Taasisi ya fedha inayokopesha wafanyakazi wa sekta binafsi

Wernery G Kapinga

JF-Expert Member
Joined
Feb 2, 2012
Posts
376
Reaction score
127
Heri kwenu wadau.

Napenda kujua kama kuna taasisi inayotoa mkopo kwa wafanyakazi wa sekta binafsi (Mf. Shule za private n.k), masharti yake na makorombwezo mengine.

Naona sekta nyingi zinakopesha wafanyakazi walioserikalini tu, wakati hata sisi wa private maisha yetu yanahitaji mkopo pia.

Ahsanteni.
 
Usiende huko kwenye mataasisi utapewa interest za ajabu ajabu niambie unataka ufanye nini mpaka kuhitaji hiyo M3.
Nahitaji kununua shamba na kupanda parachichi na mikadamia. Upembuzi yakinifu tayari umeshakamilika.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…