Yani hakuna kash kash za kukamata wauzaji wa bidhaa feki, viwanda bubu vina operate kwa uhuru.
Taasisi za kupambana na bidhaa feki ni kama hazipo, Je ni Rushwa ? Hawawezi kazi ??
Na kuna michezo mipya imeanza bidhaa zilizoharibika zinazotupwa dampo zinarudi mtaani, mchele ulio expire na kumwagwa unapepetwa upya, samaki waliooza wanarudi mtaani, n.k.
rerences: biashara hizi zina mtandao, magodauni, faida kubwa, n.k. kama hazijatokomezwa bado zinaendelea.
Tahadhari: Samaki walioharibika waingizwa nchini kinyemela na kuuzwa soko la feri..!!
DOKEZO Maji ya kuoshea maiti yanayo lalamikiwa kutumika kuhifadhia samaki yanauzwa kwenye maduka ya dawa za asili, Serikali imulike huko
DOKEZO Mpangaji wangu kageuza Nyumba yangu kuwa kiwanda bubu cha kutengeneza vinywaji vikali feki kama Konyagi, K Vant nk
Wawili mbaroni Iringa kwa wakidaiwa kusafirisha maboksi 56 ya vipodozi feki