Taasisi ya ZAMHSO yatembelea Iringa Girls, yaelezea kuguswa na ushirikiano wanaopata wenye mahitaji maalum

Taasisi ya ZAMHSO yatembelea Iringa Girls, yaelezea kuguswa na ushirikiano wanaopata wenye mahitaji maalum

JanguKamaJangu

JF-Expert Member
Joined
Feb 7, 2022
Posts
2,780
Reaction score
6,607
WhatsApp Image 2025-02-26 at 11.19.33_a7272ba8.jpg
Sisi Zanzibar Mental Health Support Organization (ZAMHSO)Tulipata nafasi ya kutembelea Iringa Girls, shule ya mjumuisho inayowakaribisha Wanafunzi wa kawaida na wale wenye mahitaji maalum. Ni jambo la kuvutia kuona jinsi shule hii inavyokuza usawa na mshikamano kupitia elimu.

Wakati wa kutoa elimu ya afya ya akili, tuliguswa sana na mmoja wa wanafunzi aliyekuwa akitafsiri kwa lugha ya alama, kuhakikisha kila mmoja anapata nafasi ya kuelewa na kushiriki. Hii ilikuwa ishara halisi ya upendo na ujumuishi!

Tunaamini kwamba hakuna afya bila afya ya akili, na kila mtu — bila kujali tofauti zao — anastahili kupata maarifa haya muhimu.

Je, wewe unaelewa umuhimu wa elimu jumuishi katika afya ya akili?

WhatsApp Image 2025-02-26 at 11.19.35_1f825a30.jpg

WhatsApp Image 2025-02-26 at 11.19.34_7f31ab3f.jpg

WhatsApp Image 2025-02-26 at 11.19.32_56c4ef33.jpg

WhatsApp Image 2025-02-26 at 11.19.33_7e9a5aab.jpg

Chanzo: ZAMHSO


Pia soma
~ Zanzibar Mental Health Support Organization imeanza kutekeleza Rasmi Mradi wa Elimu ya Afya ya Akili Shuleni
~ Zaituni Shabani Salum wa ZAMHSO: Elimu ya Afya ya Akili ni nguzo muhimu kwa kizazi chetu
~ ZAMHSO: Mradi wa Afya ya Akili Shuleni utaacha athari chanya na kuleta mabadiliko ya kudumu
 
Back
Top Bottom