Taasisi za dini, zinazoomba zisitozwe kodi ni wezi, Serikali msikubali kwa hilo

Taasisi za dini, zinazoomba zisitozwe kodi ni wezi, Serikali msikubali kwa hilo

ngebe

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2020
Posts
1,789
Reaction score
5,117
Mara kwa mara, taasisi za kidini zimekua zikiomba serikali kutowatoza kodi kwenye huduma wanazotoa, wakidai kwamba wao hawafanyi biashara bali wanatoa kusaidia jamii,

Huu ni wizi fatilia shule, hospitali na vyuo vya kidini wanatoza gharama kubwa kuliko hata vya watu binafsi, vyuo vingi vya FBO ada zao zinachezea kwenye 3M na kuendelea sasa hawa wanatofauti gani na wafanyabiashara wa kawaida?


Ni wakati sasa TRA iingie huku, mafuta ya upako chupa ya 20mills inauzwa 5000 Tsh, wakati Chupa ya bia yenye 500mills inauzwa 2000 Tsh hii sio huduma, ni biashara, na wizi


serikali isije ikaingia kwenye huu mtego


FB_IMG_16528497366204097.jpg
 
Mara kwa mara, taasisi za kidini zimekua zikiomba serikali kutowatoza kodi kwenye huduma wanazotoa, wakidai kwamba wao hawafanyi biashara bali wanatoa kusaidia jamii,

Huu ni wizi fatilia shule, hospitali na vyuo vya kidini wanatoza gharama kubwa kuliko hata vya watu binafsi,

serikali isije ikaingia kwenye huu mtego


View attachment 2237139
We ni punguani, tangu uhuru taasisi hizo hazikatwi kodi kwa kuwa serikali haina uwezo wa kutoa huduma za kijamii hasa kule periferry.
Taasisi za dini zimesaidia kutoa huduma hada afya na elimu nchini kwa zaidi ya 70%
Serikali haikuwa na shule za kutosha ilitaifisha shule za hizo taasisi, haikuwa na haina hospital za kutosha kubwa na ndogo,
.sasa ukituwekea utaahira wako hapa ni bora mngenong'ona we na mumeo chumbani baada ya shughuli.
 
We ni punguani, tangu uhuru taasisi hizo hazikatwi kodi kwa kuwa serikali haina uwezo wa kutoa huduma za kijamii hasa kule periferry.
Taasisi za dini zimesaidia kutoa huduma hada afya na elimu nchini kwa zaidi ya 70%
Serikali haikuwa na shule za kutosha ilitaifisha shule za hizo taasisi, haikuwa na haina hospital za kutosha kubwa na ndogo,
.sasa ukituwekea utaahira wako hapa ni bora mngenong'ona we na mumeo chumbani baada ya shughuli.
Haya ni majukwaa yanayojumuisha watu wengi....Kuna wengine wanapata elimu na maarifa makubwa kupitia michango ya wadau mbali mbali.......

Mchango wako una hoja ya msingi lakini umemezwa munkari na hasira dhidi ya huyo mchangiaji.......ungeweza kumrekebisha bila hata ya kumtusi.......

TUPENDANENI
 
We ni punguani, tangu uhuru taasisi hizo hazikatwi kodi kwa kuwa serikali haina uwezo wa kutoa huduma za kijamii hasa kule periferry.
Taasisi za dini zimesaidia kutoa huduma hada afya na elimu nchini kwa zaidi ya 70%
Serikali haikuwa na shule za kutosha ilitaifisha shule za hizo taasisi, haikuwa na haina hospital za kutosha kubwa na ndogo,
.sasa ukituwekea utaahira wako hapa ni bora mngenong'ona we na mumeo chumbani baada ya shughuli.
Sawa tangu uhuru hazikatwi kodi lakini tunaona izo taasisi zinafanya biashara kama wafanyavyo wafanyabiashara wengine.

Hospital zao hawatibu bure,
Shule zao hawasomeshi bure,

Kama utaratibu nikutotoza kodi kwa taasisi zinazotoa huduma za kijamii basi shule binafsi na hospital binafsi nazo zisitozwe vilevile,

Kwasasa sioni tofauti ya taasisi za kidini na wafanyabiashara wengine.
 
We ni punguani, tangu uhuru taasisi hizo hazikatwi kodi kwa kuwa serikali haina uwezo wa kutoa huduma za kijamii hasa kule periferry.
Taasisi za dini zimesaidia kutoa huduma hada afya na elimu nchini kwa zaidi ya 70%
Serikali haikuwa na shule za kutosha ilitaifisha shule za hizo taasisi, haikuwa na haina hospital za kutosha kubwa na ndogo,
.sasa ukituwekea utaahira wako hapa ni bora mngenong'ona we na mumeo chumbani baada ya shughuli.
unafirw*a mbw@ ww
 
Mtoa mada hujitambui kabisa, unafahamu mchango mkubwa unaotolewa na hizo taasisi za kidini kuisadia jamii!?. Gharama kuwa kubwa katika hizo huduma wanazotoa zinaendana na ubora wa kile wanachohudumia, kama huwezi kumudu hizo gahrama waachie wanaoweza. Au dini yako haina hivyo vyuo na mashule ndio maana roho inakuuma?.
 
Haya ni majukwaa yanayojumuisha watu wengi....Kuna wengine wanapata elimu na maarifa makubwa kupitia michango ya wadau mbali mbali.......

Mchango wako una hoja ya msingi lakini umemezwa munkari na hasira dhidi ya huyo mchangiaji.......ungeweza kumrekebisha bila hata ya kumtusi.......

TUPENDANENI
HEKIMA na BUSARA ni mambo ya muhimu kila mtu anapaswa kuwa nayo
 
Mara kwa mara, taasisi za kidini zimekua zikiomba serikali kutowatoza kodi kwenye huduma wanazotoa, wakidai kwamba wao hawafanyi biashara bali wanatoa kusaidia jamii,

Huu ni wizi fatilia shule, hospitali na vyuo vya kidini wanatoza gharama kubwa kuliko hata vya watu binafsi,

serikali isije ikaingia kwenye huu mtego


View attachment 2237139
Ni kweli kabisa mkuu !
 
Nikujulishe tu..dini na seikali ni mapacha wasio fanana..wote lengo lao ni moja kumkamua na kumpa matumaini feki muumini au mwanachi.

Hawawezi achana mana wanategemea sana..ili serikali iwe na raia obedient lazima dini iwatengeneze hao raia kuwa obedient.

Huwezi ona serikali ikizipiga kodi taasisi za kidini...sahau.

#MaendeleoHayanaChama
 
Msimtukane,hajawahi kutana na huduma za pande zote mbili.
 
Ni kweli kabisa mkuu !

Huo msamaha wa kodi kwa taasisi za kidini usiwe BLANKET bali uwe unaangalia aina ya msamaha unaoombwa na justification yake sio tu kwasababu umeombwa na taasisi za kidini utolewe; uzoefu huko Nyuma umeonesha kuwa taasisi hizo hizo zilitumia vibaya msamaha huyo wa kodi!! It should be a selective process na sio Blanket!!
Naona kama vile taasisi za dini zinataka kutumia UNYENYEKEVU wa Rais kwao ndio uchochoro wa kupitishia madudu yao!! Huko nyuma walitumia vibaya sana hiyo misamaha [ KUNA RIPOTI YA UCHUNGUZI SOMEWHERE] mpaka wengine wakageuza ndio biashara yao kuagiza vitu na kuuza !!
 
Mara kwa mara, taasisi za kidini zimekua zikiomba serikali kutowatoza kodi kwenye huduma wanazotoa, wakidai kwamba wao hawafanyi biashara bali wanatoa kusaidia jamii,

Huu ni wizi fatilia shule, hospitali na vyuo vya kidini wanatoza gharama kubwa kuliko hata vya watu binafsi,

serikali isije ikaingia kwenye huu mtego


View attachment 2237139
Nawatetea baadhi wanaotoa elimu kwa bei nafuu,wanaolea yatima na mazingira yasiyo rafiki.Lakini naunga mkono makanisa yanayomilikiwa na mtu binafsi hata akaunti za michango na sadaka zinaingiya kwa mtu binafsi,wauzao maji,chumvi na mafuta walipe kodi.Wanawaagizaga waumini wapya waende na hela kuanzia ten nk.
 
We ni punguani, tangu uhuru taasisi hizo hazikatwi kodi kwa kuwa serikali haina uwezo wa kutoa huduma za kijamii hasa kule periferry.
Taasisi za dini zimesaidia kutoa huduma hada afya na elimu nchini kwa zaidi ya 70%
Serikali haikuwa na shule za kutosha ilitaifisha shule za hizo taasisi, haikuwa na haina hospital za kutosha kubwa na ndogo,
.sasa ukituwekea utaahira wako hapa ni bora mngenong'ona we na mumeo chumbani baada ya shughuli.
Punguani ni wewe! Hujui kuwa mtu au taasisi yeyote ikitoza hata shillingi kwa mintarafu ya kutoa huduma zake, kutozwa Kodi hakukwepeki! Shule si wazazi wanalipa Ada? Kama wanalipa, Kodi ni halali kulipa.
 
Nawatetea baadhi wanaotoa elimu kwa bei nafuu,wanaolea yatima na mazingira yasiyo rafiki.Lakini naunga mkono makanisa yanayomilikiwa na mtu binafsi hata akaunti za michango na sadaka zinaingiya kwa mtu binafsi,wauzao maji,chumvi na mafuta walipe kodi.Wanawaagizaga waumini wapya waende na hela kuanzia ten nk.
Bei nafuu = kulipa Kodi nafuu
 
Upigaji serikalini,upigaji kwenye dini kote huko pachafu.
 
We ni punguani, tangu uhuru taasisi hizo hazikatwi kodi kwa kuwa serikali haina uwezo wa kutoa huduma za kijamii hasa kule periferry.
Taasisi za dini zimesaidia kutoa huduma hada afya na elimu nchini kwa zaidi ya 70%
Serikali haikuwa na shule za kutosha ilitaifisha shule za hizo taasisi, haikuwa na haina hospital za kutosha kubwa na ndogo,
.sasa ukituwekea utaahira wako hapa ni bora mngenong'ona we na mumeo chumbani baada ya shughuli.


Jifunze kuchangia majadiliano ya mada Kwa kuwasilisha hoja Kwa kuzingatia msingi wa mada bila kumshambulia mleta mada.

Katika kujadili kiungwana ni pamoja na kuepuka kumtoa maana Mleta mada.

Kumwita punguani na taahira si sawa .

Hivi punguani na taahira anaweza kuandika kitu kizuri alichoandika Mleta mada?

Hebu tafakari kwanza uone ulichoandika.
 
Mara kwa mara, taasisi za kidini zimekua zikiomba serikali kutowatoza kodi kwenye huduma wanazotoa, wakidai kwamba wao hawafanyi biashara bali wanatoa kusaidia jamii,

Huu ni wizi fatilia shule, hospitali na vyuo vya kidini wanatoza gharama kubwa kuliko hata vya watu binafsi, vyuo vingi vya FBO ada zao zinachezea kwenye 3M na kuendelea sasa hawa wanatofauti gani na wafanyabiashara wa kawaida?

Angalia makanisa binasfi mpk chupa moja ya maji ya upako inauzwa zaidi ya 20K


serikali isije ikaingia kwenye huu mtego


View attachment 2237139
Serikali imeshapewa za kaisari. Imwachie Mungu zakwake.
 
Naomba kuuliza iyo zaka inatofauti na kodi wanayotoza tra kwenye faida inayopata biashara. Inatofauti gani na payee. Tena wenyewe wanataka utoe 10% ya kipato chako. Ili ndio jambo ambalo nishakwaruzana na paroko.

Ukweli kanisani tunachanga pesa ujenzi wa shule, hospital ila waumini hatupati relief yoyote kupitia tulikijenga.

Sahizi muslim nao wameshituka wameanza kuanzisha taasisi zao kuongeza kipato
 
Back
Top Bottom