Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]NMB. Wanakuzungusha halafu mwishoni wanakuuliza, "Are you still there?"
Daaahhh[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mkubwa wao Haloteli
jichanganye ukosee kutuma pesa, ndo utaisahau kabisa, unaweza ukawapigia simu mwaka mzima hawapokei.
HALOTEL mataccor yenu... elfu 17 yangu😡
😡😡😡
Mtoto mrefu...umeenda hewani sekunde!!Mhmm... mbona COSOTA wanapokea simu zangu?
BrelaKuna
1. COSOTA
2. TRA
3........
Taasisi zote za serikali zimeweka zile namba kwenye website kama urembo tu.Kuna
1. COSOTA
2. TRA
3........
Hao Tigo ndio KERO KABISATigo
TIGO ukiwapigia chagua kuongea na mhudumu in English chap wanapokea wanajua mzungu kumbe uko Mbagala, unamaliza , ukipiga kiswahili wanajua wa matopeni basi saa 4 asubuhi unaacha cm inaita unaenda kuoga kisha unavaa nguo na kwenda kula huku unacheki muvi ukimaliza kula ukija saa 10 jioni unakuta bado cm inaita na haijapokelewa!
Na mishahara imeongezwa utawaambua nini buana,kama bima wanazo3. NHIF, Hawa sio hawapokei bali wameizima kabisa0800110063
Nadhani wanaotumia upande wa lugha ya english ni wachache thus wahudumu huko wapo idleTigo
TIGO ukiwapigia chagua kuongea na mhudumu in English chap wanapokea wanajua mzungu kumbe uko Mbagala, unamaliza , ukipiga kiswahili wanajua wa matopeni basi saa 4 asubuhi unaacha cm inaita unaenda kuoga kisha unavaa nguo na kwenda kula huku unacheki muvi ukimaliza kula ukija saa 10 jioni unakuta bado cm inaita na haijapokelewa!
mara utasikia simu ya mtumiaji unayempigia haijalipiwa hovyo kabisa3. NHIF, Hawa sio hawapokei bali wameizima kabisa0800110063
utakuwa na connectionMhmm... mbona COSOTA wanapokea simu zangu?
ahaa kwahiyo kila mtu apige kwa mkoa wakeHeslb Arusha wanapokea
itakuwa namba ya mdee ya zamani unapiga weweChadema kila nikiwapigia hawapokei kabisa aisee.
Sijui wanadaiwa??
Sina kabisa.utakuwa na connection