inspectorbenja
JF-Expert Member
- Oct 14, 2012
- 597
- 651
3.NACTEKuna
1. COSOTA
2. TRA
3........
4.TCRA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
3.NACTEKuna
1. COSOTA
2. TRA
3........
NHIFKuna
1. COSOTA
2. TRA
3........
Mkuu pole sana! [emoji23][emoji23][emoji23]Mkubwa wao Haloteli
jichanganye ukosee kutuma pesa, ndo utaisahau kabisa, unaweza ukawapigia simu mwaka mzima hawapokei.
HALOTEL mataccor yenu... elfu 17 yangu😡
😡😡😡
Si ni benki hiyo sijui ni ya nchi gani...!NIC nawachukia sana hawa jamaa sijui hata nlijichanganya vipi kujiunga na hii taasisi.
Hii ndioni miongoni mwa Taasisi pekee za serikali zinazojielewa.BoT huwa inapokeaga simu tena haraka sana...
Sababu hawategemei simu za makapuku,Hii ndioni miongoni mwa Taasisi pekee za serikali zinazojielewa.
Acha kuwatetea, sasa waliweka zanini?Tatizo lenu mtu anapiga simu halafu anaulizia kama kazi zipo au akisikia sauti ha mdada basi hapo anaanza na kutongoza, tabu kweli kweli, na hizi simu za kichina, zimekuwa nyingi mno siku hizi , zamani walikuwa wanapokea sana wakati simu zilikuwa chache miaka ya 90 na mwanzoni mwa 2000...
Mtu ambaye yupoyupo tu ni yupi? Acha dharau Chief.Sababu hawategemei simu za makapuku,
mtu upo upo tu unapiga BoT unataka nini?????
Mi walirudisha baada ya siku 49Mkubwa wao Haloteli
jichanganye ukosee kutuma pesa, ndo utaisahau kabisa, unaweza ukawapigia simu mwaka mzima hawapokei.
HALOTEL mataccor yenu... elfu 17 yangu😡
😡😡😡
Uliwapigia wakapokea??Mi walirudisha baada ya siku 49