X6511G using JamiiForums mobile app
BakwataWadau hamjamboni nyote?
Je ni taasisi gani ya Kiislamu hapa nchini Tanzania ambayo imeanzishwa na kuendeshwa kwa mafanikio makubwa hususani kwenye Menejimenti hivyo kuwa mfano wa kuigwa miongoni mwa taasisi husika?
Lugha zisizo na staha hazikubaliki
Niwatakie sikukuu njema ya Noel
Wadau hamjamboni nyote?
Je ni taasisi gani ya Kiislamu hapa nchini Tanzania ambayo imeanzishwa na kuendeshwa kwa mafanikio makubwa hususani kwenye Menejimenti hivyo kuwa mfano wa kuigwa miongoni mwa taasisi husika?
Lugha zisizo na staha hazikubaliki
Niwatakie sikukuu njema ya Noel
Boko haramuWadau hamjamboni nyote?
Je ni taasisi gani ya Kiislamu hapa nchini Tanzania ambayo imeanzishwa na kuendeshwa kwa mafanikio makubwa hususani kwenye Menejimenti hivyo kuwa mfano wa kuigwa miongoni mwa taasisi husika?
Lugha zisizo na staha hazikubaliki
Niwatakie sikukuu njema ya Noel
Waliolipiwa mahari walioanana.....!??Ile ilijiridhisha kuwa shida ya vijana wa kiislamu ni kuoa na kuamua kuwalipia mahari
USSR
Sent from my Infinix X6511G using JamiiForums mobile app